HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Chambuzi nguli uliwaambia sana hawa, ila walikuona mwanga. Waache wajute.Siku zinaenda maneno yangu yanabaki Kama kumbukumbu
Chambuzi nguli uliwaambia sana hawa, ila walikuona mwanga. Waache wajute.Siku zinaenda maneno yangu yanabaki Kama kumbukumbu

Pogba alisema mashabiki wa United hawajui mpira.Eric Ten hag ni kocha mzuri ila ataangushwa na wachezaji anaowasajili asipokuwa makini pmj na wale aliowakuta
Km kocha anapenda kazi yake hawa waondoke sio wachezaji wa kuanza
Macktonmy
Amrabat
Antony
Martial
Pelstri
Casemiro energy imekata
Ericksen ni mgonjwa
Varane gari ya mkaa
Kikukweli wachezaji wa uhakika manchester angalau wanaonyesha uhai ni
Bruno
Dalot
Shaw
Bisaka
Hojlund
Gernacho
Na magumire kwa mbali
Kocha angemuacha degea akashughulikia kupata DM wa uhakika msimu huu lkn hakutoa kipaumbelea kwa kiungo mkabaji kunanipa wasiwasi
Ukipita kwenye platform za manchester united,mashabiki wanamuamini sana Eric ila asijisahau
Manchester united sio arsenal au liverpool
Manchester united ni km madrid kocha hawezi kupewa zaidi ya misimu mitatu bila kuleta postive impact kwenye timu
Naamini kocha analijua hilo
Nimeumia sana leo wachezaji wanacheza km vile hawajafanya mazoezi kwa wiki mzima
Mimi nataka hawa manyumbu goal difference yao isome -10, ila siyo lazima mfanye hiyo kazi nyie peke yenu. Wapige 1-0 halafu waachie wengine 6 wa mechi zijazo nao waje wapige moja moja.Nyie genge la wahuni la 7Hag
Kumbe mna mechi na sisi jumapili
Chagueni mapema idadi ya mabao, tuyafanyie mazoezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zinaenda maneno yangu yanabaki Kama kumbukumbu
Hapo kwa manjesta kugombea ubingwa nilipitiwa nilipoona mnamwaga pesa mkasajili bull Striker Hojlund 0012
Mimi nataka hawa manyumbu goal difference yao isome -10, ila siyo lazima mfanye hiyo kazi nyie peke yenu. Wapige 1-0 halafu waachie wengine 6 wa mechi zijazo nao waje wapige moja moja.
Tufaifanya wenyewe hii kaziMimi nataka hawa manyumbu goal difference yao isome -10, ila siyo lazima mfanye hiyo kazi nyie peke yenu. Wapige 1-0 halafu waachie wengine 6 wa mechi zijazo nao waje wapige moja moja.
Ye mwenyewe hajiaminiIn 10hag we Trust 💪
kwa hiyo unaona hii ndiyo chance ya Nunez naye kujipatia vigoli? Mwambie yeye kazi yake ni kulengesha mpira golini tu. Mengine Onana atayaendeleza. Ila basi afunge Nunez peke yake goli moja. Hao wengine wawafunge kina City na Newcastle goli moja moja piaTufaifanya wenyewe hii kazi
Kuwafunga goli moja pekeyake hawa nyumbu ni jambo lisilowezekana.
Mengine tunayapeleka wapi?
Kila strika pale mbele ana magoli yake mawili na kuendelea.
😂😂😂 hawa wana walikuwa wana matarajio makubwa kupitilizaamrabat huyu aliyekimbizwa na Sospeter Bajana hapo Kwa mkapa?
😂😂😂Ye mwenyewe hajiamini
Anajua moto wetu😂
watakufa kwa presha msimu huu,mashabiki wa unyumbuniTufaifanya wenyewe hii kazi
Kuwafunga goli moja pekeyake hawa nyumbu ni jambo lisilowezekana.
Mengine tunayapeleka wapi?
Kila strika pale mbele ana magoli yake mawili na kuendelea.
Hudumia familia yako acha kuwaza nyumbu sisiTufaifanya wenyewe hii kazi
Kuwafunga goli moja pekeyake hawa nyumbu ni jambo lisilowezekana.
Mengine tunayapeleka wapi?
Kila strika pale mbele ana magoli yake mawili na kuendelea.
Andaa tu kishoka na rungu za kuchua mabichwa yenu tukishawagongaHudumia familia yako acha kuwaza nyumbu sisi
Nipe namba, nikuweke busy