Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Narudi palepale kuwa hamna akili


Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.

So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.

Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.


Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash
Wewe dogo umekuja kasi sana. Hebu punguza kuwatukana watu. Hujui kama kuna watu humu umri wa baba au babu yako halafu wewe unawaita hawana akili randomly.
 
Wewe dogo umekuja kasi sana. Hebu punguza kuwatukana watu. Hujui kama kuna watu humu umri wa baba au babu yako halafu wewe unawaita hawana akili randomly.
Kuna dogo mmoja wa Arsenal huwa anatukana watu ajabu siku hiyo nikaona anasema mwaka 2018 ndio alimaliza form four nikashangaa anapata wapi ujasiri wa kutukana humu kina baba zake.

Any way kuhusu huyu Al-Hadidy yuko sawa alianza kuchokozwa yeye hata kama wewe ni mtu mzima ukianza kuchokoza uwe tayari kupokea majibu.
 
Manchester United can confirm that Kobbie Mainoo suffered an ankle injury during the match against Real Madrid on Tour 2023. The midfielder is expected to be ruled out for the first part of the 2023/24 season.
Dah hii ni habari mbaya kwa dogo hata msimu uliopita alipata injury ya kumweka nje kwa nusu msimu.

Sijaangalia mechi hiyo injury kubwa namna hiyo ilikuwaje ?
 
Hata kwa back 4 yenye kipa sweeper mtamuona yupo vzr tu, Geoff Lea mpaka kesho anaamini Maguire ni beki mzuri ila ameangushwa na mifumo ya timu

Westham walitaka watumie advantage hii wakati mnamuona hafai wampate kwa Bei ndogo ,
So saa hizi ikitokea kabaki anaweza kupambania namba na Varane!

Naona akibakia maana West Ham hawawezi kutoa €50m United inayoitaka
 
So saa hizi ikitokea kabaki anaweza kupambania namba na Varane!

Naona akibakia maana West Ham hawawezi kutoa €50m United inayoitaka
Inatafutwa hela ya kumchukua Hojlund. Na ukizingatiwa Maguire alinunuliwa kwa hela nyingi awezi kuuzwa kwa hela ndogo. Kuna habari nilisoma Man u inataka angalau 40

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ile mech nimeangalia jamaa amewaongezea kitu Cha tofauti

Kuna transition zile huwa mnafanya kuanzia kwa Bruno kwenda kwa Rashford , kupitia pass za onana na anavyosogea Sana juu itakuwa rahisi Sana mipira kufika kwa Bruno au kiungo mwingine na mkafanya shambulizi la hatari hivo Kuna point mtaongeza

Onana anacheza Kama beki kiungo , hapo kaanza kunitisha ,sijui kwanini Chelsea hawakuingilia hili dili mumkose

Sasa hivi hata magwaya mtamuona wa maana
Uchambuzi mzuri sana huu. Maguire ni mbaya akicheza karibu sana na goli ila akichezea mbali hana madhara yeyote.
 
Kuna Mchezaji Kasajiliwa Kwa £60m Na Hajui Goli Lipo Upande Gani Mpaka Leo Ila Tu Ana Mikimbio Mizuri
Sijamtaja Mtu Mimi
20230729_192707.jpg
 
10hag akimsajili amrabati na Hojlund atakuwa ametumia karibu €500m ndani ya muda mfupi, Hawa ndio wachezaji aliosajili

Unajifunza nini
20230729_195143.jpg
 
Back
Top Bottom