Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inategemea umefungwa na Timu gani,Uwanja upi na Magoli mangapi,ni AIBU kwa Man U kufungwa magoli 3 na Bournamouth tena Old Trafford,enzi zetu pale OT ilikuwa ni machinjio,siku hizi pamekuwa kama Uwanja wa Kuchezea Vigodoro tu
Old Trafford sasa hivi imekua ni shamba la bibi, kila anaekuja anajipigia tu.
Sasa hivi timu pinzani karibia zote zinafurahia kuchezea Old Trafford kuliko kwenye uwanja wao wa nyumbani.
 
In short, as for now hatuna team ya ku compete kuchukua makombe, this season is done n dusted hata kabla ya kuanza, let's try may be in five or six years to come endapo kama Uongozi utakua na maono kama ya baadhi ya mashabiki wa humu wanao amini kwa team yenye kariba ya utd haiwezi kufanya revamp ya kikosi kwa msimu mmoja
Ulitukanwa Sana ulinyanyasika Sana humu
 
Siku zinaenda maneno yangu yanabaki Kama kumbukumbu

Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,

Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m

The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,


Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
 
njoo hapa
Bei ya Havertz na Højlund ni almost the same. Havertz ambaye katika misimu yote aliyocheza Chelsea hajawahi kuvuka goli 10 per season (kwenye ligi) pamoja na kuchezeshwa kama forward. Last season kaanza kwenye mechi 30 kaishia goli 7. Højlund ambaye kaanza mechi 20 ana goli 9.
Na bado unapata nguvu ya kuja kuponda humu. Kwani unafikiria kwa kutumia matope auView attachment 2702686View attachment 2702687
 
amrabat huyu aliyekimbizwa na Sospeter Bajana hapo Kwa mkapa?
Nalisubiri sana dili la Amrabat,bonge la kiungo,especially kama atachezeshwa na Mount,namfananisha na De jong,japo De jong ni mtu na nusu,ila sio mbaya...
Atleast Casemiro atapumua,na sometime wanaweza wakaanza wote,Case 6,amrabat 8
 
Back
Top Bottom