Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Huwa ana hoja makini sana bungeni.. kichwa smart...
Nadhani akina Mbowe, Lijuakali na Lissu wasimpe kiburi na kwenda mahakamani .... Ni miezi 9 hajakatiza Dodoma

Anayo nafasi ya kuomba radhi kwa spika na pengine spika anaweza kumwachia kwa onyo kali
Sifurahii kupoteza kwake hivyo namuombea apewe huruma na kurudishwa bungeni.
Miezi tisa hajakanyaga bungeni?
 
Asee hili ni kosa kubwa miezi tisa ni mingi,ina maana alianza kukacha vikao tangu alipomdunga mkewe mimba,akasubiri mpaka ajifungue?
😀😀 no wamezoea hivyo na nadhani sio peke yake... ni kama katolewa kafala ili wengine waogope ama uchama.. who knows?
Anasoma somewhere USA ... anakula semisterz na bado unatakiwa bungeni
 
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha
Unaweza ukawa na hoja ila hapo kwenye mambo ya uzazi usipaguse yasije yakakukuta. Unless kama alitaka mtoto wake akazaliwe marekani ili apate uraia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu kwenye utumishi wa umma huwezi ukafutwa kazi bila kupewa nafasi ya kujitetea ambayo nasari hakupewa. Pia, sidhani kama nasari ameshapewa barua rasmi ya kufutwa ubunge wake. Hii hoja ya nasari ni kuwatoa watanzania kwenye mijadala mikubwa ya kitaifa na kujadili mambo ya ovyo. Hii hoja ya lowasa kurudi ccm haijapata mwanya kabisa wa kujadiliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Speaker huwa hakose
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha
Speaker huwa hakosei na hatakuja kukosea,hata kwa Lissu hakukosea na hatakosea,uongozi wake ndani ya bunge ni wakufata kanuni na si maagizo.Hongera sana mkamilifu.
 
Ila jmn ht km ndio mambo ya mimba, miezi tisa ya utoro kazini ni mingi sana unless labda km yy ndio angekuwa anaumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hv ni jukum la spika kumuita au yy ndio alitakiwa kutoa taarifa ya kwnn amekuwa mtoro?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana amenasa kwenye ujanja wake mwenyewe.
Wati Jerry Muro anampigia kelele utoro jimboni alisema yuko nje ya nchi anasoma na picha zikapostiwa mitandaoni...
Hivi juzi msibani aliwaomba wananchi radhi kwa kutokuwepo jimboni kwa muda mrefu kwa sababu "alikuwa nje ya nchi akiwatafutia misaada."
Siki chache baada ya panga la Ndugai kumkumba akaanza kulia na ugonjwa wa mkewe.
Hii story ya ugonjwa wa mke ndio inasikika mara ya kwanza..
 
Hv ni jukum la spika kumuita au yy ndio alitakiwa kutoa taarifa ya kwnn amekuwa mtoro?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria inasema, ukikosa vikao vitatu bila taarifa yyt ile unaliwa kichwa. Hakuna sheria inaposema utaitwa ujielezee kwanini uhudhurii Bungeni au upewe onyo.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Najua hapa kuna ' Wabobezi ' wakubwa tu na wazuri wa mambo ( masuala ) ya Kisaikolojia hivyo nawaomba waangalie Mkutano wa aliyekuwa Mbunge Nassari jana alipokuwa akizungumza na Wana Habari kisha watupe ' Observation ' yao kwani kuna mengi tu yamejificha na kuna Maswali mengi yapo Kwake.

Nawasilisha.
 
IVF NDO UMEONA NENO KUBWA SANA.RUDIA KUSOMA ULICHOANDIKA.

HAWA WABUNGE WANAPEWA M NGAP KWA MWEZI???. WATU HAWANA HATA MIA UNASIKIA "NILIKUA KWA TIRAMPUUUUU KUMUUGUZA MAAMAAA ENUUU"

Sent using Jamii Forums mobile app


Omba Mungu wewe na kizazi chako usipate mtihani wa uzazi unaweza kuharibu kila kitu kwenye maisha yako. Amini nakuambia hizo picha sijui nipo kwa Trump ni kujipunguzia stress na kujifariji tu.
 
Sheria inasema, ukikosa vikao vitatu bila taarifa yyt ile unaliwa kichwa. Hakuna sheria inaposema utaitwa ujielezee kwanini uhudhurii Bungeni au upewe onyo.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Kweli kbs, spika yeye anasimamia sheria tu.
Hata km ataenda mahakamani bado ni kazi bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha mambo yako ya kilumumba. Mtu amekwambia ameuguliwa kwani alikwenda nje ya nchi kufanya shopping au kutalii?. Hapo busara ilitakiwa itumike kwa spika sema tu mtu mwenyewe ana chuki na wapinzani!
So Jackal umeona nimechangia ki CCM sana eti? Umewahi kuajiriwa au umejiajiri? Wafanyakazi wako unaweza kukubaliana nao tu wawe wanakaa makwao bila ruhusa yako? Au mahali unapofanyia kazi (kama umeajiriwa) unaweza kukaa tu home bila ruhusa?
Tumia akili, kuwa na MAHABA na CHADEMA siyo lazima uwe MPUMBAVU. Huyu mnayemtetea ameonesha dharau kubwa sana kwa waliomchagua, alipata ubunge kwa neema sana leo analeta sababu nyepesi kwenye jambo zito.
Amefukuzwa na CHADEMA mmepoteza jimbo tayari, na mimi nasema;
"HUYU ALIFIKA BEI, MBINU ALIYOTUMIA NI WELL PLANNED..."
Endeleeni kupoteza muda kumtetea wakati yeye anawachora tu.
Mimi sipo CCM wala CHADEMA ila huwa sipendi UJINGA.
 
Kwa mtazamo wangu, japo sio mtaalamu wa saikolojia, ila kwa uzoefu nilionao, hasa wa kuwasikiliza na kuwafuatilia wanasiasa.......ukweli mi kwamba kuna mengi yapo nyuma ya hili sakata, kijana Nassari anahadaa wapiga kura wake, anajua movie anayocheza.
 
Back
Top Bottom