Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

In short, as for now hatuna team ya ku compete kuchukua makombe, this season is done n dusted hata kabla ya kuanza, let's try may be in five or six years to come endapo kama Uongozi utakua na maono kama ya baadhi ya mashabiki wa humu wanao amini kwa team yenye kariba ya utd haiwezi kufanya revamp ya kikosi kwa msimu mmoja
Ulitukanwa Sana ulinyanyasika Sana humu
 
Siku zinaenda maneno yangu yanabaki Kama kumbukumbu

Bado nitaendelea kuwa na mashaka na 10hag ,

Kama nilivyotilia mashaka usajili wa Anthony kwa €100m

The same story kwa huyu Hojlund ,ndio msimu wa kwanza Atalanta , ana goli 9 tu Seria A , anazidiwa magoli na kiungo mkabaji wa Atalanta Kopp ,


Hojlund kwa €85m utapeli mwingine huu, overpaid
 
njoo hapa
Bei ya Havertz na Højlund ni almost the same. Havertz ambaye katika misimu yote aliyocheza Chelsea hajawahi kuvuka goli 10 per season (kwenye ligi) pamoja na kuchezeshwa kama forward. Last season kaanza kwenye mechi 30 kaishia goli 7. Højlund ambaye kaanza mechi 20 ana goli 9.
Na bado unapata nguvu ya kuja kuponda humu. Kwani unafikiria kwa kutumia matope auView attachment 2702686View attachment 2702687
 
amrabat huyu aliyekimbizwa na Sospeter Bajana hapo Kwa mkapa?
Nalisubiri sana dili la Amrabat,bonge la kiungo,especially kama atachezeshwa na Mount,namfananisha na De jong,japo De jong ni mtu na nusu,ila sio mbaya...
Atleast Casemiro atapumua,na sometime wanaweza wakaanza wote,Case 6,amrabat 8
 
Case na Amrabat pivot yao itakuwa hatari sana halafu mbele yao akisimama Bruno anakuwa free kufanya mambo yake.

Yule dogo Greenwood wamrudishe aisee. Pale mbele akisimama Rashford, Hojlund, Greenwood ni magoli tu yananukia.
 
Hapo kwa manjesta kugombea ubingwa nilipitiwa nilipoona mnamwaga pesa mkasajili bull Striker Hojlund 0012
Ila mnanishangazaga Sana mbona toka pre season tuliwaambia na tuliweka ushahidi wa kimazingira ,kwanini tunaenda kugombea ubingwa

Maandiko yapo , audio kule space zipo

Msimu huu tumesajili zaidi ,haihitaji ramli kujua tunaenda kupigania ubingwa no matter what

Maombi yetu sisi wahafidhina wa football ,mancity aondokewe na Gundo Bernado mahrez , amebaki Bernado

Wanaochungulia mpira kwa jicho la 3 wanajua kabisa kuondoka kwa Gundo, mahrez na Bernado ni pengo kubwa Sana kwa city ,

Manjesta kitakachowaua ni depth ya kikosi ,

Niambie Casemiro aki drop au suspension zake zile au injury mna replace na Nan? Amrabat?

Kule mbele bado historia inaonesha Rashford Hana consistency yakueleweka na ndiye mbeba maono wa manjesta

Japo kiuhalisia kabisa

Arsenal, mancity , manjesta ndio favourite kwa kugombea ubingwa

Newcastle msimuhesabie kwanza ana michuano mingi pili Hana depth yakutosha ,halafu kule UCL wamemuweka pot 3
 
Thomas Tuchel tells #MUFC there will be no let up from Bayern at Old Trafford despite already qualifying as group winners as he demands a reaction from Saturday’s 5-1 defeat at Eintracht Frankfurt
 
Back
Top Bottom