Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakala aliyefanikisha kusajiliwa Anthony na mount amepatikana
20230729_200525.jpg
 
10hag akimsajili amrabati na Hojlund atakuwa ametumia karibu €500m ndani ya muda mfupi, Hawa ndio wachezaji aliosajili

Unajifunza niniView attachment 2702379
Hapo hela imekuwa spent kwa wachezaji 6 tu

Weghorst aliyekuwa kwa mkopo wa muda mfupi sio wa kumuhesabu kwa sababu hayupo tena.

Evans nae yupo kwa muda mfupi tu free agent

Eriksen naye ni free agent

Labda hapo kwa Weghorst awekwe Hojlund awe wa 7 na tukiongeza beki awekwe kwa Evans ambaye sidhani kama yupo kwa plans anaweza vp kucheza mbele ya Varane na Lindelof?
 
Sajili za mourinho

Eric Bailly: £30m
Henrikh Mkhitaryan: £26m
Paul Pogba: £89m
Victor Lindelof: £31m
Romelu Lukaku: £75m
Nemanja Matic: £40m
Alexis Sanchez: £30m
Lee Grant: £1.5m
Fred: £50m
Diogo Dalot: £19m
Zlatan Ibrahimovic: Free

Hao wote wamekuwa failure ukilinganisha na expectation tulizoweka juu yao...kama yupo aliefanya vizuri tuseme...


One thing Ten Hag anasajili wachezaji wake tutamjudge pale akikamilisha kazi yake.

Total: £391.5m
 
Anatengeneza timu ya kushindana na man city, madrid, bayern na Psg
Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,

Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m

The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,


Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
 
Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,

Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m

The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,


Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Tumelipia potential aliyonayo. Pia bado United kwenye negotiations hawapo vizuri na Atalanta wametumia uhitaji wetu wa striker kupata pesa kutokana na uhaba wa strikers sokoni.

Hojlund msimu uliopita kacheza dk 1834 ktk mechi 32 za Serie A. Maana yake hakucheza dk 1046 kutimiza mechi 32 zenye dk 90 mechi nyingi alianzia sub.

Ana 13 G/A ktk mechi 20 (1834 mins) kwa mchezaji wa miaka 20 ni stats nzuri.

Overall 2022/23 ana 24 G/A. Kwenye fee nitakubaliana na wewe ni overpriced ila hakuna namna options nyingine ndiyo hizo za Osimhen €150m na Kane £100m.
 
Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,

Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m

The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,


Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
Barca wamesajili striker kinda toka ligi ta Brazil kwa €60m ni kutokana na soko la washambuliaji kuwa gumu.

Cheap way ya kupata washambuliaji ni uchukue wale 30+ kwa bure au mkopo na bado hawataonesha uwezo ndio alternative zile za akina Weghorst zinahusika.

Hiyo hela imechangiwa na presha zaidi toka kwa PSG.


Ukitaka mshambuliajj wa bei cheap ni wazee/waliojichokea ama toka Championship
 
Back
Top Bottom