messanger
Senior Member
- Jul 18, 2018
- 155
- 214
Hii club ina shida kubwa
Tutakua tunafurahi mechi moja, mechi tatu vilio
Embu glazer’s waondoke kwnza ndo tujue kama ni kwel pogba alifanya tambiko pale ana kuna namna
Hii club tushakua club ya kawaida sanaaaaa limebaki jina tu naona ndo club iliobaki tumekariri mambo ya zamani hatui evolve
Factor Moja wapo ya Timu kuwa na mafanikio ni kuwa na uongozi bora. Mpaka sasa tumesha badilisha sana makocha, na sitaki kuamini kuwa Mourinho na Ole walikuwa ni makocha wabovu mpaka kupelekea ku fungasha vilago.
Cristiano:
"The owners of the club, the Glazers, they don't care about the club, professional sport"
Mfano newcastle hakuwahi kugusa top 10 tokea 2012/2013 mpk 2021/2022. Mmiliki mpya 2021 kachukua timu, Msimu ulioisha 2022/2023 Tunamuona yupo Top 5
Chelsea nao wameanza kula mbanga mapema baada ya Mmiliki wao Roman Abramovich kuuza timu. Kipindi chake chelsea ilikuwa ya motoo 🔥 2021 wakabeba na uefa.
Sina wasiwasi na wapiga kelele wa Arsenal. Wanaelewa vyema ni nini manager wao huwa anafanya mwishoni mwa msimu📌
Kila Manager ana mapungufu yake!
Chelsea nao wameanza kula mbanga mapema baada ya Mmiliki wao Roman Abramovich kuuza timu. Kipindi chake chelsea ilikuwa ya motoo 🔥 2021 wakabeba na uefa.
Sina wasiwasi na wapiga kelele wa Arsenal. Wanaelewa vyema ni nini manager wao huwa anafanya mwishoni mwa msimu📌
Kila Manager ana mapungufu yake!



Ten hag Ni dhaifu kwenye kufundisha buildup kutoka kwa kipa kwenda eneo la kiungo, hapa man u ukiwa press vzr wanachanganyikiwa , hili eneo makocha wengi wanaliweza hata lampard ,Potter wanaliweza ,Buildup zinatofautiana zipo zile Za kiwango Cha juu Kama za Arsenal, Brighton,mancity , Liverpool ,Chelsea