Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

hufuatiliagi hata habari lisu hajafutiwa mishahara hujamsikia ndugai alivyosema au mnasikiliza tu lisu anavyoropoka
 
Mimi siyo mtaalam wa sheria, nataka kujua kama akienda mahakamani kuweka pingamizi la kufutiwa ubunge hata kama upande wa speaker utashinda lkn kutokana na utamaduni wa mahakama zetu kuchelewesha hukumu za kesi, je, hukumu ikitoka baada ya Julai hata kama kashindwa kesi, sihakutakuwa tena na uchaguzi ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo maana nimeshakuambia mapema kuwa Jamaa ameshakuwa ' Fixed ' na Watu walikuwa wanamtafuta Siku nyingi sana ajae katika ' Frame ' wamalize Kazi na imekuwa hivyo. Namshauri asipoteze muda wake na akubaliane tu na matokeo huku sasa akijiandaa Kisaikolojia zaidi kuanza maisha mapya nje ya Siasa au kuwa Mbunge. This is Africa!
 
Emesema asingeweza kuacha mke halafu akaenda bungeni kusaini posho ya laki tatu kwa siku. Hapa utagundua wabunge kweli wanajali matumbo yao kuliko kazi ya kikatiba waliyoiomba.

Vilevile amesema hajutii kwa uamuzi alioufanya, kwa maana hiyo anakubaliana na adhabu ya spika...

Halafu anaonyesha vimeseji vya kutakiana sikukuu njema eti ndio utaratibu rasmi wa kuwasiliana na Spika..

Baada ya kufuatilia hili sakata nimejiridhisha kuwa Joshua Nassar amekubaliana kwa moyo mmoja na adhabu aliyopewa.

Kwa maana hiyo hata kwenda mahakamani ni shinikizo toka nje hasa kwenye chama chake ila yeye hataki,hajutii na hana cha kupoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe posho yao kwa siku ni 300! khaaaa😱😱
 
Yule dogo mjinga sana....kwani yeye ni wa kwanza kuoa na mke kujifungua....sisi waajiriwa, wake zetu wanajifungua tunachukua 3 days za paternity leave kisha tunarudi kibaruani mtoto hata 7 bado?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure, mm mwenyewe nilijifungua ht Mr wangu hakuwepo mpk baada ya wiki ndio akapata ruhusa kuja kutuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana nimeshakuambia mapema kuwa Jamaa ameshakuwa ' Fixed ' na Watu walikuwa wanamtafuta Siku nyingi sana ajae katika ' Frame ' wamalize Kazi na imekuwa hivyo. Namshauri asipoteze muda wake na akubaliane tu na matokeo huku sasa akijiandaa Kisaikolojia zaidi kuanza maisha mapya nje ya Siasa au kuwa Mbunge. This is Africa!
Hata hivyo kweli bora ajiweke pembeni tena arudi zake Marekani alikokuwa akatulizane na ikibidi atafute kitu cha kumwingizia kipato kwasababu umri wake bado ni mdogo.

Ila kupoteza nafasi ya uwakilishi kwa uzembe wa aina hii liwe fundisho kwa wengine wenye tabia za kujisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu, japo sio mtaalamu wa saikolojia, ila kwa uzoefu nilionao, hasa wa kuwasikiliza na kuwafuatilia wanasiasa.......ukweli mi kwamba kuna mengi yapo nyuma ya hili sakata, kijana Nassari anahadaa wapiga kura wake, anajua movie anayocheza.
Jana alivyomakiza kuongea tu akaingia mitini, hakuruhusu hata swali moja kuulizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi labda wewe umeona meengi aliyoongea Nassari umeona hilo ulijibu.Inamaana maelezo yake kwako yamekubalika 90%.

Hoja iko hivi,kama alilipwa hiyo posho maana yake alihudhuria ndo maana alilipwa.ko hakuna haja ya kusema tena hakuhudhuria.Au mi ndo sijanwelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sass hivi Nasari ndo Ana chaguzi mbili, ama akaendelee kulea mtoto wake na makewe au ajiunge ccm atete ubunge wake akale posho.
 
Hata hivyo kweli bora ajiweke pembeni tena arudi zake Marekani alikokuwa akatulizane na ikibidi atafute kitu cha kumwingizia kipato kwasababu umri wake bado ni mdogo.

Ila kupoteza nafasi ya uwakilishi kwa uzembe wa aina hii liwe fundisho kwa wengine wenye tabia za kujisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na bahati nzuri sana ni kwamba Nassari anatokea katika Familia ya Kitajiri ( inayojiweza mno Kiuchumi ) hasa kupitia Baba yake Mzazi ambaye alikuwa si tu ni mwana CCM wa Kutukuka, bali pia alikuwa ni mwana ' Eagle Wing House ' mkubwa tu hivyo sioni kwanini Yeye ang'ang'anie na asumbuke na Siasa tena hizi zetu za ' Maji Taka ' tupu wakati bado anaweza Kuyaishi maisha bora na mazuri tu.
 
Huyo Dada mashallah!!! hizi ndio type zangu walahi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo Ni Binti wa Alhaj Hanzurun Mungula

Matajiri wa mwanzo mwanzo Mjini Baada ya kuzikwa Azimio la Arusha

Hanzurun Mungula aliwahi Kuwa Diwani wa Mwanayamala Bwawani Na Naibu Meya wa Jiji waKati wa Cleyst Sykes

Huyu Binti kasomea Nchini Uingereza
 
Back
Top Bottom