Manji: Nchi yangu hainithamini

Manji: Nchi yangu hainithamini

Somji Juma sifa za kuwa mtanzania ni zipi hizo ambazo Manji hana?


Tafuta Hotuba ya MWALIMU NYERERE ya kutangaza vita dhidi ya UGANDA..
achana na ile fupi na edited mnayonesha na TBC na youtube,tafuta ile full ya saa1 na dk37..
hapa baba wa taifa ndiyo anaelezea MTANZANIA NI NANI..

''Sasa sisi WATANZANIA......(anaelezea mtanzania ni nani)......Tunayo kazi moja tu watanzania kwa sasa tunayo kazi moja tu nayo ni kumpiga".....
 
Alafu kama anachopigania ni haki yake//anahangaika nini wakati mahakama zipo..

na kimsingi uzuri wa mahakama zetu ni kwamba hata katika awamu ya 4 ambayo serikali ilikuwa corrupt kupita kiasi mahakama haikuwahi kuhukumu kesi kwa kuipendelea serikali/jamhuri...

na umwambie huyu jamaa yako kwamba magufuli anatafuta mtu mmoja wa kumuoneshea mfano,Achunge sana..
 
Nafsi imamsuta huyo! Aachane na uwekezaji wa hila hila, akome kurubuni watumishi wa umma kupora haki za wanyonge, tunamthamini kama mwanadamu mwenyeji wa Tanzania lakini tunachukia sana baadhi ya vitendo vyake! Ajirudi

Well said mkuu, kwani unafikiri Manji ni mtu wa kupoteza muda wake katika mambo ya Udiwani au Masuala ya Mpira? Anachota watu akili kuendeleza uwekezaji wake wa hila hila tu, hana Uchungu wa kweli kwa Taifa letu na ana jeuri sana - anatoa wapi ubavu wa kutaka kulumbana kwa mbali na Rais wetu - kama anaona anaonewa kwa nini aombi fulsa ya kukutana na JPM akajieleza - sasa mbinu zake za kutumia media kufikisha ujumbe utamsaidia nini - si ataonekana ni mkorofi tu anasumbuliwa na jeuri ya pesa - kwa hiyo as far as is concern kila mtu ni fair game kwanke na bila shaka alikuwa amezoea kufanya apendalo bila ya kushtukiwa au kuchukuliwa hatua yoyote.

Hivi anaweza kutuangalia usoni akatuthibitishia kwamba is so smart kibiashara kuliko Watanzania wengine in otherwords ana business acumen ya kushida tender zote za kumiliki Coco Beach, kuvunja nyumba zote Magomeni sijui kuwekeza kitu gani, sina hakika kama naye hana ubia kwenye project zinazo endelea eneo la Oyster bay Polisi ya zamani, kama hayo hayatoshi kakimbilia tena Mbagala kwa kutumia mgongo wa Udiwani kutaka kuteka viwanja/aridhi kubwa kwa malengo yake mwenyewe kwa kuwarubuni Manispaa eti atafanya ubia nao lakini mwisho wa siku manispaa ingevuna fedha kiduchu tu, hawawezi kuwa na ubavu wa kukagua vitabu vyake vya mahesabu - tusisahau kwamba watu hawa wana mbinu nyingi sana, siwasemi vibaya lakini ukweli ndio huo.

Watu wenye busara wakisikia Head of State anasema kitu fulani hakifahi basi muhusika una throw in towel kwa kutambua kwamba Serikali/Rais ana vyombo vya kung'amua ulaghai na ujaja janja husio na tija, badala ya kuheshimu ushauri wa Rais yeye anakuja na makaratasi sijui na viambatanisho gani na visingizio chungu mzima anagharimia Airtime na media nyingine kuendeleza malumbano yasiyo na tija kwa Taifa - all is interested in ni ku-get EVEN - 4 what if I may ask?- Si hilo tu anakwenda mbali zaidi kwa kutaka kulazimisha Watanzania wamuheshimu - kasahau kwamba heshima inakuwa earned hainunuliwi au kulazimishwa.

Watu wengi wamemshauri humu kwamba kama shida yake ni kuwekeza karibu na Beach basi atafute sehemu nyingine, yeye hataki - mbona kuna sehemu karibu na Hotel ya Bahari Beach kuanzia makutano ya barabara inayo kwenda Ras Kilomoni na barabara ya Ununio ukifuata barabara ya Ununio kuna sehemu kubwa wanaprocess chumvi ukienda mbele kidogo kuna Mradi uliyo kuwa wa Wasomali au Gadddafi kwa ajili ya ujenzi wa nyumba naona mradi huo ulikuwa abandoned siku nyingi tu - sasa sehemu hiyo ni kubwa sana kuliko ya Coco Beach, kwa nini haendi kuwekeza huko.
 
Ukiona Tycoon analalama basi ujue maslahi yake yameguswa na watawala wapo kinyume nae. Pombe ni balaa
 
Kama hathaminiwi mbona jibu jepesi tu dawa ni kusepa atafute nchi inayothamini watu wajinga na wezi kama yeye.
 
