Manji: Nchi yangu hainithamini

Manji: Nchi yangu hainithamini

aafu hawalipi hata kodi kwenye hizo kampuni zao.
unaweza kuta hata mimi nalipa kodi kubwa kuliko yeye kupitia mshahara wangu.
serikali ya kitapeli ya jk ndio ilikuwa inathamini wasiolipa kodi na kuwaacha walipa kodi.
hawa jamaa wanatakiwa kubanwa sana tupate kodi.
 
Bila shaka hapo wanaonekana kama wana kwao mwingine zaidi ya tz. Lkn vipi Mrugulu au Mgogo, ana mwingine. Sorry, but that is I see it. Back in 1995, wahindi wengi walihamisha familia zao wakisubiri haki ya Uchaguzi. Lkn akina Dionizi Na akina Mengi unadhani walifanya hivyo??
 
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga

Magufuli Amchukie Manji Kwa Lipi? Hamchukii Ila Kama Kuna Sehemu Alicheza/anacheza Rafu Asitegemee Kuwa Rafiki Wa Magu
 
Binafsi namwelewa maana biashara kubwa zinahitaji good name na good reputation sasa kwa yote yanayoongelewa yanamharibia kibiashara nakifamilia, Tanzania hasa kipindi hiki cha Maghufuri tusipokuwa makini tutakuwa victimised. Na inaonekana tender ilitangazwa na alishinda na kama kuna udanganyifu basi iwekwe wazi otherwise he is being victimised and he is right to come clean.
 
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.

Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.

Mkuu, Kwa hivyo atunyanyase tunyamaze kita ameajiri watu? Naomba uelewe kuwa hata angeajiri watu milion, hicho si kigezo cha kuthaminiwa. Kama kila mmoja aliye na uwezo wake tutamnyenyekea basi tumekwisha.
Asilalamike, nchi si udongo ni watu, akiwa mtu wa watu atatoka tuu ila ka yeye ni kujiona yeye tu, mmh! Kwa Tz hapati kitu
 
Ahame inchi,namjua kama mpigaji na mdhulumati ukifuatilia apeech ya mengi JPM hawezi muonea ivi ivi tuu kuna rafu apo.
Maana utajiri wote alionao ukiuliza kodi alipayo sasa ndo unaweza zimia

haaa haaa mkuu umenifurahisha sana hapo uliposema "waweza zimia".
 
tajaa kitendo hata kimoja alichohujumu

Wahindi sio waTanzania,
Ni wezi wakubwa, tafuta deal ya wizi mkubwa wa Serikali kama utamokosa Punjori.
Nenda UP, AP,Mumbai au Delhi au kokote India kama hata kushika mkono mademu zao watakuruhusu, Hapa tunawaogopa tunawapa mpaka Ubunge.
Wakati umefika warudi kwao au wafate sheria.
 
Sio unaropoka tu umeona tangazo au? Nenda kaangalie tangazo halafu urudi hapa home manji kapewa tuzo kama nani,
Umesoma alichoandika Elli au unakuja tu kusema naropoka!!??
 
Last edited by a moderator:
Binafsi namwelewa maana biashara kubwa zinahitaji good name na good reputation sasa kwa yote yanayoongelewa yanamharibia kibiashara nakifamilia, Tanzania hasa kipindi hiki cha Maghufuri tusipokuwa makini tutakuwa victimised. Na inaonekana tender ilitangazwa na alishinda na kama kuna udanganyifu basi iwekwe wazi otherwise he is being victimised and he is right to come clean.

Hakuna muhindi anafanya mambo kihalali, sio Dewji, Fida Hussein, Zakaria, Tanil au Punjori yoyote.
Wametumia udhaifu na njaa ya viongozi wetu kutunyonya na kutudharau.. JPM anarudisha heshima na utu sio Tanzania tu bali Africa Nzima
 
Bila shaka hapo wanaonekana kama wana kwao mwingine zaidi ya tz. Lkn vipi Mrugulu au Mgogo, ana mwingine. Sorry, but that is I see it. Back in 1995, wahindi wengi walihamisha familia zao wakisubiri haki ya Uchaguzi. Lkn akina Dionizi Na akina Mengi unadhani walifanya hivyo??

