Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Tumelipia potential aliyonayo. Pia bado United kwenye negotiations hawapo vizuri na Atalanta wametumia uhitaji wetu wa striker kupata pesa kutokana na uhaba wa strikers sokoni.Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,
Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m
The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,
Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Hojlund msimu uliopita kacheza dk 1834 ktk mechi 32 za Serie A. Maana yake hakucheza dk 1046 kutimiza mechi 32 zenye dk 90 mechi nyingi alianzia sub.
Ana 13 G/A ktk mechi 20 (1834 mins) kwa mchezaji wa miaka 20 ni stats nzuri.
Overall 2022/23 ana 24 G/A. Kwenye fee nitakubaliana na wewe ni overpriced ila hakuna namna options nyingine ndiyo hizo za Osimhen €150m na Kane £100m.
