Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
aafu hawalipi hata kodi kwenye hizo kampuni zao.
unaweza kuta hata mimi nalipa kodi kubwa kuliko yeye kupitia mshahara wangu.
serikali ya kitapeli ya jk ndio ilikuwa inathamini wasiolipa kodi na kuwaacha walipa kodi.
hawa jamaa wanatakiwa kubanwa sana tupate kodi.
unaweza kuta hata mimi nalipa kodi kubwa kuliko yeye kupitia mshahara wangu.
serikali ya kitapeli ya jk ndio ilikuwa inathamini wasiolipa kodi na kuwaacha walipa kodi.
hawa jamaa wanatakiwa kubanwa sana tupate kodi.