Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Ten Hag ni fala! Wachezaji wabovu kama Onana na Antony anawabeba japokuwa wanafanya makosa karibia kila mechi, ndiyo maana Sancho akaamua kutoa ya moyoni. EtH ni falafala mmoja hivi. Atolewe tu ndiyo akili imkae sawa. Varane kam-drop ila wangese wake ndiyo anawabembeleza.Anayejua TEN HAG anatupeleka wapi kiuchezaji na si kimatokeo aniambia, nahisi kama tunapotea.
Ego the size of Old Trafford.






