Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

L Martinez the butcher out for 3 months

Defence; varane, lindeloaf, Evans
Uefa
Ligi
Fa
Carabao

Lord Magwaya is cooking something
Karma is the gift that keeps on giving
20231001_225213.jpg
 
Sipemd ki argue na mashabiki ambao Tim yao haina maendeleo yyt. Haitarajii mubeba chochote
 
Hamis acha kumlinganisha Rashford na vitu vya ajabu ajabu,huyo Rashford akicheza arsenal au city nani anaweza kumweka benchi ,team inacheza hovyo hovyo unataka afanye Nini ,team iki steap up kidogo Rashford LAZIMA afanye tukio
ana nani cha ajabu hata sehemu sahihi na muda wakupiga pasi haujui anachoweza ni kujigongagonga tatizo hamtaki kusema ukweli misimu 6 sasa rashford yuleyule habadiliki mara mwisho mlisema mzuri akitokea kushoto sahivi unasingizia timu mbona na palace ile ya cup hakuwepo tulicheza vizuri !
 
𝐋𝐢𝐬𝐚𝐧𝐝𝐫𝐨 𝐌𝐚𝐫𝐭𝐢́𝐧𝐞𝐳 took painkillers to play in the games against 𝐁𝐫𝐢𝐠𝐡𝐭𝐨𝐧 and 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡, and further tests on Thursday revealed that his foot fracture has not healed correctly.


[Daily Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2769040
 
Sipemd ki argue na mashabiki ambao Tim yao haina maendeleo yyt. Haitarajii mubeba chochote
Una kiwango gani cha Elimu??ulihitimu kweli hata darasa la Saba??maana kwa Uandishi huo hata mtoto wangu wa Kindergarten anakushinda,halafu ukute ninyi ndio mnaokataa Bandari isichukuliwe na Waarabu wakati hata kuandika kwenyewe shida,wewe na wenzio wa Man U mtabaki kuwa MANYUMBU na mtaendelea KUGONGWA mpaka MCHAKAE KENGE ninyi
 
Habari za leo ndugu zangu. Hii tumeipenda wenyewe acha ituue tu.
BInafsi napenda tunavyo pata haya matokeo pengine Glazzer wanaweza kufikiria kuondoka. Na hapo tunaweza kuanza upya kujitengeneza bila kujali kocha atakuwa nani, japo natamani sana Eric abakie, naamini ana kitu cha ku prove.
Najua saizi mashabiki tumesha gawanyika. Kuna watakaonona tatizo ni Uongozi, wengine Kocha wengine watasema wachezaji. Ukweli ni kwamba kila mmoja anaweza kuwa sahihi kutokana na hoja zake.

Nitajaribu kuzungumziaa mitazamo tofauti.

Nianze na kocha, kitu pekee ambacho binafsi namlaum Eric ni kuiacha falsafa yake,( mpira ulio mtambulisha hasa akiwa Ajax) lakini katika hili napata pia ugumu kumlaumu tena kwa sababu kuu mbili.
1) Alijaribu kuimplement ikafeli, je angekomaa nayo wakati sisi mashabiki na uongozi una hitaji zaidi matokeo?? Tukumbuke kuwa yupo kazini na anakuwa judged kwa matokeo zaidi.
Lakini pia nikamkumbuka Van gaal ambaye katika makocha walio pita kwetu ni yeye alijitaidi kuweka identity yake kilicho mgharimu ni kwamba hakupata sapoti ya kutosha lakini pia Uongozi ulitaka matokeo/mafanikio ya haraka akaonekana hana maana. Kwa reference hii ndogo naweza kumuekewa Erick kwa nini ali opt kutafuta matokeo kwanza.
2 ) Wachezaji alio wakuta wangeweza kuendana na mfumo huo. Kumbuka kikosi alicho kikuta kwa asilimia kubwa ni mazao ya Mou na Ole, hawa ni watu wa wili wenye mifumo tofauti, kwa hiyo Ten hag angekuwa na kazi mbili, ku shape wachezaji wa mifumo tofauti wafiti kwenye mfumo wake auu wachezaji wengi waondoke ili alete watu wanao mfaa, hivi viwili vyote vimekuwa vigumu kufanyika. Kwa hiyo amejikuta hana namna nyingine.. Kwa akili yangu fupi msimu jsna baada ya kumkosa De jong ambaye alikuwa ni first target ya kocha, basi nilitegemea mbadala wake angekuja mchezaji mwemye profile inayo endana na De jong. ila akaja Casemiro( Sio mchezaji mbaya na ametusaidia sana) Hapo unategemea kocha ataweza ku endelea na Plan yake auu inabid abadil plan kulingana na aina ya wachezaji alio nao


