Clara Daud
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 542
- 273
Kuna watu walikuwa na siri za CCM kama KINGUNGE na LOWASA? Kawaulize kilichowapata CCM na siri zao walizokuwa wakijua.Mange is a non entity.Na kwa taarifa yenu msiojua wafuasi wengi mnaosema anao kwenye mitandao asilimia kubwa walikuwa CCM wenzie kaondoka angalieni atakavyodorora kama akina kingunge na lowasa
Hayo unayoonga angalia mange si kama hao hana cha kupoteza ohooooooo