Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]

My prediction

Manchester United 3 vs Bayern Munich 1



GGMU [emoji3590]

ni raha tupu wakubwa [emoji16]View attachment 2840845
Hamshindi hii game. Na mnapigwa sio chini ya goal 3 hapo hapo home kwenu. Tunza hii post
 
kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]

My prediction

Manchester United 3 vs Bayern Munich 1



GGMU [emoji3590]

ni raha tupu wakubwa [emoji16]View attachment 2840845
[emoji2][emoji2][emoji2]eti bwanyenye glazzer Manchester tatizo letu midomo sana
 
kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]

My prediction

Manchester United 3 vs Bayern Munich 1



GGMU [emoji3590]

ni raha tupu wakubwa [emoji16]View attachment 2840845
Nyumbu kama nyumbu
Andaeni maji ya moto kujikanda baada ya kipigo
 
Rasmi, safari yenu ya kushiriki UEFA ndio inaisha leo

Habari mbaya ni kuwa hata hiyo Europe hamuambulii
 
[emoji2][emoji2][emoji2]eti bwanyenye glazzer Manchester tatizo letu midomo sana
Ali pipi yeye huwa anabashiri nyumbu kushinda 3-1 karibia kila game. Leo wana bahati Bayern hana cha kupoteza ila wale wahuni wa kijerumani nao huwa hawaeleweki. Wazee wa kuua mende kwa nyundo wale. Tuombe Galatasaray na Copenhagen mshindi apatikane ili manyumbu wakishinda leo basi waende Europa. Dream result ni Bayern ashinde ambapo nyumbu atafungashiwa virago arudi matofalini wakasubirie kipigo cha livakuku
 
Kuna team zinapenda sifa ,Bayern points 13 anayefuata point 5 na anacheza na mwenye points 4 Bado kamwekea utd full mziki ,kuanzia Kane hadi Neuer ,Sasa tunawaomba utd mkishindwa kuwafunga wavunjeni TU maana ni Roho mbaya kbsa.
 
Kuna team zinapenda sifa ,Bayern points 13 anayefuata point 5 na anacheza na mwenye points 4 Bado kamwekea utd full mziki ,kuanzia Kane hadi Neuer ,Sasa tunawaomba utd mkishindwa kuwafunga wavunjeni TU maana ni Roho mbaya kbsa.
Hawa wajerumani sijui wana tamaa ya hela. Kuna €2.8m kwa kila group game ukishinda. Plus wanataka kuload win rate yao ili wazidi kuonekana kuwa stats za kushinda ziko juu kwa ajili ya data za kuwapa wafadhili wapya na kuwapa nguvu katika mazungumzo ya dili mpya.
 
Back
Top Bottom