Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaahhh we acha tu.
Yaani hiyo mechi ya pale Anfield kila nikiifikiria natamani nistaafu kwanza kwa muda kushabikia mpira mpaka mwakani.
Hii timu yetu ikianza kufungwa kurudisha goli hua ni shida na ikianza kufunga kushikilia bomba pia ni shida.
Hili timu litakuja kutuua kmmmmmae.
Yaani kuanzia mmiliki, management, kocha na wachezaji wote wanatakiwa wapelekwe Gaza wakafundishwe uzalendo wa kweli na wale vijana machachari wa Hamas.
Msimu huu tuwafunge ngapi?
Chagua mwenyewe
 
De gea De gea De gea
Si mlimuona mwehu
Subiri sasa Onana awaonyeshe kazi
JamiiForums1763845180.jpg
 
Nawatangazia kuanzia leo wenye mamlaka ya kuwacheka Manchester United kwenye kombe la UCL ni Liverpool, Chelsea, Nottingham forest,Aston villa na Man City basi sababu hao wanahodhi UCL lkn uchafu mwingine they are not eligible at all, hanis77 you are among of them
Umepanick kaka, kunywa maji ushushie machungu na maumivu
20231030_184237.jpg
 
Leo mpigwe ili zile kelele ohoo bado point 6 tuongoze Ligi ziishe

Then Chelsea ambaye Hana Cha kupoteza aje awalambe next week
 
Back
Top Bottom