2020 wafanyabiashara toka ccm hawataingia kwenye siasa tena,huyu jamaa hata kampen hafanya,pesa ilitumika sana.
 
Ukiona mfanyabishara wa kihindi kapania sana na kitu ujue kuna maslahi binafsi hapo.
Ingekuwa enzi za awamu ya nne angepewa tu huo ufukwe.
 
katika tukio moja mwaka flani katika utawala wajk na kitilya pale tra manji alishasamehewa kodi ya bilioni tatu kwa kutoa hongo ya milioni 800...hii story ilinishtua sana!
Manji ni jipu tu.Litumbuliwe
 
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.

Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.

We nawe unajulikana kuwa ni dodoki,,,sasa hapo unafikiri kweli tumuache tu kisa ameajiri watu kadhaa hapa nchini? Wanafikia idadi gani hao watu?
 
Kuna tangazo linarushwa Clouds, Manji Diwani wa Mbagala kuu ameonekana akilalamika sana juu moja ya kampuni yake kuhusu uendelezaji wa ufukwe Coco Beach. Ameeleza mengi mpaka suala la Magomeni.

natoa agizo kwa TCRA,waanze kuichunguza clouds FM radio.na wakibaini kasoro waifunge mara moja.

radio hii ilianza kidogo kidogokutumika
 
Somji Jumaa hivii wewe si mtoto wa yule mdosi patel ukakanwa ungali mimbani

Ss huyu si kaka yakoo nendaa kajitambulishe
 
Last edited by a moderator:
[h=1]Petrobras scandal: Brazil billionaire Andre Esteves arrested[/h]
  • 26 November 2015
  • From the section Business

_86882982_86882981.jpg
Image copyrightReuters
Image captionAndre Esteves was the head of the BTG Pactual investment bankOne of Brazil's richest businessmen and a top senator have been arrested as part of the sweeping corruption probe into state oil giant Petrobras.
Andre Esteves was arrested at his home in Rio de Janeiro. Documents were seized both from there and from the bank he heads in Sao Paulo.
At the same time, the leader of the governing Workers Party in the Senate, Delcidio Amaral, was also arrested.
Both men are accused of obstructing the course of the investigation.
Mr Esteves is Brazil's 13th richest man, worth an estimated $2.5bn (?1.7bn), while Mr Amaral is the first sitting legislator to be detained in the scandal.


 
Kuna tangazo linarushwa Clouds, Manji Diwani wa Mbagala kuu ameonekana akilalamika sana juu moja ya kampuni yake kuhusu uendelezaji wa ufukwe Coco Beach. Ameeleza mengi mpaka suala la Magomeni.

natoa agizo kwa TCRA,waichinguze clouds FM radio.wakibaini kasoro waifunge mara moja.

radio hii ilianza kidogo kidogo kujipendekeza kwa wanasiasa wa CCM nyakati za utawala wa JK.

Leo inatumiwa na manji kurumbana na mkuu wa nchi lakini pia manji anaitumia kujitafutia huruma ya wananchi.
 
[h=1]One percent of China billionaires jailed for bribery, other crimes:[/h]
 
hy Do Chinese Billionaires Keep Ending Up in Prison?

In most places, being ranked by a prominent magazine among the wealthiest people in the country constitutes a great honor. Not in China. Such lists, known as bai fu bang in China and published in Forbes and its Chinese equivalent Hurun, are described instead as the sha zhu bang: "kill pigs list."
In the last fifteen years, China has produced greater overall wealth than any other country. The number of its billionaires has gone from a mere 15 to around 250 in just six years, but for a number of these people this vaulted status is short-lived. According to one study, 17 percent of those on the list end up squealing their way to court or end up in jail. If they're lucky, those who are caught are investigated and jailed. Some are even executed.
British businessman Rupert Hoogewerf first introduced the China Rich List in 1999 as part of the Hurun Report, a magazine published about wealth and the wealthy in China. Hoogewerf defends his list from accusations that he unwittingly targets China's privileged, arguing that only one percent have run afoul with the law. The latest Hurun Rich List, however, belies this claim: it lists a handful of those have been arrested, charged or jailed.

NB;Badala ya kupambana na vijibu vidogo vidogo,serikali ya awamu hii inatakiwa imulike zaidi mijibu mikubwa.Hawa tunaowaita matajiri wakubwa ndo wametufikisha hapa.China wao hawakamati government officials tu,hata business leaders kama akina Manji mvua inawanyea tu.
 
Kuna watu wanaiharibu sana Tanzania. Wanafikiria wao ndio miungu yetu. ..waende watuachie nchi yetu
 
Hivi kuna vitendo vingapi vya uhujumu uchumi ambavyo amevifanya na amejaribu kufanya?! Yeye haithamini nchi yake.

Kuna watu wanafikiri wanachoifanyia Tanzania hakionekani.... dhuluma tupu kwa watu maskini. Na aende zake tu
 
Back
Top Bottom