Kwa upande wa wachezaji nawalaumu kwamba wengi hawaonyeshi juhudi za wazi katika kuipigania timu. hakuna timu ambayo ina World class watupu. Ila timu nyingi zinazo fanikiwa ni kwa sababu wachezaji wanakuwa na spirit ya hali ya juu katika kuipambania timu. Hiki ni kitu tuna kikosa kwa wachezaji wetu. Hapa ndio unakumbuka ile kauli ya Ralph kuwa timu ilihitaji mabadiliko makubwa sababu kubwa ni hii.

Upande wa uongozi. Kwa mtazamo wangu hapa ndio kwenye shina la tatizo. Uongozi haunyeshi kama una maono ya uwanjani. Anzia kwenye aina ya makocha ambao wanakuja utagundua kuwa hata uongozi haujui unataka nini na identity ya timu ni ipi.
Moyes>Van gaal>Mou>Ole>Ralp>Eric. Utaona hapo hakuna muendelezo wa falsafa. Kwa hiyo lazima kila kocha aanze upya. Na kwa hali ilivyo mimi huku Nanjilinji naona kuna umuhimu wa kuwa na DOF (mtu anaye weza kusimamia mambo ya uwanjani) lakini uongozi wangu hawajaona huo umuhimu bado, hili ni tatizo.

Kuna wanao sema Uongozi wetu umetumia hela nyingi lakini hawaoni matunda labda ndio maana wamekuwa wachungu.
Lakini fuatilia sajili ambazo tumetumia gharama kubw recently sababu ilikuwa ni either biashara auu delay zetu za kijinga mpaka kujikuta unalazimika kutoa hela nyingi. Refer ishu ya Anthony,Casemiro nk. Lakini pia wanapo pewa option ya kusajili kwa bei ndogo bado hawakubali refer Enzo,Haland nk. Lakini pia sina hakika kama Scouts wetu wana fanya kazi ipasavyo auu ndio hawasikilizwi. Kuna stor kuwa Eric anasajili watu ambao ana connection nao. Tangu Moyes tumekuwa na kasumba hii, ni kama timu haina ushawishi. Wachezaji wengi tumepata ni either wana connection na kocha auu lah basi ni kwa hela nyingi. Moyes na Fellain. Kwa Van gaal na Waholanzi+ Bastian, Mou na Ibra+ Matic. Kuna jinsi tuna struggle sana kupata wachezaji wazuri kwa bei za kawaida kama hakuna conbection, hii sijui shida ni nini

Pia turudi nyuma kidogo. Uongozi huu huu ambao uliruhusu mtu kama Herrera aondoke bure sababu alitaka kuongezewa mshahara( inawezekana alihitaji mkubwa kuliko impact yake) lakini wakaidhinisha mkataba mpya wa Phil Jones alikuwa wodini tu. Ni nani anaelewa kwa nini msimu ulio pita tulimkosa Gapko??
Na kuna mlolongo wa maamuzi ya ajabu ambayo yamekuwa yakifanyika kwenye timu yetu unabaki kujiuliza hivi hawa Glazzer na wasaidizi wao ni wazungu auu.

