Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siku tuliyo m-register huyu dogo ndio siku laana ilipo anzia kwenye timu yetu

-Hatujawahi kuvuka robo fainali ya CL
-Hatujawahi maliza juu ya city
-Kwa mara ya kwanza looserpool wamebeba ubingwa katika miaka 30
-Hatujawahi shinda Anfield

Even Yaya Sanogo has better carrier stats kuliko Rashbeck
The only way utd kurudi kwenye kufunga magoli na kubeba makombe ni kumuondoa huyu DEFENSIVE STRIKER wetu
Rashford kapandisbwa toka academy,nani kamsajili?


Hata mimi sinaga imani nae but acha kutulisha matangopori
 
Hawa manyumbu tunapaswa kupractice long range lob shots maana tunajua watakuwa wanacheza na outfield players 11 na bila kipa. Tunamjua Onana ni outfielder aliyekosa namba tu na kusabibisha akae golini hivyo kama kawaida yake atakuwa anatoka golini na kuingia ndani kucheza favorite position yake ya midfield. Sisi kazi yetu ni kumtegea na kuchungulia tu afu tunapiga long range lob shots zetu.
Siyo rahisi hivyo. 😁
 
Rashford nae muangalien ,mm namuitaga uyoga,leo chakula kesho sumu

Na huyu ndiye kaibeba timu yenu Sana last season,

Rashford hakawii kurudi kwenye default settings, hapo changanya na ujinga wa Anthony,
Kocha anapaswa kufanya maamuzi magumu saa hizi wale vijana asiwatoe kwa mkopo ili hao wajinga Rashid na Antony wasirelax sana,Garnacho akiwa na potential kama ya sasa na consistency akifikisha miaka hata 21 anaanza mbele ya huyo boya Rashford.

Kwa upande wa Antony mara mia kocha aanze kuwapa muda Amad na Pellistri tu wanaweza kuwa na impacf kuliko huyo anaedhani uwanjani ni sehemu ya freestyle
 
Hata Hojlund akitua kocha anatakiwa kuchukua goalscorer mwingine pia wa kusaidia kama Mehdi Taremi maana ugonjwa wa Rashford tunaujua,alikuwa moto ila game 15 za mwisho akapoteana kurudi yule tuliyemzoea.
Hapa tusubiri tu msimu uanze ila tatizo letu kubwa ni kwenye midfield. Hatuwezi kabisa ku-control game. Midfield ni eneo muhimu sana, tunazidiwa kila mechi.
 
Kichomi kimekushika wewe
lkn msimu huu Man U wengi hamtoamini
Wachezaji ndiyo wamebeba matumaini ya timu. Wasipopambana kwa dk 90 kila mechi hata kocha afanyaje timu haitasogea.

Mimi naamini kitu kikubwa timu yetu inakosa ni upambanaji. Mfano timu kama Madrid wanajulikana ni watu wa kazi hata mchezaji mpya akienda anakuta mazingira ambayo hata wazee bado hawajaridhika na kushinda. Hiki ndiyo kitu kama Ronaldo, Messi wanacho.

Sasa Sancho yupo kwenye early 20s kabisa lakini huoni ile passion ya anachokifanya. Ubishoo mwingi mpaka uwanjani.

Anagalau saaa hivi kuna watu kama Martinez, Bruno wanaonyesha upambanaji. Ila Martinez huwa hapoi mpaka kipenga cha mwisho.
 
91b58d62-83eb-4eee-83dd-1269b42a05fa.jpg

Kila mechi mnasokomezwa magobole nyie kenge nyumbu laana fc mkimaliza hata Top 4 mje niwape mke wangu mbwaa nyie
 
Hii timu ni kichomi, tunakaribia kuanza msimu hakuna striker hata mmoja unaweza kumtegemea.
Kwa critics nazo zisoma kwenye fans pages mbali mbali juu ya uchoyo wa wing zetu antony na Rashford basi hojlund atakuwa na wakat mgumu sana hapo mbele kama main ST na hili swala coach asipolitaflia fumbuz itakuwa kichomi kwake

Tusishangae humu rivalry fans kama wa arsena liverpool wakaja kusema hojlind ni garasa na tumepigwa wakati makosa hayasabishwi na yeye ST hapa na mzungumzia hamiss77

Mi naona board ya man utd wafanye mpango mkakati wa kumrudisha Greenwood ..najua tu ataleta chachu katika maendeleo ya wengine hususan hapo mbele... Mtu hatokuwa teal akae bench ata up his game performance

Pia man utd beki ni tatizo na hili litapelekea fans waanze kumuona onana ni useless wakati ni one of the goalie ambae ana cheza modern football keeper mchezaji..tukipata cb mmoja tu au wawili itasaidia sana

Kati hapo eriksen umri umeenda aisee tuna hitaji CM kama wawili ambrat na ikiwezekana kati ya option 2 za sokoni lavia na caisedo tunge interrupt moja ...mfano tungewafata brighton na ile package ya mount ya 60m plus a player kama mctominay wasingekataa why sababu brighton sio kuuza tu pia na wao wanataka kuwa na quality team ya ku compete UEL kule soo kumuuza caisedo 100m na hawana perfect replacement...???
 
