Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

_20231130_123319.JPG
 
B... Haya mambo mbona husemi jamani? Kumbe mlinyanyaswa ukajidai uko busy kumbe unaugulia maumivu?
Bahati yako nilipitwa...

Lile gari lililowaka ndio hili ulilotamba last weekend? Wenzenu tunachakaza watu 6-0 na wala hatusemi. Lols
Mdakuzi
Lol! Mbona nilikuwa natazama mechi huku tunaongea jamani, kwani hukuwa unasikia sauti ya matangazo ya mpira b...?

Ova
 
Ili mpate timu ya uhakika fukuzeni wafuatao
Bruno
Casemiro
Garnacho
Shaw
Varane
Onana
Wanbissaka
Dalot
Antony
Antony
Hao wote hawana hadhi ya kucheza unyumbuni. Mkija nao Anfield tusilaumiane
 
Leo uezi waona washabiki wakimsifia kobe maunoo na garimacho wametulia2 wamekua wasoma comment juzi mmepiga bom mochwari mmesambaza picha zenu kila maali iweje leo sioni status zenu za magoli.

NB; morinho aliwaambiaView attachment 2829357

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Eti Kobe mauno na Garimacho

Unafanya napaliwa had chakula
 
Ili mpate timu ya uhakika fukuzeni wafuatao
Bruno
Casemiro
Garnacho
Shaw
Varane
Onana
Wanbissaka
Dalot
Antony
Antony
Hao wote hawana hadhi ya kucheza unyumbuni. Mkija nao Anfield tusilaumiane
Umesahau na Erik 7 hag
 
Ii wikiend cjakaa kwa aman na ayo majina mawili ila leo tuli ni ziyech mmoja alieipiga tz na nyumbu. " welcome to hell" waliongoza 2 wakahoji kuzimu gani uku kuna taa dakika ya 90 giza tupu wanaona

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hawa jamaa hawataki kukubali hawana kocha ,kashinda mechi 3 sijui 4 Lakini Sasa Ni papatupapatu,

Kuna ratiba hii hapa inafata ,watachezea vipigo Hadi wakubali
20231130_095830.jpg
 
jan Usiku nilikuwa natoka zangu Job ile napita karbu na Bar moja hapa mtaani nasikia watu wanatukana matusi ya Nguoni na Kelele nyingi sana, nikajua labda kuna ugomvi wa Walevi wamelewa ile nimesogea karibu nakuta ni mashabiki wa Man utd wanamtukana Kocha wao Na Timu nzima kiujumla,

Kiukweli Nilihisi machozi ya furaha yanataka kutoka maan mimi Man utd wakipitia misukosuko kwangu mimi ni Sherehe tosha, nimeyapokea matokeo ya Man utd kwa Furaha kuu sana,

Man utd ikifanya vizuri mim huwa Nakwazika sana ila kwa yanayoendelea sasa napata amani na Tulizo la Moyo, Jasusi Ten haag Mchango wako sisi FC Fitna tunauona na Lengo ni lile lile kuhakikisha Man utd inakuwa level sawa na Sheffield Utd.
 
Your voice carried me away b... I couldn't notice that!

Heeeey usinitoe kwenye reli bwana, unaonaje kuishia makundi? Lols
B... this is a normal part of football life. Let us form a team to reclaim our place... Good thing you all know we don't deserve to end up on the group stage.

Ova
 
B... this is a normal part of football life. Let us form a team to reclaim our place... Good thing you all know we don't deserve to end up on the group stage.

Ova
Acha maneno yako mengi b… hakuna anayestahili kuishia makundi ila wasio bora pekee.

Wenzenu tunawaza knock out stage saa hizi! Kuimba kupokezana…
Ila pole b…
 
Back
Top Bottom