Zungu: Mnaosema Bunge halina hamasa, mnataka itoke wapi?

Zungu: Mnaosema Bunge halina hamasa, mnataka itoke wapi?

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707


Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu (Mb), amesema Bunge la Tanzania linaendelea kutekeleza wajibu wake wa msingi wa kuisimamia Serikali na kuhakikisha ustawi wa wananchi, huku akisisitiza kuwa mafanikio ya maendeleo yanayoshuhudiwa nchini ni matokeo ya ushirikiano wa taasisi mbalimbali za dola.

Akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo Jumatano katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kuhusu Maadhimisho ya Miaka 100 ya Chimbuko la Bunge la Tanzania na masuala mbalimbali yanayolihusu Bunge, Spika Zungu amesema si sahihi kulitaja Bunge kuwa ni dhaifu kwa sababu kila Bunge hutekeleza majukumu yake kulingana na mazingira ya wakati wake, akisisitiza kuwa jukumu kuu la Bunge ni kutunga sheria, kuisimamia Serikali na kuhakikisha ustawi wa jamii.
 
Samahani wakuu ni nje ya mada.
Hali ipoje uko sabasaba maana ninataka kuja na familia yangu kwenye maonesho ya sabasaba.
 
Bunge lina miezi 8 tangu lizinduliwe lakini Lina maazimio 6 ya kumpongeza Mkuu wa muhimili mwingine wa Dola.
View attachment 3620378

Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu (Mb), amesema Bunge la Tanzania linaendelea kutekeleza wajibu wake wa msingi wa kuisimamia Serikali na kuhakikisha ustawi wa wananchi, huku akisisitiza kuwa mafanikio ya maendeleo yanayoshuhudiwa nchini ni matokeo ya ushirikiano wa taasisi mbalimbali za dola.

Akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo Jumatano katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kuhusu Maadhimisho ya Miaka 100 ya Chimbuko la Bunge la Tanzania na masuala mbalimbali yanayolihusu Bunge, Spika Zungu amesema si sahihi kulitaja Bunge kuwa ni dhaifu kwa sababu kila Bunge hutekeleza majukumu yake kulingana na mazingira ya wakati wake, akisisitiza kuwa jukumu kuu la Bunge ni kutunga sheria, kuisimamia Serikali na kuhakikisha ustawi wa jamii.
lizinduliwe
 
Takataka bombeii tu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Wabunge viti maalum ccm na wa Zanzibar wana mchango gani?
 
Back
Top Bottom