BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Unaweza kuniambia ni nani alikuwa anayaorodhesha hayo makabila? Unajua ni kwa nini Wajerumani na Waingereza wanaitwa wakoloni wakati Waarabu na Wareno wanaitwa wafanyabiashara? Historia ina tabia ya kuendelea kujiandika. Mwaka 1991 Tanzani ilikuwa na chama kimoja tu cha siasa, lakini baada ya mwaka 1992 bado Tanzania iliendelea kuwa na chama kimoja cha siasa? Hayo makabila yalihesabiwa mwaka gani na yalihesabiwa na nani? Hayo mambo ya kukaririshwa wengine hatuna habari nayo!!
hahahahaa mkuu watoto wa darasa la pili wamejaa humu kama utitili...vinalopoka tu without thinking, then vinajiita great thinker tehtehtehteh...jamii forrums imeingiliwa kwakweli