So ukimpandisha mchezaji humsajili? Ataendelea kucheza kama mnavyo cheza ndondo cup?
Haya tufanye kasajiliwa elezea hiyo kauli "laana"

Wakati huo alikuwa na miaka kama ya Garnacho sasa elezea kwa kina hayo masuala ya kijana kupandishwa hadi kuaminiwa na hiyo laana inaingilia vp.

Wabongo neno laana sijui mnafikiri maandazi
 
Kwa critics nazo zisoma kwenye fans pages mbali mbali juu ya uchoyo wa wing zetu antony na Rashford basi hojlund atakuwa na wakat mgumu sana hapo mbele kama main ST na hili swala coach asipolitaflia fumbuz itakuwa kichomi kwake

Tusishangae humu rivalry fans kama wa arsena liverpool wakaja kusema hojlind ni garasa na tumepigwa wakati makosa hayasabishwi na yeye ST hapa na mzungumzia hamiss77

Mi naona board ya man utd wafanye mpango mkakati wa kumrudisha Greenwood ..najua tu ataleta chachu katika maendeleo ya wengine hususan hapo mbele... Mtu hatokuwa teal akae bench ata up his game performance

Pia man utd beki ni tatizo na hili litapelekea fans waanze kumuona onana ni useless wakati ni one of the goalie ambae ana cheza modern football keeper mchezaji..tukipata cb mmoja tu au wawili itasaidia sana

Kati hapo eriksen umri umeenda aisee tuna hitaji CM kama wawili ambrat na ikiwezekana kati ya option 2 za sokoni lavia na caisedo tunge interrupt moja ...mfano tungewafata brighton na ile package ya mount ya 60m plus a player kama mctominay wasingekataa why sababu brighton sio kuuza tu pia na wao wanataka kuwa na quality team ya ku compete UEL kule soo kumuuza caisedo 100m na hawana perfect replacement...???
Hadi sasa tushaspend sana nadhani zimebaki sajili za Amrabat pamoja na beki wa kati ili kufunga mahesabu ya dirisha hili zaidi ya hapo ni extra tu


Madirisha yajayo kocha anapaswa kufanyia kazi mabeki wa pembeni hasa kule kulia,Bissaka na Dalot walikamia last season ili kumuaminisha kocha ila naona bado sana mmoja yupo vizuri kwenda mbele ila nyuma uchochoro na mwingine yupo vyema defensively ila mbovu kwenda mbele footwork yake mbovu.

Anapaswa kuchukua complete RB yule Jeremy Frimpong aliyetagaka kumsajili angefaa sana.
 
Haya tufanye kasajiliwa elezea hiyo kauli "laana"

Wakati huo alikuwa na miaka kama ya Garnacho sasa elezea kwa kina hayo masuala ya kijana kupandishwa hadi kuaminiwa na hiyo laana inaingilia vp.

Wabongo neno laana sijui mnafikiri maandazi
Shida yako huwa unakurupuka kujibu as if kila post humu inakuhitaji uijibie, soma uelewe ukiona huelewi ujue haikuhusu kaa kimya.
 
OFFICIAL: The new #mufc - Adidas partnership is worth at least £900M for 10 years subject to certain adjustments.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230731_114946_426.jpg
 
André Onana is already sick and tired of Harry Magurie’s mistakes after he was at fault for a goal vs Dortmund in Las Vegas on Sunday.

The keeper BERATED the centre half and was noticeably livid with what he witnessed.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230731_115021_232.jpg
 
Erik ten Hag: "The last half an hour, it was bad, a poor performance. They didn't follow the rules at all, not in pressing, not in building-up or when attacking. They were 11 individuals on the pitch. That wasn't good at all."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230731_115123_475.jpg
 
Erik ten Hag: "The last half an hour, it was bad, a poor performance. They didn't follow the rules at all, not in pressing, not in building-up or when attacking. They were 11 individuals on the pitch. That wasn't good at all."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2703672
 
FT: #MUFC 2-3 Dortmund

Dalot
Malen
Malen
Antony
Moukoko

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230731_115321_912.jpg
 
Back
Top Bottom