Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Nisielewe nini wakati sentesi ya hapo mwanzo inajieleza.Shida yako huwa unakurupuka kujibu as if kila post humu inakuhitaji uijibie, soma uelewe ukiona huelewi ujue haikuhusu kaa kimya.
Una bahati leo sina vibe la kuwasha moto next time utaeleweshwa kwa facts usipoelewa sitaki lawama kuitwa sina adabu humu ndani
André Onana is already sick and tired of Harry Magurie’s mistakes after he was at fault for a goal vs Dortmund in Las Vegas on Sunday. 








Nikikangalia sajili yetu ya mwisho ya huyu dogo hojlund kupitia hio page hapo ya liveherewego inayomilikiwa na fabrizo wamempost dogo yupo ndani ya uzi wa man utd ikiwa na logo ya Qatar Airways