johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,252
Tutahakikisha hata futuh awaendiDaah futuhi hii ni futuhi



Alafu amekuta tayar mda uo amrabat amekula rushwa ya ziyech12 goals scored 14 goals conceded huyu mhuni Afcon anaenda lini ?
🤠🤠🤠🤠....liverkuku ni mbali...weekend hii na nyukesto tu hapo utaelewa vzuri ndugu yanguDaaahhh we acha tu.
Yaani hiyo mechi ya pale Anfield kila nikiifikiria natamani nistaafu kwanza kwa muda kushabikia mpira mpaka mwakani.
Hii timu yetu ikianza kufungwa kurudisha goli hua ni shida na ikianza kufunga kushikilia bomba pia ni shida.
Hili timu litakuja kutuua kmmmmmae.
Yaani kuanzia mmiliki, management, kocha na wachezaji wote wanatakiwa wapelekwe Gaza wakafundishwe uzalendo wa kweli na wale vijana machachari wa Hamas.
Mnamtimua siyo🤠🤠🤠....kasema anafikiria kwnda na huko afcon kwnyewe maana atawaacha kwny hali mbaya sana...anaipenda sana klabu yake na anataka kuipigania kwlikwli12 goals scored 14 goals conceded huyu mhuni Afcon anaenda lini ?
Yani wafunge wakina amrabat sifa wapewe wakina kobe maunoo
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app


Anayejua TEN HAG anatupeleka wapi kiuchezaji na si kimatokeo aniambia, nahisi kama tunapotea.
Ushakata nywele zile za rasta?Mi naona anatupeleka nchi ya ahadi, yuko sahihi mbona.
Mpaka mseme!Anayejua TEN HAG anatupeleka wapi kiuchezaji na si kimatokeo aniambia, nahisi kama tunapotea.