Kwa akili yako ya hovyo bado hujajifunza kuacha ngebe kwa Man Utd?Kaumeme kamerudi huku nikachaji simu kidogo nikasema niingie humu niwape za uso kwanza ndiyo niende kuwapongeza wenzangu. Heh! Kumbe nyie ndiyo mmetufunga?
Hongereni. Nasevu maneno yangu kwenye Microsoft word Kwa next game ambayo tutawacharaza mpaka muache meno uwanjani





















Ni positional flexibility tuu, ambayo kocha anaamua. Ila dogo ni CM, kuna wakati alicheza kama RB na RCB.Huyu dogo ana cheza namba 6 au namba 2?? Maana jn nmeona anakaa sana kulia kwa bissaka
Namkubali sana Kane (complete striker) lakini £100m+ kwa mchezaji wa miaka 30 siyo usajili mzuri.Habari za usiku huu:
JUST IN: Manchester United could revive their interest in Harry Kane after being informed that Tottenham’s chairman, Daniel Levy, has been told by the club’s majority owner, Joe Lewis, the striker cannot be allowed to run down his contract and leave for nothing next year.