Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Wakala aliyefanikisha kusajiliwa Anthony na mount amepatikana
Hapo hela imekuwa spent kwa wachezaji 6 tu10hag akimsajili amrabati na Hojlund atakuwa ametumia karibu €500m ndani ya muda mfupi, Hawa ndio wachezaji aliosajili
Unajifunza niniView attachment 2702379
Wanahofia labda kupoteza baadhi ya wadhamini japo kuna tetesi zimeenea leo kuwa wiki ijayo baada ya kurudi toka US yatafanywa maamuzi na pia inasemekana Adidas wanataka kuingia naye mkataba.Wazungu wabaguzi sana mahakama imeshamclear mason greenwood eti wao bado
10hag akimsajili amrabati na Hojlund atakuwa ametumia karibu €500m ndani ya muda mfupi, Hawa ndio wachezaji aliosajili
Unajifunza niniView attachment 2702379
Anatengeneza timu ya kushindana na man city, madrid, bayern na Psgmwingine huyo kaongezeka10hag akimsajili amrabati na Hojlund atakuwa ametumia karibu €500m ndani ya muda mfupi, Hawa ndio wachezaji aliosajili
Unajifunza niniView attachment 2702379
€85m kwa CF mwenye 9 goals ,hajafikisha hata mechi 90mwingine huyo kaongezekaView attachment 2702442

Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,![]()
![]()
![]()
![]()
Anatengeneza timu ya kushindana na man city, madrid, bayern na Psg
Ten Hag has spent €429m on 7 players. €61m per player…BREAKING: #mufc will pay Atalanta £64m fixed fee + £8m in add-ons for Rasmus Hojlund. [
@David_Ornstein
]
€85m kwa CF mwenye 9 goals ,hajafikisha hata mechi 90
Nahitaji mwanasheria karibu kuzungumzia hili![]()
Tumelipia potential aliyonayo. Pia bado United kwenye negotiations hawapo vizuri na Atalanta wametumia uhitaji wetu wa striker kupata pesa kutokana na uhaba wa strikers sokoni.Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,
Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m
The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,
Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Sitaki kuamini kuwa mpaka leo hii bado hujui kwanini mashabiki wanataka Glazers waondoke labda kama hii ni meme tu.
Barca wamesajili striker kinda toka ligi ta Brazil kwa €60m ni kutokana na soko la washambuliaji kuwa gumu.Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,
Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m
The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,
Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Mashabiki wanaandamana sio kwa sababu Glazers wanatoa pesa ya usajili ama hawatoi hebu fiatilia chanzo.