Nitakuwa wa mwisho kuamini makocha wote walio pita kwetu ni wabovu,
 
Habari za leo ndugu zangu. Hii tumeipenda wenyewe acha ituue tu.
BInafsi napenda tunavyo pata haya matokeo pengine Glazzer wanaweza kufikiria kuondoka. Na hapo tunaweza kuanza upya kujitengeneza bila kujali kocha atakuwa nani, japo natamani sana Eric abakie, naamini ana kitu cha ku prove.
Najua saizi mashabiki tumesha gawanyika. Kuna watakaonona tatizo ni Uongozi, wengine Kocha wengine watasema wachezaji. Ukweli ni kwamba kila mmoja anaweza kuwa sahihi kutokana na hoja zake.

Nitajaribu kuzungumziaa mitazamo tofauti.

Nianze na kocha, kitu pekee ambacho binafsi namlaum Eric ni kuiacha falsafa yake,( mpira ulio mtambulisha hasa akiwa Ajax) lakini katika hili napata pia ugumu kumlaumu tena kwa sababu kuu mbili.
1) Alijaribu kuimplement ikafeli, je angekomaa nayo wakati sisi mashabiki na uongozi una hitaji zaidi matokeo?? Tukumbuke kuwa yupo kazini na anakuwa judged kwa matokeo zaidi.
Lakini pia nikamkumbuka Van gaal ambaye katika makocha walio pita kwetu ni yeye alijitaidi kuweka identity yake kilicho mgharimu ni kwamba hakupata sapoti ya kutosha lakini pia Uongozi ulitaka matokeo/mafanikio ya haraka akaonekana hana maana. Kwa reference hii ndogo naweza kumuekewa Erick kwa nini ali opt kutafuta matokeo kwanza.
2 ) Wachezaji alio wakuta wangeweza kuendana na mfumo huo. Kumbuka kikosi alicho kikuta kwa asilimia kubwa ni mazao ya Mou na Ole, hawa ni watu wa wili wenye mifumo tofauti, kwa hiyo Ten hag angekuwa na kazi mbili, ku shape wachezaji wa mifumo tofauti wafiti kwenye mfumo wake auu wachezaji wengi waondoke ili alete watu wanao mfaa, hivi viwili vyote vimekuwa vigumu kufanyika. Kwa hiyo amejikuta hana namna nyingine.. Kwa akili yangu fupi msimu jsna baada ya kumkosa De jong ambaye alikuwa ni first target ya kocha, basi nilitegemea mbadala wake angekuja mchezaji mwemye profile inayo endana na De jong. ila akaja Casemiro( Sio mchezaji mbaya na ametusaidia sana) Hapo unategemea kocha ataweza ku endelea na Plan yake auu inabid abadil plan kulingana na aina ya wachezaji alio nao


Kwa upande wa wachezaji nawalaumu kwamba wengi hawaonyeshi juhudi za wazi katika kuipigania timu. hakuna timu ambayo ina World class watupu. Ila timu nyingi zinazo fanikiwa ni kwa sababu wachezaji wanakuwa na spirit ya hali ya juu katika kuipambania timu. Hiki ni kitu tuna kikosa kwa wachezaji wetu. Hapa ndio unakumbuka ile kauli ya Ralph kuwa timu ilihitaji mabadiliko makubwa sababu kubwa ni hii.

Upande wa uongozi. Kwa mtazamo wangu hapa ndio kwenye shina la tatizo. Uongozi haunyeshi kama una maono ya uwanjani. Anzia kwenye aina ya makocha ambao wanakuja utagundua kuwa hata uongozi haujui unataka nini na identity ya timu ni ipi.
Moyes>Van gaal>Mou>Ole>Ralp>Eric. Utaona hapo hakuna muendelezo wa falsafa. Kwa hiyo lazima kila kocha aanze upya. Na kwa hali ilivyo mimi huku Nanjilinji naona kuna umuhimu wa kuwa na DOF (mtu anaye weza kusimamia mambo ya uwanjani) lakini uongozi wangu hawajaona huo umuhimu bado, hili ni tatizo.

