Katika Hali isiyo ya kawaida Manispaa ya Kinondoni imeonesha ubaguzi wa Hali ya juu, hii imetokea katika Mradi wa ujenzi wa Stand Mpya inayojengwa eneo la Mwenge Dar es Salaam, ambapo katika eneo hilo taasisi Mbili za kiislam na kikristo zinamiliki maeneo ya Ibada.
Picha na video ni matukio ya leo tarehe 30 mwezi wa kumi na moja mwaka 2022
Taasisi hizi zinakaa kwa Umoja na Amani kwa Muda Mrefu lakini hawa Manispaa ndio wanataka kutengeneza chokochoko.
Zote zimetakiwa kupisha ujenzi wa Stand ya Kisasa na zote zimekubali kufanya hivyo kwa makubaliano ya kupata fidia kutoka serikalini.
Taasisi ya kikristo imevunjiwa ukuta na Iko mbioni kuvunjiwa choo ambacho hutumika katika ibada na kisima cha ubatizo bila fidia, wakati huo Manispaa inaendelea na ujenzi wa taasisi ya upande wa pili wa imani kama fidia
Picha na video ni matukio ya leo tarehe 30 mwezi wa kumi na moja mwaka 2022
Taasisi hizi zinakaa kwa Umoja na Amani kwa Muda Mrefu lakini hawa Manispaa ndio wanataka kutengeneza chokochoko.
Zote zimetakiwa kupisha ujenzi wa Stand ya Kisasa na zote zimekubali kufanya hivyo kwa makubaliano ya kupata fidia kutoka serikalini.
Taasisi ya kikristo imevunjiwa ukuta na Iko mbioni kuvunjiwa choo ambacho hutumika katika ibada na kisima cha ubatizo bila fidia, wakati huo Manispaa inaendelea na ujenzi wa taasisi ya upande wa pili wa imani kama fidia