Wahindi kibao wana pasipoti zaidi ya moja.
 
Nafsi imamsuta huyo! Aachane na uwekezaji wa hila hila, akome kurubuni watumishi wa umma kupora haki za wanyonge, tunamthamini kama mwanadamu mwenyeji wa Tanzania lakini tunachukia sana baadhi ya vitendo vyake! Ajirudi



Kuna tangazo linarushwa Clouds, Manji Diwani wa Magala kuu ameonekana akilalamika sana juu moja ya kampuni yake kuhusu uendelezaji wa ufukwe Coco Beach. Ameeleza mengi mpaka swala la Magomeni.

Ameeleza mafanikio yake kupitia kampuni yake ya Quality Plaza na dunia inavyomthamini. ila amesema nchi yake haimthamini.. Sijajua nini maana ya Manji kusema nchi haimthamini, anakusudia nini? Maana nchi ni watu na viumbe..

Anasemaje sisi watanzania hatumthamini wakati tumempa udiwani Mbagala na tumempa uenyekiti Yanga? Naomba Manji atupe ufafanuzi ni nchi haimthamini au viongozi ndio hawamthamini?

Atueleze vizuri..
 
Tusimhukumu mzee Manji bila vielelezo vya uhakika,nilipoliskia lile tangazo lake clouds kuna kitu nilikismkia kuwa kuna watu wanamchafua kwa sababu za ushindani wake katika biashara! Tuweke maneno ya akiba!
 
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.

Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.

Hakuna ajira atayohama nayo na wala hawezi kuhama... Hawa wanaenjoy mpaka 200% margin, ni Tanzania pekee huo ujinga upo. Hawatahama tutawatimua warudi kwao haiwezekani muhindi afanye kazi moja na MTZ alafu ujira tofauti. Pamoja na faida bado wanalipa watu 100k per month...si bora vijana wetu wakalime kuliko kuwa watumwa kwa hawa Punjori
 
Alafu hilo Tangazo mwisho kama kawaida amempiga Mengi madongo kiaina anadai kuna ufisadi wa Dar Villa ambao unazibwa kwa kumsingizia yeye ufisad
 
Tusimhukumu mzee Manji bila vielelezo vya uhakika,nilipoliskia lile tangazo lake clouds kuna kitu nilikismkia kuwa kuna watu wanamchafua kwa sababu za ushindani wake katika biashara! Tuweke maneno ya akiba!

Na ndio anavyotaka muamini, wake up!
 
Tusimhukumu mzee Manji bila vielelezo vya uhakika,nilipoliskia lile tangazo lake clouds kuna kitu nilikismkia kuwa kuna watu wanamchafua kwa sababu za ushindani wake katika biashara! Tuweke maneno ya akiba!

Mkuu nyiny ndio mnawaamkia watoto kwa sababu wana hela Manji Ana uzee gani?
 
Nadhan muda wa kumdhibiti Manji umefika. Nimefatilia taarifa nyingi na wasifu wa huyu jamaa naona kabisa its enough kuyumbishwa nae. Hapo alipo kwanza alitakiwa hata afunge domo lake asiongee kitu coz ambayo ashatufanyia ni makubwa zaidi
1) Kwanza hastahili kuwa na pasi ya kusafiria ya Tanzania. Sheria hairuhusu kuwa na pasi zaidi ya 1,yeye anazo 4. Kwahyo ni Raia pacha wa nchi nyingne 3 ukiachilia tz. Sasa anaposema nchi yake inamuonea nakuwa simwelewi nchi ipi maana mf genocide ikitokea tz mwenzetu atakuwa NCHI YAKE nyngne huko.
2) Plots za serikali karibu zote Pugu road, Ubungo, Temeke ameachiwa, na Coco pia bado anaitaka? HAPANA aisee its enough. Hiyo QUALITY CENTRE yenyewe pia ilikuwa plot ya serikali, marehemu baba yake Mehbub Manji kwa jeuri na pesa zake akaikwapua, tumekaa kimya tu. Its time for him to shut up aachane na coco akijifanya jeuri JPM amtumbue na maeneo mengine aliyokiuka sheria na malipo ya kodi.
 
Back
Top Bottom