Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

Jina la Mange si geni kwa watanzania wengi . Kabla ya kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii hasa instagram katika kipindi cha kampeni za mwaka 2015 kwa kumtukana kisawasawa Mgombea Ukawa (Lowasa),

Mange amejinasibu kuwa yeye ni mwanachama wa CCM wa muda mrefu ila ukweli ni kwamba Mange Kimambi ni mwanachama wa CCM kuanzia tarehe 03/03/2015, akagombea ubunge mwezi wa 8/2015 katika jimbo la Kinondoni(uchaguzi wa ndani) akaangukia pua (alishika nafasi ya mwisho).

Alifanyakazi yenye maslahi binafsi kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 instagram, alimsumbua sana January ili amtumie USD 5000 ya vocha ili aendeleze moto wake wa watusi kwa Lowasa,

Wakati huohuo alikuwa akimshawishi Kinana na Bulembo ili wamshawishi Magufuli amkumbuke kwenye ufalme wake,,wote walimwambia asijali wafanye kazi kwanza fadhila zitalipwa baadae.

Baada ya uchaguzi Mange akakumbushia ahadi zake kwa January, Kinana na Bulembo na akajibiwa kuwa kazi aliyokuwa anaifanya alifanya kutimiza wajibu wake kama mwanachama na kuhusu uteuzi akaambiwa asubiri busara za Magufuli.

Baada ya Magufuli kumaliza teuzi zake muhimu, Mange akamgeukia Magufuli na kufanya kazi ya kumchafua, kukigeuka chama chake na hatimae kuchoma kadi ya CCM.

Alianza kumsifia Lowasa, kukisifia CHADEMA na kuweka mipango ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupia CHADEMA.

Kwa sasa Mange ameachika na mumewe mzungu kutokana na kuchoshwa na tabia yake ya UKAHABA uliokubuhu.
TABIA NI KAMA NGOZI HUWEZI KUIBADILI

Mange-Kimambi-0011.jpg


001.JPG


005.jpg


 
Upuuzi mtupu kuamini kama mange anaushawishi wa 60% ya watanzania 55mils. Kuna sababu nyingi za kuwa follows wa mtu , kuchukuliwa kuwa ni ufuasi, kwa mtu mwenye akili timamu ni kujidanganya.
Binadamu wengi wanapenda umbea kwa asili na ndiyo maana hata magazeti ya udaku hununuliwa sana na wanaomfata huyo bidada kimsingi wanafata umbea wake na si yeye kama yeye.
 
Mkuu yaani chama kikubwa kama nyinyi mnaka kikao na kuanza kumjibu Mange????/

Shame on you Lumumba buku 7 ...

Hivi unaweza ukaniamnisha kabisa kuwa Mange alikuwa anawasiliana na January licha ya kumchafua vile yeye dada yake kwenye IG page yake.

Mange licha ya umalaya (kama ulivyosema ingawa not proved) wake ila ana influence kubwa sana kwa wanawake wenzie na wale wapenzi wa umbeya wa mjini.

Hii movement ya kuchoma kadi za chama chako najua inawaumiza sana ila kaa ukijua mange ana followers zaidi ya laki saba na wengi wanarespond positive kila wazo analotoa Mange.

Mtafute njia ya kumziba mdomo ila sio hii ya kwenye social network hamtomuweza kamwe.
Labda mumuombe Le Mutuz naye awasaidie maana sometimes huwa wanawezana hawa watu.
 
INGEKUWA SERIKALI "YA YULE JAMAA" HOPEFULLY, ANGEPEWA JAPO U-DC
 
Kwani aliposema watu wachome kadi, walikuwa wanazichomea Texas?
Kuandamana lazima iwe toka point A kwenda point B,kadi Waweza choma ukiwa popote halafu ukarusha clip.Ila andamana sasa ukutane na kibano cha Jeshi tukufu la TZ.
 
Kama alikuwa anafanya kazi kwa kuwafurahisha nyie iweje kazi yake ya leo iwahuzunishe! Acheni namm namsupoti kama mlivyokuwa mnamsapoti nyie!

