kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa leo barobaro boys tuende tukaone burudani moto moto.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Bournemouth 1
GGMU
tunalitaka kombeView attachment 2837663





Yaani analazimisha Fernández achieve non stop. Is a mistake.
Alimuuza Fred kimakosa. Atashida ya viungo na mabeki.
Hawa kwanza Mctominay na rashfordNdio kuna wachezaji kama tisa hawatakiwi kuwepo Utd uncoachable kwakwel na pia Kocha hatuna apa Yan hata Bournemouth anatukanda 3 mtungi nyumban
Inategemea umefungwa na Timu gani,Uwanja upi na Magoli mangapi,ni AIBU kwa Man U kufungwa magoli 3 na Bournamouth tena Old Trafford,enzi zetu pale OT ilikuwa ni machinjio,siku hizi pamekuwa kama Uwanja wa Kuchezea Vigodoro tuMie leo haya matokeo hata hayaniumi maana hamis77 na genge lake hawawezi kutia pua zao humu.
Bayern mwenyewe kala gongo 7 itakua United kufa 3 tu!
Kwenye dirisha kubwa eric alifanya panic buy and sell kwa kutumia hasira za matokea ya fainali ya FA na Europa
Ukiangalia kwa ndani
Eric alikasrika sana juu ya degea kufungwa magoli yale fainali
Hivyo hivyo kwa maguire kwenye europa na sevila
Kumwondoa Fred na kumleta amrabat ananinipa wasiwasi mkubwa sana
Km kocha anaamini amrabat ndio atasolve nafasi ya DM linaweza kumtokea puani
Old Trafford sasa hivi imekua ni shamba la bibi, kila anaekuja anajipigia tu.Inategemea umefungwa na Timu gani,Uwanja upi na Magoli mangapi,ni AIBU kwa Man U kufungwa magoli 3 na Bournamouth tena Old Trafford,enzi zetu pale OT ilikuwa ni machinjio,siku hizi pamekuwa kama Uwanja wa Kuchezea Vigodoro tu
Aiseee Hii timu ni gari bovuuu la mkaaaHili jukwaa mbona Kama Limesuswa hivi.





😂😂TRIP SHAMBA, TRIP GEREJI. 😂😂😂😂😂