Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Case na Amrabat pivot yao itakuwa hatari sana halafu mbele yao akisimama Bruno anakuwa free kufanya mambo yake.

Yule dogo Greenwood wamrudishe aisee. Pale mbele akisimama Rashford, Hojlund, Greenwood ni magoli tu yananukia.
 
Hapo kwa manjesta kugombea ubingwa nilipitiwa nilipoona mnamwaga pesa mkasajili bull Striker Hojlund 0012
Ila mnanishangazaga Sana mbona toka pre season tuliwaambia na tuliweka ushahidi wa kimazingira ,kwanini tunaenda kugombea ubingwa

Maandiko yapo , audio kule space zipo

Msimu huu tumesajili zaidi ,haihitaji ramli kujua tunaenda kupigania ubingwa no matter what

Maombi yetu sisi wahafidhina wa football ,mancity aondokewe na Gundo Bernado mahrez , amebaki Bernado

Wanaochungulia mpira kwa jicho la 3 wanajua kabisa kuondoka kwa Gundo, mahrez na Bernado ni pengo kubwa Sana kwa city ,

Manjesta kitakachowaua ni depth ya kikosi ,

Niambie Casemiro aki drop au suspension zake zile au injury mna replace na Nan? Amrabat?

Kule mbele bado historia inaonesha Rashford Hana consistency yakueleweka na ndiye mbeba maono wa manjesta

Japo kiuhalisia kabisa

Arsenal, mancity , manjesta ndio favourite kwa kugombea ubingwa

Newcastle msimuhesabie kwanza ana michuano mingi pili Hana depth yakutosha ,halafu kule UCL wamemuweka pot 3
 
Thomas Tuchel tells #MUFC there will be no let up from Bayern at Old Trafford despite already qualifying as group winners as he demands a reaction from Saturday’s 5-1 defeat at Eintracht Frankfurt
 
Screenshot_2022-11-22-17-10-44-81.jpg
Screenshot_2022-11-22-17-10-44-81.jpg
 
Eric Ten hag ni kocha mzuri ila ataangushwa na wachezaji anaowasajili asipokuwa makini pmj na wale aliowakuta

Km kocha anapenda kazi yake hawa waondoke sio wachezaji wa kuanza

Macktonmy
Amrabat
Antony
Martial
Pelstri

Casemiro energy imekata
Ericksen ni mgonjwa
Varane gari ya mkaa




Kikukweli wachezaji wa uhakika manchester angalau wanaonyesha uhai ni

Bruno
Dalot
Shaw
Bisaka
Hojlund
Gernacho

Na magumire kwa mbali

Kocha angemuacha degea akashughulikia kupata DM wa uhakika msimu huu lkn hakutoa kipaumbelea kwa kiungo mkabaji kunanipa wasiwasi

Ukipita kwenye platform za manchester united,mashabiki wanamuamini sana Eric ila asijisahau

Manchester united sio arsenal au liverpool

Manchester united ni km madrid kocha hawezi kupewa zaidi ya misimu mitatu bila kuleta postive impact kwenye timu


Naamini kocha analijua hilo



Nimeumia sana leo wachezaji wanacheza km vile hawajafanya mazoezi kwa wiki mzima
Pogba alisema mashabiki wa United hawajui mpira.

Kwamba pamoja na timu kutokua na muelekeo hata baada ya pesa yote aliyotumia bado mna imani naye
 
ndugu yangu allypipi mpaka dakika hii sijaona prediction yoyote.
Leo vipi Man Utd inacheza na dunia iko na furaha kama kawaida au bado dunia iko na majonzi na simanzi kwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na wazayuni huko Gaza?
tapatalk_1472587482_335x459.jpg
 
Mimi nataka hawa manyumbu goal difference yao isome -10, ila siyo lazima mfanye hiyo kazi nyie peke yenu. Wapige 1-0 halafu waachie wengine 6 wa mechi zijazo nao waje wapige moja moja.
Tufaifanya wenyewe hii kazi


Kuwafunga goli moja pekeyake hawa nyumbu ni jambo lisilowezekana.
Mengine tunayapeleka wapi?
Kila strika pale mbele ana magoli yake mawili na kuendelea.
 
Tufaifanya wenyewe hii kazi


Kuwafunga goli moja pekeyake hawa nyumbu ni jambo lisilowezekana.
Mengine tunayapeleka wapi?
Kila strika pale mbele ana magoli yake mawili na kuendelea.
kwa hiyo unaona hii ndiyo chance ya Nunez naye kujipatia vigoli? Mwambie yeye kazi yake ni kulengesha mpira golini tu. Mengine Onana atayaendeleza. Ila basi afunge Nunez peke yake goli moja. Hao wengine wawafunge kina City na Newcastle goli moja moja pia
 
Back
Top Bottom