mwanaume mzima kumshambulia mwanamke kwa persona attack huwa napata wasiwasi sana!kachanganyikiwa hana mbele wala nyuma anaishi kwa pesa ya child support.
Mtoa mada amesema Mange alikuwa anafanya kazi ya chama kumtukana Lowassa. Nimesikitika.Kipindi akimtukana LOWASSA si mlikuwa mnashangilia?
Ugonjwa mmeulea wenyewe huu. Sasa umewarudia.
Ni aibu sana na fedheha CCM kukiri kwamba mnatetewa na Malaya,kumbe zile kelele zenu za kujitia Mna maadili ni unafiki mkubwa,2015 itakua mlitumia hadi Mashoga nyie kuwa campaignJina la Mange si geni kwa watanzania wengi . kabla ya kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii hasa instagram katika kipindi cha kampeni za mwaka 2015 kwa kumtuka kisawasawa Mgombea Ukawa (lowasa), Mange Kimambi ailikuwa maarufu sana nchini miaka ya 2006-2009 kwa biashara ya UKAHABA kabla ya kutimkia Nchini Marekani kuendeleza biashara yake ya UKAHABA ila akapata bahati ya kuolewa nchini huko na mteja wake wa siku nyingi.
Mange amejinasibu kuwa yeye ni mwanachama wa CCM wa muda mrefu ila ukweli ni kwamba Mange Kimambi ni mwanachama wa CCM kuanzia tarehe 03/03/2015, akagombea ubunge mwezi wa 8/2015 katika jimbo la Kinondoni(uchaguzi wa ndani) akaangukia pua (alishika nafasi ya mwisho).
Alifanyakazi yenye maslahi binafsi kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 instagram, alimsumbua sana January ili amtumie USD 5000 ya vocha ili aendeleze moto wake wa watusi kwa lowasa, wakati huohuo alikuwa akimshawishi kinana na bulembo ili wamshawishi magufuli amkumbuke kwenye ufalme wake,,wote walimwambia asijari wafanye kazi kwanza fadhila zitalipwa baadae.
Baada ya uchaguzi Mange akakumbushia ahadi zake kwa January, kinana na bulembo na akajibiwa kuwa kazi aliyokuwa anaifanya alifanya kutimiza wajibu wake kama mwanachama na kuhusu uteuzi akaambiwa asubiri busara za Magufuli
Baada ya Magufuli kumaliza teuzi zake muhimu, Mange akamgeukia Magufuli na kufanya kazi ya kumchafua, kukigeuka chama chake na hatimae kuchoma kadi ya CCM. Alianza kumsifia Lowasa, kukisifia Chadema na kuweka mipango ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kupia Chadema.
Kwasasa Mange ameachika na mumewe mzungu kutokana na kuchoshwa na tabia yake ya UKAHABA uliokubuhu.
TABIA NI KAMA NGOZI HUWEZI KUIBADILI
Many Divorced women wanaishi kwa child support wala yeye sio wa kwanza na hatokua wa mwishokachanganyikiwa hana mbele wala nyuma anaishi kwa pesa ya child support.
Mkuu povu linakutoka sana. Achana na hizo mambo utakufa na preasure.Jina la Mange si geni kwa watanzania wengi . kabla ya kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii hasa instagram katika kipindi cha kampeni za mwaka 2015 kwa kumtuka kisawasawa Mgombea Ukawa (lowasa), Mange Kimambi ailikuwa maarufu sana nchini miaka ya 2006-2009 kwa biashara ya UKAHABA kabla ya kutimkia Nchini Marekani kuendeleza biashara yake ya UKAHABA ila akapata bahati ya kuolewa nchini huko na mteja wake wa siku nyingi.
Mange amejinasibu kuwa yeye ni mwanachama wa CCM wa muda mrefu ila ukweli ni kwamba Mange Kimambi ni mwanachama wa CCM kuanzia tarehe 03/03/2015, akagombea ubunge mwezi wa 8/2015 katika jimbo la Kinondoni(uchaguzi wa ndani) akaangukia pua (alishika nafasi ya mwisho).
Alifanyakazi yenye maslahi binafsi kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 instagram, alimsumbua sana January ili amtumie USD 5000 ya vocha ili aendeleze moto wake wa watusi kwa lowasa, wakati huohuo alikuwa akimshawishi kinana na bulembo ili wamshawishi magufuli amkumbuke kwenye ufalme wake,,wote walimwambia asijari wafanye kazi kwanza fadhila zitalipwa baadae.
Baada ya uchaguzi Mange akakumbushia ahadi zake kwa January, kinana na bulembo na akajibiwa kuwa kazi aliyokuwa anaifanya alifanya kutimiza wajibu wake kama mwanachama na kuhusu uteuzi akaambiwa asubiri busara za Magufuli
Baada ya Magufuli kumaliza teuzi zake muhimu, Mange akamgeukia Magufuli na kufanya kazi ya kumchafua, kukigeuka chama chake na hatimae kuchoma kadi ya CCM. Alianza kumsifia Lowasa, kukisifia Chadema na kuweka mipango ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kupia Chadema.
Kwasasa Mange ameachika na mumewe mzungu kutokana na kuchoshwa na tabia yake ya UKAHABA uliokubuhu.
TABIA NI KAMA NGOZI HUWEZI KUIBADILI
Sasa mkuu kuna watu wanamfollow kila leo na hapa mnavyomuandama team Lumumba ndio mnazidi kumpa umaarufu watu wanazidi kumtafuta ili wamjue.mange hana influence yoyote kwa mtu mwenye akili timamu ni malaya tu kama wengine
Dada taratibu
Daa!! watu mnafahamu mambo ya ndani ya watu, nijuavyo mimi haya mambo mtu anaweza kumhadithia mtu mwingine akiwa yupo kumpumuliaKwasasa Mange ameachika na mumewe mzungu kutokana na kuchoshwa na tabia yake ya UKAHABA uliokubuhu.
TABIA NI KAMA NGOZI HUWEZI KUIBADILI
Na bahati nzuri amewataja hao wakubwa zao wanawafundisha matusi kuwa ni kina...,urembo urembo na janutaNadhani haya matusi mnafundishwa na wakubwa zenu huko CCM . Siamini mtoto mdogo kama wewe unaweza kutoa lugha chafu namna hii.