Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
... Mange anawafuasi wengi na asilimia kubwa humuelewa.. Dada yangu alikuwa CCM pure ila Leo tu kabadilika
... PolePole ni mtu wa mitandao ya kijamii hivyo ataumia kuona anachofanya Mange ukizingatia yeye ni mtu wa Itikadi na Uenezi hivyo akiendelea kumjibu atazidi kukichafua Chama..Mange akiibua clip za Polepole kipindi cha katiba ni hatari sana kwake na Chama
... Kuna watu wanaosoma na kumuelewa kimya kimya na kulisha sumu wengine...huwa mitandao inasambaza habari exponentially ndio maana info za social network zinakuwa viral...
... Sasahivi kila mwenye shida na aliyeonewa hutuma lalamiko kwake.. Yaani Amekuwa kama sanduku la maoni hii huleta picha mbaya serikalini hata kama ni uongo...
... Alikuwa ndani ya CCM na anajua madudu yao na ana marafiki wengi wapo humo.. Wakimpa info za ndani na kuziweka public Chama kitaangamia
.. Anawavutia sana millenials ambao huwa kawaida hawapendi siasa na sasa wanapata updates kila siku... Hii ni hatari Kwa Chama cha Mapinduzi..
Mange Spring is Real... CCM tuchukue tahadhari mapema!
Ethos
Unachukuaje tahadhari kwa Kitu cha kipumbavu kama hiki? Tangu hiyo mange spring ianze mpaka sasa ina muda gani? Huko instagram kwake kapost only six videos za watu waliochoma ndani ya masaa zaidi ya 54 tangu alipochoma ile yake.
Ili kuwe na madhara na CCM wachukue tahadhari at least kungekuwa na more than 3000 members wamechoma moto kadi. Hicho alichokifanya ni ni utoto na propaganda mfu za chadema kupitia Mawakala wao.
ili afanikiwe kwa speed hii ya sasa inabidi operation yake aiendeleze for more than 30 years ndio atleast CCM watafeel a pinch of pain.
Otherwise tuendelee tu kumsupport kwasababu hiyo ndio dawa pekee ya Kumsaidia apone Kichaa chake.