Mange achoma moto kadi ya CCM live

Mange achoma moto kadi ya CCM live

... Mange anawafuasi wengi na asilimia kubwa humuelewa.. Dada yangu alikuwa CCM pure ila Leo tu kabadilika

... PolePole ni mtu wa mitandao ya kijamii hivyo ataumia kuona anachofanya Mange ukizingatia yeye ni mtu wa Itikadi na Uenezi hivyo akiendelea kumjibu atazidi kukichafua Chama..Mange akiibua clip za Polepole kipindi cha katiba ni hatari sana kwake na Chama

... Kuna watu wanaosoma na kumuelewa kimya kimya na kulisha sumu wengine...huwa mitandao inasambaza habari exponentially ndio maana info za social network zinakuwa viral...

... Sasahivi kila mwenye shida na aliyeonewa hutuma lalamiko kwake.. Yaani Amekuwa kama sanduku la maoni hii huleta picha mbaya serikalini hata kama ni uongo...

... Alikuwa ndani ya CCM na anajua madudu yao na ana marafiki wengi wapo humo.. Wakimpa info za ndani na kuziweka public Chama kitaangamia

.. Anawavutia sana millenials ambao huwa kawaida hawapendi siasa na sasa wanapata updates kila siku... Hii ni hatari Kwa Chama cha Mapinduzi..


Mange Spring is Real... CCM tuchukue tahadhari mapema!


Ethos
Kama Mange ni tishio kwa CCM naomba chadema mumchukue awe mgombea wenu 2020.
Halafu anaonekana ni maarufu kuliko Lowasa ana wafuasi wengi kuliko Lowasa huyo chizi wenu
 
... Mange anawafuasi wengi na asilimia kubwa humuelewa.. Dada yangu alikuwa CCM pure ila Leo tu kabadilika

... PolePole ni mtu wa mitandao ya kijamii hivyo ataumia kuona anachofanya Mange ukizingatia yeye ni mtu wa Itikadi na Uenezi hivyo akiendelea kumjibu atazidi kukichafua Chama..Mange akiibua clip za Polepole kipindi cha katiba ni hatari sana kwake na Chama

... Kuna watu wanaosoma na kumuelewa kimya kimya na kulisha sumu wengine...huwa mitandao inasambaza habari exponentially ndio maana info za social network zinakuwa viral...

... Sasahivi kila mwenye shida na aliyeonewa hutuma lalamiko kwake.. Yaani Amekuwa kama sanduku la maoni hii huleta picha mbaya serikalini hata kama ni uongo...

... Alikuwa ndani ya CCM na anajua madudu yao na ana marafiki wengi wapo humo.. Wakimpa info za ndani na kuziweka public Chama kitaangamia

.. Anawavutia sana millenials ambao huwa kawaida hawapendi siasa na sasa wanapata updates kila siku... Hii ni hatari Kwa Chama cha Mapinduzi..


Mange Spring is Real... CCM tuchukue tahadhari mapema!


Ethos
On other side mange anaongeaga vitu vya ukwel.. tatzo lake kubwa anafanya bila kufikiria... nahs anaitaji counselling ya kutosha.. but in honest huwa kuna cku ananena yaliyo ya kwel.. sema matus ndio yana muharibia as kama amechanganyikiwa vile
 
tulia weye,watz tuko mil 45 + mpk sasa,minus hao laki 7 ni taka tu.mwenzenu anachokonoa serikali ili imclaim aombe ukimbizi,serikali hii hii iliyomnyima ubunge na ukuu wa wilaya aliowazia atapata mitandaoni,badala yake akaishia jela alivyonusa bongo,ni kwamba pale alipotangaza kugombea ubunge,ndoa ilikua matatani sana,kisha kuwekwa ndani ndo kabisa na aliachiwa kwaajili ya watoto haya kurudi us bwana nae anabwaga nyanga,mbaya zaidi mume kachukuliwa na aliekua best friend yake insta muscula girl mmoja hivi toka zim ndo alibeba huyo mume wa mange tena live mchana kweupe,mange alishamtusi sana huyo demu,dem akamchukulia bwana kamtombesha safi tu kisha akamuacha aendelee mbele,
mange aliapa mume wake hawezi kosea akatembea na huyo nyani akimuita,dem akajibu tu okay.
wii ya 2huyo alieitwa gorilla nyani akaonekana yuko na huyo mume wa mange pool,mara dinner,mara home.
na dem aliefanya hivyo wanaishi mji mmoja jirani tu,mange hajathubutu hata kuuliza.

sasa nyie nyumbu mnapofata mkumbo mjue au kuuliza japo destination,nyie mko hapo vumbini likivumbuluka la kupindua nyie wote keko itawahusu,mwenzenu anaomba protection huko aliko.

chomeni tu hizo kadi,badae msije omba ushauri hapa.kumbukeni ni sirikali ya MAKUFULI.