Unajua inabidi tubadilike, iweje mtu huyo alikuwa kwenu yaani alikuwa upande wenu mkawa mnaona anafanya mazuri tu na mnachekelea alafu leo mtu huyo huyo kakugeuzia shingo unamwona mbaya kweli jamani? Binafsi unafiki huwa siupendi hakika! Ila kwa sababu mlimlea na kumjaza noti acha aendelee kutupa update za upande huo!
 
Kila mnavyojitahidi kumchafua naona mnazidi kuchafuka nyinyi zaidi, kwa hili unathibitisha kuwa Chama chenu cha kijani Ndio mbinu zenu hizo kumbe? Halafu hujajibu hoja ya mange hata 1 ila umemshambulia binafsi yeye,
Uzuri wake anajua kurusha makombora yake anakushambulia kwa hoja sasa jibu kwa hoja,
Anayosema kuhusu mfalme wetu yanajulikana vizuri,
Kiukweli kijani mngekaa kimya tu, huyu mange sijaona anaeweza kupambana nae huko nyinyiemu,
Na kwa kukukumbusha tu mange anawakilisha sauti za waliominywa haijalishi katoka upande gani
 
Mange waburuze tuuuu hakuna namna, all we want is free democracy, period! udictator uliisha enzi za wakina Mussolini na wenzie
 
Jina la Mange si geni kwa watanzania wengi . kabla ya kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii hasa instagram katika kipindi cha kampeni za mwaka 2015 kwa kumtuka kisawasawa Mgombea Ukawa (lowasa), Mange Kimambi ailikuwa maarufu sana nchini miaka ya 2006-2009 kwa biashara ya UKAHABA kabla ya kutimkia Nchini Marekani kuendeleza biashara yake ya UKAHABA ila akapata bahati ya kuolewa nchini huko na mteja wake wa siku nyingi.
Mange amejinasibu kuwa yeye ni mwanachama wa CCM wa muda mrefu ila ukweli ni kwamba Mange Kimambi ni mwanachama wa CCM kuanzia tarehe 03/03/2015, akagombea ubunge mwezi wa 8/2015 katika jimbo la Kinondoni(uchaguzi wa ndani) akaangukia pua (alishika nafasi ya mwisho).
Alifanyakazi yenye maslahi binafsi kwa CCM kwenye uchaguzi wa 2015 instagram, alimsumbua sana January ili amtumie USD 5000 ya vocha ili aendeleze moto wake wa watusi kwa lowasa, wakati huohuo alikuwa akimshawishi kinana na bulembo ili wamshawishi magufuli amkumbuke kwenye ufalme wake,,wote walimwambia asijari wafanye kazi kwanza fadhila zitalipwa baadae.
Baada ya uchaguzi Mange akakumbushia ahadi zake kwa January, kinana na bulembo na akajibiwa kuwa kazi aliyokuwa anaifanya alifanya kutimiza wajibu wake kama mwanachama na kuhusu uteuzi akaambiwa asubiri busara za Magufuli
Baada ya Magufuli kumaliza teuzi zake muhimu, Mange akamgeukia Magufuli na kufanya kazi ya kumchafua, kukigeuka chama chake na hatimae kuchoma kadi ya CCM. Alianza kumsifia Lowasa, kukisifia Chadema na kuweka mipango ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kupia Chadema.
Kwasasa Mange ameachika na mumewe mzungu kutokana na kuchoshwa na tabia yake ya UKAHABA uliokubuhu.
TABIA NI KAMA NGOZI HUWEZI KUIBADILI

Sasa ilikuwaje CCM ilimruhusu huyu Mange agombee nyadhifa muhimu ndani ya CCM, wakati ikijua kuwa huyu dada ni mtu wa matusi na kahaba? Au matusi aliyokuwa akimtukana Lowassa ilikuwa sio kitu.??
Kwa nini CCM ilimkubalia huyo Mange kuwania nafasi nyeti kama hiyo wakati ikijua kuwa huyu mdada ana uraia wa USA? wakati huo huo serikali haijaruhusu kwa mtu mwenye raia mbili kupata uongozi Tanzania?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nadhani haya matusi mnafundishwa na wakubwa zenu huko CCM . Siamini mtoto mdogo kama wewe unaweza kutoa lugha chafu namna hii.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom