Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah! Umesema kweli Mkuu. Ila wenyewe hawaelewi, wanasahau kama form ni kitu cha muda fulani tu, siyo cha kudumu.

Ova
Nyie tokea 2013 ni lini mmewahi kurudi ktk form? Tena hapo ulikuwa ndio uzoefu wa Fergie ulikoishia mkachukua kombe kimasihara.

Sasa hivi tunaongelea miaka 10, sio kitu cha kudumu hicho?
 
Nyie tokea 2013 ni lini mmewahi kurudi ktk form? Tena hapo ulikuwa ndio uzoefu wa Fergie ulikoishia mkachukua kombe kimasihara.

Sasa hivi tunaongelea miaka 10, sio kitu cha kudumu hicho?
B... tuache, maana utakuwa mwekundu sasa hivi. Lol

Ova
 
Dah! Umesema kweli Mkuu. Ila wenyewe hawaelewi, wanasahau kama form ni kitu cha muda fulani tu, siyo cha kudumu.

Ova
Ikifika Mechi ya 31 tu tutaanza kuheshimiana humu jukwaani maana Pumba na mchele vitakuwa vimejitenga,

hawa Arsenal ni project ya muda mrefu Kombe wanalostahili kuchukua ni Carabao tu ambalo nalo Man utd ndo analipigania kweli kweli kwa jasho na Damu maana ndo linamuweka Mjini.
 
Eti Kobe mauno na Garimacho

Unafanya napaliwa had chakula
Mimi nitakuwa mdogo kama piliton humu akinitania shabiki wa Liverpool maana wao ndy icon ya UCL kwenye EPL sasa walevi na wasio na thamani kama arsenal wanipe shida kisa mimi sitapita robo huo ni uzwazwa
 
Back
Top Bottom