tulia weye,watz tuko mil 45 + mpk sasa,minus hao laki 7 ni taka tu.mwenzenu anachokonoa serikali ili imclaim aombe ukimbizi,serikali hii hii iliyomnyima ubunge na ukuu wa wilaya aliowazia atapata mitandaoni,badala yake akaishia jela alivyonusa bongo,ni kwamba pale alipotangaza kugombea ubunge,ndoa ilikua matatani sana,kisha kuwekwa ndani ndo kabisa na aliachiwa kwaajili ya watoto haya kurudi us bwana nae anabwaga nyanga,mbaya zaidi mume kachukuliwa na aliekua best friend yake insta muscula girl mmoja hivi toka zim ndo alibeba huyo mume wa mange tena live mchana kweupe,mange alishamtusi sana huyo demu,dem akamchukulia bwana kamtombesha safi tu kisha akamuacha aendelee mbele,
mange aliapa mume wake hawezi kosea akatembea na huyo nyani akimuita,dem akajibu tu okay.
wii ya 2huyo alieitwa gorilla nyani akaonekana yuko na huyo mume wa mange pool,mara dinner,mara home.
na dem aliefanya hivyo wanaishi mji mmoja jirani tu,mange hajathubutu hata kuuliza.
sasa nyie nyumbu mnapofata mkumbo mjue au kuuliza japo destination,nyie mko hapo vumbini likivumbuluka la kupindua nyie wote keko itawahusu,mwenzenu anaomba protection huko aliko.
chomeni tu hizo kadi,badae msije omba ushauri hapa.kumbukeni ni sirikali ya MAKUFULI.