Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani analazimisha Fernández achieve non stop. Is a mistake.

Alimuuza Fred kimakosa. Atashida ya viungo na mabeki.
 
Yaani analazimisha formation moja dark zote 90 why usibadili formation...kama wanapacki bus kwa nn wewe usipaki bus
 
Sijaona long pass, kama wale jamaa wamebana katikati na beki, kwanini aibqdili formation. Leo ameonesha hana uwezo wowote
 
kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa leo barobaro boys tuende tukaone burudani moto moto.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 3 vs Bournemouth 1

GGMU

tunalitaka kombeView attachment 2837663
20231209_090031.jpg
 
Manchester United have now lost more Premier League home games since Sir Alex Ferguson retired (35) than they did during his 21 seasons in charge of the club (34).
 
Eric Ten hag ni kocha mzuri ila ataangushwa na wachezaji anaowasajili asipokuwa makini pmj na wale aliowakuta

Km kocha anapenda kazi yake hawa waondoke sio wachezaji wa kuanza

Macktonmy
Amrabat
Antony
Martial
Pelstri

Casemiro energy imekata
Ericksen ni mgonjwa
Varane gari ya mkaa




Kikukweli wachezaji wa uhakika manchester angalau wanaonyesha uhai ni

Bruno
Dalot
Shaw
Bisaka
Hojlund
Gernacho

Na maguire kwa mbali

Kocha angemuacha degea akashughulikia kupata DM wa uhakika msimu huu lkn hakutoa kipaumbelea kwa kiungo mkabaji kunanipa wasiwasi

Ukipita kwenye platform za manchester united,mashabiki wanamuamini sana Eric ila asijisahau

Manchester united sio arsenal au liverpool

Manchester united ni km madrid kocha hawezi kupewa zaidi ya misimu mitatu bila kuleta postive impact kwenye timu


Naamini kocha analijua hilo



Nimeumia sana leo wachezaji wanacheza km vile hawajafanya mazoezi kwa wiki mzima
 
Ndio kuna wachezaji kama tisa hawatakiwi kuwepo Utd uncoachable kwakwel na pia Kocha hatuna apa Yan hata Bournemouth anatukanda 3 mtungi nyumban
 
Kwenye dirisha kubwa eric alifanya panic buy and sell kwa kutumia hasira za matokea ya fainali ya FA na Europa


Ukiangalia kwa ndani


Eric alikasrika sana juu ya degea kufungwa magoli yale fainali

Hivyo hivyo kwa maguire kwenye europa na sevila

Kumwondoa Fred na kumleta amrabat ananinipa wasiwasi mkubwa sana


Km kocha anaamini amrabat ndio atasolve nafasi ya DM linaweza kumtokea puani
Yaani analazimisha Fernández achieve non stop. Is a mistake.

Alimuuza Fred kimakosa. Atashida ya viungo na mabeki.
 
Yani Toka ile sub ya Fulham Mctominay alivyofunga goli kaamua kumtumia kwa mtindo huohuo hata kama hana msaada kwenye timu
 
Kocha anacheza mfumo ambao haumsaidii hojlund kufunga mabao sasa kwann alimsajili huyu kijana?


Gernacho akifika sehemu ya kutoa pass ya goli anajipigia cross wala haangalii hojlund kajipostion wapi hivyo hivyo kwa antony na rashford

Full back dalot alikuwa ana nafasi ya kutoa pass ila akajipigia mpira nje uku hojlund akiwa amesmama free

Ina maana kocha hawaambii huko mazoezini?

Ten hag should wake up kwa kweli sipendi apoteze kazi kwasababu naona anakitu cha kuleta taji la Epl old trafford

Ila kwa kuruhusu huu uzembe wa wachezaji wake uwanjani itamgharimu
 
Mie leo haya matokeo hata hayaniumi maana hamis77 na genge lake hawawezi kutia pua zao humu.
Bayern mwenyewe kala gongo 7 itakua United kufa 3 tu!
Inategemea umefungwa na Timu gani,Uwanja upi na Magoli mangapi,ni AIBU kwa Man U kufungwa magoli 3 na Bournamouth tena Old Trafford,enzi zetu pale OT ilikuwa ni machinjio,siku hizi pamekuwa kama Uwanja wa Kuchezea Vigodoro tu
 
Mkuu, nakuelewa sana. Na je magoli ya onana ya waziwazi je.

Yaani ten hag ni kama utawala wa jiwe na mzee wa msoga.

maguire akaambiwa na mzee wa mzee wa msoga relax and don't say a word.

baadae maguiametulia ila jana maguire alitufungisha. Japo ni makosa ya kawaida.

aliwauza wafia timu.
Kwenye dirisha kubwa eric alifanya panic buy and sell kwa kutumia hasira za matokea ya fainali ya FA na Europa


Ukiangalia kwa ndani


Eric alikasrika sana juu ya degea kufungwa magoli yale fainali

Hivyo hivyo kwa maguire kwenye europa na sevila

Kumwondoa Fred na kumleta amrabat ananinipa wasiwasi mkubwa sana


Km kocha anaamini amrabat ndio atasolve nafasi ya DM linaweza kumtokea puani
 
Inategemea umefungwa na Timu gani,Uwanja upi na Magoli mangapi,ni AIBU kwa Man U kufungwa magoli 3 na Bournamouth tena Old Trafford,enzi zetu pale OT ilikuwa ni machinjio,siku hizi pamekuwa kama Uwanja wa Kuchezea Vigodoro tu
Old Trafford sasa hivi imekua ni shamba la bibi, kila anaekuja anajipigia tu.
Sasa hivi timu pinzani karibia zote zinafurahia kuchezea Old Trafford kuliko kwenye uwanja wao wa nyumbani.
 
Back
Top Bottom