Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Piers Morgan via 𝐗


#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20231001_000235_717.jpg
 
BREAKING: Sheikh Jassim will complete his full takeover of #mufc in the next two weeks.


[The Sun]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20231001_000001_116.jpg
 
Tukiacha mambo ya mbinu.
Mount
Amrabat
Rashford
Pellistri japo bado mdg
Malaria
Dalot
Lindelof
Varane
Na wengne wengi 80%
hawa jamaa hawawezi kazi, yaani ni dhaifu.
physicality iko chini wengine hawana kiwango kizuri.
ETH ni kocha mzuri lakini naona kama usajili anazingua, au uongozi haumpi wachezaji anaotaka.
Binafsi sijui alaumiwe nani, lakini uongozi ni dhaifu katika maamuzi yao
 
Wapo makocha wengi wanamzid uwezo, yule wa sporting Lisbon, Hans flick, Di Zerbi, Zidane, wapo wengi Sana Ni kutulia tu, Spurs wamempata wap Ange
Usiwavimbishe kichwa spurs , hamna timu pale , cha maana walichofanya ni kumuondoa Yule mpumbavu Kane selfish , na kumpiga bench Uchochoro Dier , hyo ndo changes inayoleta matokeo sasa , ufundi wa Kocha tutaungalia kuanzia Kati Kati ya msimu
 
Records broken so far this season -

- Manchester United hadn't lost 4 of the opening 7 games in PL history, until Erik Ten Hag

- Manchester United haven't had as few as 9 points from the opening 7 games since 1989, until Erik Ten Hag

- Manchester United hadn't conceded 4 goals in a CL group game in 28 years, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't conceded 3+ goals in 3 consecutive games since 1978, until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never lost at the Tottenham Hotspur stadium, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't lost the opening two away games since 1973-74, until Erik Ten Hag.

- Manchester United hadn't conceded more than one goal in 4 consecutive league games since 1979, Until Erik Ten Hag.

- Manchester United had never conceded 2 goals in the opening 4 minutes of a PL game at Old Trafford, Until Erik Ten Hag

- Manchester United had never conceded 23 shots in one game at Old Trafford in PL history, Until Erik Ten Hag

- Brighton had never won twice in a row at Old Trafford, until Erik Ten Hag

We are 8 games into the season

a155549e-7736-4685-bdeb-989c06e6c634.jpg
 
Ikitokea mnabadili kocha hivi karibuni Basi mtarudi hatua 5 nyuma
mawili either mmalize msimu na 10hag au

Anthony
Ericksen
Casimiro
Onana
Martinez
Hojlund
Amrabat
Hao wote ni mapendekezo ya 10hag, akija kocha mwingine anaweza kukuambia Martinez na Anthony hawapo kwenye mipango yangu. U see

Man u inahitaji kujenga timu, trust the process
In the process of making a team there are ups and downs

10hag afukuzwe kazi pale msimu ukiisha, itakua Bora zaidi.
Swali, anatoka 10hag anakuja nani?

Chelsea wangebaki na Tomas tuchel na kikosi Chao hiki, Basi wangekua washindani kweli kweli kuliko huyo pochetino
Chelsea ina kila kitu, na bado January wanarudi sokoni

Nawauliza Tena akitoka 10hag aje Nani?
 
Hii club ina shida kubwa
Tutakua tunafurahi mechi moja, mechi tatu vilio
Embu glazer’s waondoke kwnza ndo tujue kama ni kwel pogba alifanya tambiko pale ana kuna namna
Hii club tushakua club ya kawaida sanaaaaa limebaki jina tu naona ndo club iliobaki tumekariri mambo ya zamani hatui evolve
 
Usiwavimbishe kichwa spurs , hamna timu pale , cha maana walichofanya ni kumuondoa Yule mpumbavu Kane selfish , na kumpiga bench Uchochoro Dier , hyo ndo changes inayoleta matokeo sasa , ufundi wa Kocha tutaungalia kuanzia Kati Kati ya msimu
Kane hakuwa uchochoro, huwez kusema Hakuna utofauti wa uchezaji wa Conte mabeki wa 5 , na uchezaji wa Ange ambaye anawatumia Bissouma na Sarr ambao Conte aliwakataa kwenye mfumo wake

Conte alikuwa anatembea na Hojberg na yule mu Uruguay .
 
Tukiacha mambo ya mbinu.
Mount
Amrabat
Rashford
Pellistri japo bado mdg
Malaria
Dalot
Lindelof
Varane
Na wengne wengi 80%
hawa jamaa hawawezi kazi, yaani ni dhaifu.
physicality iko chini wengine hawana kiwango kizuri.
ETH ni kocha mzuri lakini naona kama usajili anazingua, au uongozi haumpi wachezaji anaotaka.
Binafsi sijui alaumiwe nani, lakini uongozi ni dhaifu katika maamuzi yao
Taratibu utafika tu utaelewa 7hag Ni tapeli

Kocha karuhusiwa had atumie kampuni lake la Udalali ili alete wachezaji anaowataka ,bado mnasema uongoz haumpi wachezaji anaowataka

Anthony€100m
Malacia €18m
Eriksen
Hojlund €85m
Amrabat loan
Mount €65m
Onana €55m
Weghost loan
Martinez €60m


Hizo Ni sajili zake mwenyewe

Casemiro €70m hii Ni sajili ya uongozi
 
Hii club ina shida kubwa
Tutakua tunafurahi mechi moja, mechi tatu vilio
Embu glazer’s waondoke kwnza ndo tujue kama ni kwel pogba alifanya tambiko pale ana kuna namna
Hii club tushakua club ya kawaida sanaaaaa limebaki jina tu naona ndo club iliobaki tumekariri mambo ya zamani hatui evolve

Factor Moja wapo ya Timu kuwa na mafanikio ni kuwa na uongozi bora. Mpaka sasa tumesha badilisha sana makocha, na sitaki kuamini kuwa Mourinho na Ole walikuwa ni makocha wabovu mpaka kupelekea ku fungasha vilago.​

Cristiano:
"The owners of the club, the Glazers, they don't care about the club, professional sport"

Mfano newcastle hakuwahi kugusa top 10 tokea 2012/2013 mpk 2021/2022. Mmiliki mpya 2021 kachukua timu, Msimu ulioisha 2022/2023 Tunamuona yupo Top 5

Chelsea nao wameanza kula mbanga mapema baada ya Mmiliki wao Roman Abramovich kuuza timu. Kipindi chake chelsea ilikuwa ya motoo πŸ”₯ 2021 wakabeba na uefa.

Sina wasiwasi na wapiga kelele wa Arsenal. Wanaelewa vyema ni nini manager wao huwa anafanya mwishoni mwa msimuπŸ“Œ

Kila Manager ana mapungufu yake!​
 
Hamis acha kumlinganisha Rashford na vitu vya ajabu ajabu,huyo Rashford akicheza arsenal au city nani anaweza kumweka benchi ,team inacheza hovyo hovyo unataka afanye Nini ,team iki steap up kidogo Rashford LAZIMA afanye tukio
 
Back
Top Bottom