Kuna wanao sema Uongozi wetu umetumia hela nyingi lakini hawaoni matunda labda ndio maana wamekuwa wachungu.
Lakini fuatilia sajili ambazo tumetumia gharama kubw recently sababu ilikuwa ni either biashara auu delay zetu za kijinga mpaka kujikuta unalazimika kutoa hela nyingi. Refer ishu ya Anthony,Casemiro nk. Lakini pia wanapo pewa option ya kusajili kwa bei ndogo bado hawakubali refer Enzo,Haland nk. Lakini pia sina hakika kama Scouts wetu wana fanya kazi ipasavyo auu ndio hawasikilizwi. Kuna stor kuwa Eric anasajili watu ambao ana connection nao. Tangu Moyes tumekuwa na kasumba hii, ni kama timu haina ushawishi. Wachezaji wengi tumepata ni either wana connection na kocha auu lah basi ni kwa hela nyingi. Moyes na Fellain. Kwa Van gaal na Waholanzi+ Bastian, Mou na Ibra+ Matic. Kuna jinsi tuna struggle sana kupata wachezaji wazuri kwa bei za kawaida kama hakuna conbection, hii sijui shida ni nini

Pia turudi nyuma kidogo. Uongozi huu huu ambao uliruhusu mtu kama Herrera aondoke bure sababu alitaka kuongezewa mshahara( inawezekana alihitaji mkubwa kuliko impact yake) lakini wakaidhinisha mkataba mpya wa Phil Jones alikuwa wodini tu. Ni nani anaelewa kwa nini msimu ulio pita tulimkosa Gapko??
Na kuna mlolongo wa maamuzi ya ajabu ambayo yamekuwa yakifanyika kwenye timu yetu unabaki kujiuliza hivi hawa Glazzer na wasaidizi wao ni wazungu auu.

Nitakuwa wa mwisho kuamini makocha wote walio pita kwetu ni wabovu,

DoF yupo ila ndo sio wa kimichezo
 
Shida humu mnaona aibu kukubali 7hag Ni kocha wa kawaida sababu mliaminishana Ni Kocha wa level za kina Pep na Klopp

Mnaogopa kula matapishi Yenu

Tuliposema huyu kocha Ni tapeli tu mlituona tuna chuki
 
Shida humu mnaona aibu kukubali 7hag Ni kocha wa kawaida sababu mliaminishana Ni Kocha wa level za kina Pep na Klopp

Mnaogopa kula matapishi Yenu

Tuliposema huyu kocha Ni tapeli tu mlituona tuna chuki
Ujinga kama kisogo
 
#OnThisDay (2020): #mufc completed the academy signing of one Alejandro Garnacho from Atletico Madrid for a fee of £420,000

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231002_104924_042.jpg
 
Since August 2022, PGMOL have issued 14 'VAR apologies' following officiating in Premier League games.

In-fact, Paul Joyce reports that some PL clubs want a semi-automated offside system to be brought in ASAP, along with a review of English-based match officials


[Paul Joyce]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Mashabiki wengi mlimuweka 7hag kundi la kina Pep ,klopp

Kwasasa mnaona aibu kukubali mlipigwa

Sio dhambi kukubali mlikosea

Galatasaray Sioni wakiwaacha

Kwa ratiba yenu ilivyo hizi mechi ndio mnatakiwa muokote point kabla hamjakutana na Newcastle Carabao na EPL, mancity , Liverpool, Baryen UCL,

Hizi mech za Sasa mtapigika ,zikija hizo watamalizia kuwabonda


Ndipo mtakapokiri 7hag sio kocha Ni dalali tu ,kipind hicho mpo nafas ya 12 ,
Nafasi ya 12 tuu..? , Hapo ongelea nafasi ya Chelsea au chini zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom