Manji: Nchi yangu hainithamini

Manji: Nchi yangu hainithamini

Mie nawashangaa sana Wabongo kwa akili isiyoweza kuchanganua mambo!Hivi kwa akili yako unafikiri zile 700m zilikuwa ni za nini?

Hiyo fueza ilikuwa kuwachanganya Watz ili wasijue kilichokuwa kinaendelea kwene mchakato wa kumpata mgombea wa CCM kati ya Lowassa,Membe na Magufuli! Ndo maana hiyo Fedha yote ilirudishwa kwa mwenyewe na hakukuwa na kesi coyote!


Mkuu pesa hiyo ikikamatwa Lowasa alikuwa tayari kakatwa
 
Mpendwa Kwambuzi !!
punguza jazba na ukubuhu wa ubaguzi... Uwe mkweli jee wajua HOSPITALI ya MUHIBILI ILIJENGWA NA nani??
Jee wajuwa IKULU ya magononi ilijengwa na nani..??
Jee wajuwa Jiji la DAR lilijengwa na nani?
Jee wajuwa Chuo kiku cha USDM, UDOM lilifadhiliwa na nani..??
Jee wajuwa Masirika ya UMMA zaidi 150 alikuwa milik ya nani..??!!
jee wafahamu Shule za za msingi,sekondari na high school zilijengwa na nani...?
Kumradhi sana hujui kama kuna taasisi za kijamii (lions club,HHA,DYCC,Yatima, foundations nk nk nk) zina hudumia wananchi na kuwalipia masomo/malezi/missada na matibabu ndani na nje ya nchi...!!!
Ndugu yangu umelishwa chakula chenye chuki, na kuvishwa miawani yenye ubagauzi...
Jee wajuwa kuwa wakuu (Viongozi wengi nchini) wake zao ni hao uliyo wataja na kuwa nasibu na "ugeni" ?!!?
Sasa hao wa ESCROW na EPA na RICHMOUND NK NK NI akina nani..!?!!!?!?!?!?
Ukishindwa kuukana UFISADI.... basi usijumuishe au kujumlisha au usiwahusishe jamii fulani...!!!!
Mapungufu na uozo upo kila pembe za nchi.....

Kila la heri...
Dikson mpemba Hapa Duniani hatuishi na malaika!! Hakuna aliye msafi au Mla hewa!! sote tunafanya kazi na kuchuma tulicho wekeza !!!


Mara nyingi uko gentle and genuine. Lions club ilikuwa nzuri mwanzani ila kuanzia wahindi wajazane humo imeharibika. Hata ukiangalia hao wanaopelekwa India kwa sasa na lions club asilimia kubwa ni waasia. Ubaguzi bado upo, kwamba kuoa hao mabinti wa kiasia ni lazima uwe kiongozi?
 
Last edited by a moderator:
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga

Duuuuuu! Majizi na mafisadi yamesaidia sana hii nchi! Tumefika hapa tulipo kwa sbb ya majizi na wakwepa kodi! Jpm hamchukii mtu, anasimamia sheria na katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mara nyingi uko gentle and genuine. Lions club ilikuwa nzuri mwanzani ila kuanzia wahindi wajazane humo imeharibika. Hata ukiangalia hao wanaopelekwa India kwa sasa na lions club asilimia kubwa ni waasia. Ubaguzi bado upo, kwamba kuoa hao mabinti wa kiasia ni lazima uwe kiongozi?
Mkuu unao ushahidi ??!!??
 
Manji tunasubiri majibu kutoka kwako
 
Siwi mbaguzi, lakini suala hili lazima serikali ya Magufuli iliangalie kwa umakini: Sehemu kubwa ya Utajiri wa Tanzania imeshikwa na Wahindi.
Je sehemu kubwa ya uchumi ingeshikwa na wamakonde?
Kuna tofauti hapo?
Bado raisi angetakiwa kuwa makini?
Nini !mantiki ya hoja yako?
Kwamba uwaaminiuwaamini wahindi ktk ulipa Kodi? Huamini kuwa watatunza pesa Tanzania? Huamini kwamba hawa ni wenzetu?
Hebu fafanuu!
 
Nahofia tusijejuta..Maana miaka ya 70 Nvchi hii ilikabidhiwa wazawaa (yakiwemo kila kitu intact,Viwanda 500,Makampuni 1800,mashule maHospitali ,nk,nk) Mmmmh waddugu haikuchukuwa miaka 4 tuu... Muflisi na sabotage juu !!
mmmH waTz,,,bhana!! Sasa tunataka tena kunyakuwa na kubadhilishana kufedhehesha Umma !!
2kimo Goodrich
 
Watu wengine hawana shukrani kwa kweli, Lipumba kusoma hajui na hata kutazama picha hawezi.
 
Kuna tangazo linarushwa Clouds, Manji Diwani wa Mbagala kuu ameonekana akilalamika sana juu moja ya kampuni yake kuhusu uendelezaji wa ufukwe Coco Beach. Ameeleza mengi mpaka suala la Magomeni.

Ameeleza mafanikio yake kupitia kampuni yake ya Quality Plaza na dunia inavyomthamini. Ila amesema nchi yake haimthamini.. Sijajua nini maana ya Manji kusema nchi haimthamini, anakusudia nini Maana nchi ni watu na viumbe..

Anasemaje sisi watanzania hatumthamini wakati tumempa udiwani Mbagala na tumempa uenyekiti Yanga.

Naomba Manji atupe ufafanuzi ni nchi haimthamini au viongozi ndio hawamthamini?

Atueleze vizuri..
Hii sio nchi yake. Nchi sip kama nyumba au gari unamiliki peke yako.
Hata kama ni nyumba, migogoro ni kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Rejea saga ya enzi magu akiwa ardhi? Ninaongea na mwenye m*** na sio mb**** jeuri ya rupia. Sasa mwenye hayupo. M*** ndio mwenye!!!/ patamu haopo. Ajiinuaye..........
 
Back
Top Bottom