Kuyaongelea maisha binafsi ya Mange mnapenda kweli ohhhh aliachwa aliachwa ...ila sasa Faru John akiambiwa alimtyson mkewe mnakuja juuu ohhhh maisha yake binafsi ...

Kweli nimeamini aliyewashikia akili vijana wa Lumumba alishakufa
 
Kama yeye ni hatari basi kila mtu anaweza kuwa hatari. Hana lolote wengi tumemjua humu humu insta na jamiiforums hajawahi kuwa na wadhifa wa kutetemesha CCM. Hana siri wala lolote. Ni mfa maji. Ashughulikiwe.
Kama ni MFA maji kwa nn unapendekeza ashughulikiwe??? Chochote unachopanga kukishughulikia ina maana kina madhara nawe
 
Mnasema mwnge sio sumu hhhhh lakini amewashika pabaya hhhhhh
 
Kama ni MFA maji kwa nn unapendekeza ashughulikiwe??? Chochote unachopanga kukishughulikia ina maana kina madhara nawe
Wote waliorukwa na akili (vichaa) mahala pao ni Mirembe Mtaani anafanya nini?. Si unajua vichaa wanaweza kuwa kinyesi akataka kila mtu amlishe. Haikubaliki Kula kinyesi labda uwe na wewe zimefyatuka.
 
... Mange anawafuasi wengi na asilimia kubwa humuelewa.. Dada yangu alikuwa CCM pure ila Leo tu kabadilika

... PolePole ni mtu wa mitandao ya kijamii hivyo ataumia kuona anachofanya Mange ukizingatia yeye ni mtu wa Itikadi na Uenezi hivyo akiendelea kumjibu atazidi kukichafua Chama..Mange akiibua clip za Polepole kipindi cha katiba ni hatari sana kwake na Chama

... Kuna watu wanaosoma na kumuelewa kimya kimya na kulisha sumu wengine...huwa mitandao inasambaza habari exponentially ndio maana info za social network zinakuwa viral...

... Sasahivi kila mwenye shida na aliyeonewa hutuma lalamiko kwake.. Yaani Amekuwa kama sanduku la maoni hii huleta picha mbaya serikalini hata kama ni uongo...

... Alikuwa ndani ya CCM na anajua madudu yao na ana marafiki wengi wapo humo.. Wakimpa info za ndani na kuziweka public Chama kitaangamia

.. Anawavutia sana millenials ambao huwa kawaida hawapendi siasa na sasa wanapata updates kila siku... Hii ni hatari Kwa Chama cha Mapinduzi..


Mange Spring is Real... CCM tuchukue tahadhari mapema!


Ethos
Wacha upuuzi. Ametoka Lowassa ndio mange kimambi? Wee unafikiri ccm ni kikao cha harusi? Hii ccm ya magufuli haina muda kupoteza na wababaishaji wambea wa mtaani. Mange kuondoka is good riddance. Ila angerudisha kadi sio kuichoma. na hii inadhihirisha asivyo mtu mstaarabu. hata kama mange kimambi anauwezo gani wa kumwaga sumu mwisho wa yote sumu yake itamuua mwenyewe.
 
Mange si lolote ndani ya ccm. Kuondoka kwake chama hakiwez kufa hata siku moja..ni mchumia tumbo tu katoswa madaraka anaanza kueneza utumbo wake mitandaoni tu..who is she by z way? CCM ipo imara na kamwe haiteteleki kwa kuondoka mtu kama yy.
 
MANGE ANAWARUSHA ROHO EE
MTATAMANI MALAIKA ASHUKE MWAKA HUU
 
Kama Mange ni tishio kwa CCM naomba chadema mumchukue awe mgombea wenu 2020.
Halafu anaonekana ni maarufu kuliko Lowasa ana wafuasi wengi kuliko Lowasa huyo chizi wenu

Pinga hoja Kwa hoja... Mimi effects zake naziona...

Mange Spring, The UnderDog
 
Back
Top Bottom