Halafu huyu Man Utd wakifanya mchezo na the Chosen One ataifanya Old Trafford kuwa sehemu ya makumbusho.
Old Trafford may end up becoming an historical place to visit.
Kuna window ndogo sasa hivi inayoruhusu kumtoa Moyes na kuleta kocha mwingine ambaye anaweza kurudisha Champion League msimu ujao na kuchallenge for the league misimu miwili ijayo. Lakini kwa muonekano wa juu juu ni kwamba Moyes atabaki angalau msimu mmoja mwingine, athari ya kumbakisha mpaka mbali kote huko itakuwa kubwa sana na itasababisha recovery time ya United kuwa ndefu zaidi.