Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,073
Nchi yake ipi?Nchi yake ipi? Tanzania? Ngoja nikae kimya
Umeuliza swali zuri, kwa kuwa hao jamaa huwa wanakuwa na passport 3,.
Yaani za Tanzania, India na Canada!
Nchi yake ipi?Nchi yake ipi? Tanzania? Ngoja nikae kimya
Uongo umekujaa... Unasema nchi hii ilikuwa na wasomi wa kutosha baada ya kupata uhuru??? Hujielewi
kwenye EPA Manji si ndo alipiga mpunga na ile kampuni ya Kagoda ama?
Bramo nini India nenda Kenya katuonyeshe Mtanzania ambaye ni Diwani wa kule. Huu ni Ubaguzi wa kiwango kile kile cha wale wanaowabagua wenzao kutokana na dini zao. Kama Kenya Mtanzania hawezi kuwa Kiongozi ni kwa nini mtake Mtanzania akawe kiongozi India? Manji ni Mtanzania na ndiyo maana amechaguliwa kuwa Diwani wa Mbagala Kuu, ila yeye Kabila lake ni Mhindi kama Magufuli alivyo Msukuma!!
Somji Juma sifa za kuwa mtanzania ni zipi hizo ambazo Manji hana?
Bravo,
They're not Interested.Kumbuka hapa tunazungumzia Watanzania wenye asili ya KIHINDI.Tanzania haijafikia kiwango cha Ubaguzi wa kiasi hicho kwamba kuna rangi fulani ya Watanzania hawawezi kuajiriwa kwenye taasisi fulani simply because they COLOURED Tanzanians.
Kama kuna kifungu cha sheria ndani ya Katiba kinachomzuia Mtz mwenye asili ya Kihindi kiweke hapa tukijadili! Kama Mtz mwenye asili ya Kihindi anaweza kuwa WAZIRI seuze POLISI,JESHI au Magereza?????Hakika ni kichekesho!
ukishafanya kazi kwa wahindi akili inadumaa!, huwezi kuhama!, utabaki kutumwa tu, shabani!!!, iko toto lia! shabani!!!, iko osha gar angu iko chafu sana!, kaa kwa wahindi hukohuko, wenzako tumeishajitambua!magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Wahindi waondoke nchini. Wazawa tumiliki uchumi.wanakazi ya kuchuma na kwenda kuwekeza kwao.watanzania tuache unafiki hawa jamaa si wenzetu.
tajaa kitendo hata kimoja alichohujumu
Mkuu umenipa darsa fupi lakini lenye uhalisia haswa. Asante mkuuAllen Kilewella
ndyo Manji sio MTANZANIA,..
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa MTANZANIA na RAIA WA TANZANIA..
unaweza ukaja leo TANZANIA na ukaomba uraia wa TANZANIA na ukawa RAIA WA TANZANIA ila sio MTANZANIA..
MTANZANIA sio sawa na RAIA/MWANANCHI WA TANZANIA..
tajaa kitendo hata kimoja alichohujumu
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Borat69 Bramo Daud1990 nashangaa kwa nini hoja nyepesi namna hii mnashindwa kuielewa. Ninaposema Manji ni mhindi simaanishi kwamba anatoka India. Kuna wajaluo Kenya na wapo wajaluo Tanzania pia, kuwa Mjaluo hakukufanyi uwe ni Mkenya au Mtanzania. Mimi ninachotaka mniambie ni kwamba Manji kakosa sifa gani ambazo nyie mnazo zinazomfanya asiwe ni mtanzania? Kama ni rangi yake na uasili wake ndiyo unawafanya nyie msimuone Mtanzania, basi huo ni Ubaguzi na hauna tofauti na MAKABURU wa Afrika Kusini waliokuwa wanambagua Mwafrika kutokana na rangi yake!
Unaweza kuniambia ni nani alikuwa anayaorodhesha hayo makabila? Unajua ni kwa nini Wajerumani na Waingereza wanaitwa wakoloni wakati Waarabu na Wareno wanaitwa wafanyabiashara? Historia ina tabia ya kuendelea kujiandika. Mwaka 1991 Tanzani ilikuwa na chama kimoja tu cha siasa, lakini baada ya mwaka 1992 bado Tanzania iliendelea kuwa na chama kimoja cha siasa? Hayo makabila yalihesabiwa mwaka gani na yalihesabiwa na nani? Hayo mambo ya kukaririshwa wengine hatuna habari nayo!!katika makabila 120 yaliyorekodiwa kuwepo Tanzania hakijawahi kuwepo kabila la kihindi.