Hata wakishinda leo bado wana kibarua kizito na Bayern. Wakishinda leo wakifungwa mechi ya mwisho: Galatasaray na Copenhagen wataamua nyumbu aende wapi.Aise fanyeni miujiza red devils
UCHOKO huu
Ziyeeeeech , nyumbu mnabemendwa Tu kupelekewa moto na wanaume wa kiturukiBrunoooooooView attachment 2828971
Daaahhh we acha tu.Mkuu tafuteni kipa...nawasihi sana tafuteni kipa mapema...nikifikiria ugomvi wenu wa jadi mlio nao na Liverkuku napata mawazo sana siku mtakapowatembelea pale Anfiled na hyu kipa wenu
0%Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.