Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

...
... Alikuwa ndani ya CCM na anajua madudu yao na ana marafiki wengi wapo humo.. Wakimpa info za ndani na kuziweka public Chama kitaangamia
Kuna watu walikuwa na siri za CCM kama KINGUNGE na LOWASA? Kawaulize kilichowapata CCM na siri zao walizokuwa wakijua.Mange is a non entity.Na kwa taarifa yenu msiojua wafuasi wengi mnaosema anao kwenye mitandao asilimia kubwa walikuwa CCM wenzie kaondoka angalieni atakavyodorora kama akina kingunge na lowasa
 
Mange ananguvu sana kwa upande Wa kina Dada Na kina mama Wa nyumbani kuna watu hawalali bila kumsoma mange hii kampeni amefanikiwa ccm naamini watabaki Na watu wachache sana mwisho Wa siku watapoteza majimbo mengi sana
 
Mim natamani kuchoma moto hadi migomba yaani nikiona tu kijani naichukia


Hakuna kitu duniani naichukia kama Shetani na ccm
 
Kuna watu walikuwa na siri za CCM kama KINGUNGE na LOWASA? Kawaulize kilichowapata CCM na siri zao walizokuwa wakijua.Mange is a non entity.Na kwa taarifa yenu msiojua wafuasi wengi mnaosema anao kwenye mitandao asilimia kubwa walikuwa CCM wenzie kaondoka angalieni atakavyodorora kama akina kingunge na lowasa

...ni tofauti, CCM haina siri za Mange.
 
Jicho lako laona mbali
Mange ananguvu sana kwa upande Wa kina Dada Na kina mama Wa nyumbani kuna watu hawalali bila kumsoma mange hii kampeni amefanikiwa ccm naamini watabaki Na watu wachache sana mwisho Wa siku watapoteza majimbo mengi sana
 
Upo sahihi sana... QUOTE="Bavaria, post: 18949810, member: 295384"]Mange ni mdomo wa whistle blowers ndani ya chama na serikali.
Ni watu ambao wanajua siri na hawataki wajulikane. Wanamtumia yeye kuzisema.
Kwahiyo, CCM ikae mkao wa kula.[/QUOTE]
 
tulia weye,watz tuko mil 45 + mpk sasa,minus hao laki 7 ni taka tu.mwenzenu anachokonoa serikali ili imclaim aombe ukimbizi,serikali hii hii iliyomnyima ubunge na ukuu wa wilaya aliowazia atapata mitandaoni,badala yake akaishia jela alivyonusa bongo,ni kwamba pale alipotangaza kugombea ubunge,ndoa ilikua matatani sana,kisha kuwekwa ndani ndo kabisa na aliachiwa kwaajili ya watoto haya kurudi us bwana nae anabwaga nyanga,mbaya zaidi mume kachukuliwa na aliekua best friend yake insta muscula girl mmoja hivi toka zim ndo alibeba huyo mume wa mange tena live mchana kweupe,mange alishamtusi sana huyo demu,dem akamchukulia bwana kamtombesha safi tu kisha akamuacha aendelee mbele,
mange aliapa mume wake hawezi kosea akatembea na huyo nyani akimuita,dem akajibu tu okay.
wii ya 2huyo alieitwa gorilla nyani akaonekana yuko na huyo mume wa mange pool,mara dinner,mara home.
na dem aliefanya hivyo wanaishi mji mmoja jirani tu,mange hajathubutu hata kuuliza.

sasa nyie nyumbu mnapofata mkumbo mjue au kuuliza japo destination,nyie mko hapo vumbini likivumbuluka la kupindua nyie wote keko itawahusu,mwenzenu anaomba protection huko aliko.

chomeni tu hizo kadi,badae msije omba ushauri hapa.kumbukeni ni sirikali ya MAKUFULI.
Tatueni matatizo ya wananchi maisha ya mtu kuolewa kuachika kuchukuliwa mume hayatuhusu,je hoja zake ni za kweli?au ukiwa mkweli ndo unakuwa adui mkubwa wa fisiem?halafu msitishe sana watu itafika mahali watu hawata ogopa vitisho vyetu sijui mtajificha wapi.
 
Kuna watu walikuwa na siri za CCM kama KINGUNGE na LOWASA? Kawaulize kilichowapata CCM na siri zao walizokuwa wakijua.Mange is a non entity.Na kwa taarifa yenu msiojua wafuasi wengi mnaosema anao kwenye mitandao asilimia kubwa walikuwa CCM wenzie kaondoka angalieni atakavyodorora kama akina kingunge na lowasa
Lowasa kadorora?
 
hahah,ivo kumbe zoez ni linafanyika kwel? kwamb,watyu wanachoma kadi zao za kijani,kw kampen iliyoanzishw na mange? embu weken videoz bhas wadau mlomuunga mkono mwenzenu.wallah hat mi ngekuwa nayo au mwanacc...ngekuwa shaipga life ban kadi yang.
Ingia page yake IG utafurahi na show
Watu wamechoka na wamejipindia haaaa haaa,shujaa kawageuka wanahaha km wamenywesha maji ya betri ya Gari,shikilia hapo hapo wakuite kibibi,kibabu endelea kuwatibua Mange mpaka watapike na km wana mimba wakazae fyuuu.
 
Kuna watu walikuwa na siri za CCM kama KINGUNGE na LOWASA? Kawaulize kilichowapata CCM na siri zao walizokuwa wakijua.Mange is a non entity.Na kwa taarifa yenu msiojua wafuasi wengi mnaosema anao kwenye mitandao asilimia kubwa walikuwa CCM wenzie kaondoka angalieni atakavyodorora kama akina kingunge na lowasa

BAVICHA ni watu wa kuwaonea huruma sana. Mleta thread si ajabu naye anajiita mchambuzi wa siasa.
 
Back
Top Bottom