
















Kwanza wataliban wanamuulizia 😃Ten hag kawazid nn hao,au mnaongea tu
Ten hag Ni kocha Mwenye uwezo mdogo yamkin anazidiwa hata na ole gunar
Haya ndio yaliyojiri jumanne kwenye Carabao Cup!😄Leo tupo kama prime Barca
Yani nyie nyumbu mnafurahi mechi moja, mechi mbili mnakimbiana😂Martial wee!!! Hili boli la leo ni burudani tu.
Mambo yalipamba moto sana mpaka tukagoma kuingia hili jukwaa😂😂😂Uzuri tulitoa onyo mapema. Palace leo hawajatimiza maagizo kwasababu ni EFL hivyo basi watakapokuja OT Jumamosi ni lazima waache points 3.
Fernandes
Mount
Casemiro
Amrabat
Tupewe nini tena sisi! Nilisema injuries ndiyo zimetuharibia, sasa watu wa kazi wameanza kurudi. Kwetu msimu ndiyo umeanza.
Unaambiwa huu ukuta wa AmraCase hapiti mtu😂😂😂🙌𝐒𝐭𝐞𝐯𝐞 𝐁𝐫𝐮𝐜𝐞: “Casemiro and Amrabat is going to be hard to 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤 𝐃𝐨𝐰𝐧.”
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |
View attachment 2763601
😂😂😂😂🙌ETH is cooking
Unaambiwa huu ukuta wa AmraCase hapiti mtu![]()
,nacheka kama mazuri,waliposhinda katikati ya wiki walijazana sana UJINGA humu kujipa moyo,kumbe ni kikundi cha wahuni wavaa vijora tu, mtaendelea KUGONGWA mpaka MCHAKAE NYUMBU ninyiKarma is the gift that keeps on givingL Martinez the butcher out for 3 months
Defence; varane, lindeloaf, Evans
Uefa
Ligi
Fa
Carabao
Lord Magwaya is cooking something
ana nani cha ajabu hata sehemu sahihi na muda wakupiga pasi haujui anachoweza ni kujigongagonga tatizo hamtaki kusema ukweli misimu 6 sasa rashford yuleyule habadiliki mara mwisho mlisema mzuri akitokea kushoto sahivi unasingizia timu mbona na palace ile ya cup hakuwepo tulicheza vizuri !Hamis acha kumlinganisha Rashford na vitu vya ajabu ajabu,huyo Rashford akicheza arsenal au city nani anaweza kumweka benchi ,team inacheza hovyo hovyo unataka afanye Nini ,team iki steap up kidogo Rashford LAZIMA afanye tukio