Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Nikisikia neno MPITO/TRANSITION PERIOD linatamkwa na shabiki wa Man U najawa na povu vibaya maana nahisi ni David Moyes mwenyewe kaja JF sema anatumia fake ID...
Samahani mkuu bily kama ntakua nimekukera ila justifications za "kipindi cha mpito" kwangu mi zinagoma kabisa kuingia akilini
Hivi mkuu huo mpito tunaopita ni kutoka wapi kuelekea wapi...from what I see tulipoanza league tulikua bad ila naona sasa tunaitafuta worse..
Wakuu hakuna jipya zaidi ya Moyes kuendelea kuset record mpya..tunakoelekea hata hiyo eufa ndogo itabiki ndoto tu "God forbid "
Ila Moyes...!!! Basi tu...
Beckham aliposhindwa kufata maelekezo ya Fergie alikiona cha mtema kuni..alibamizwa kiatu cha usoni nafikiri hatasahau maishani mwake and this set a precedent who is a BOSS of the team...
Manager wa timu hayupo pale kumfundisha cleaverly kupiga pass bali ni kumpa majukumu ya kupiga pass na kuipiga kwa malego na mwisho wa siku kumfanya huyo cleaverly ayapokee majukumu anayopewa na manager na kuyafanyia kazi by any cost...ukiona wachezaji wanashindwa kuyafata na kuyaheshimu maelekezo ya manager then that is not the right person for the job.
#moyesout
ofcourse si msupport moyes tokea kitambo na kidogo nashukuru tunavyofungwa coz ndo possibility ya kuiondoka inakuw kubwa kuliko tukishinda,
sometimes sio swala la mchezaji kushindwa kufuata maagizo ya kcha ni uwezo kuwa mdogo huwezi kumlaumu mtu kama cleverley ama smalling kucheza chini ya kiwango ni uwezowao mdogo tu so kama kocha inakupasa ujue kwamba mchezaji fulani uwezo wake ni mdogo hawezi kuendana na mbinu zangu nimuuze nimtafute mwingine hayo moyes hayaoni unaweza ukacheza vibaya na still akawa anakupanga,