Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

_20231001_113209.JPG
 
Erick alianza kufeli tangu mechi ya 3 ya msimu wa kwanza alipobadilisha mifumo aliyoitaka Timu icheze na kuleta mfumo mpya ili apate mafanikio ambayo kimsingi ni ya mda mfupi long run utapata aibu tu.

Angebaki na formation aliyoitaka Timu icheze tangu anasaini mkataba hata tungefungwaje lakini ingekaa vichwani tungekua na identity ya muda mrefu, ila sasa hivi anacheza kamari tu na mifumo yake. Ndo mpaka Leo hajui acheze mfumo gani wanajichezea tu, Msimu ule kataka wacheze hivi msimu huu anataka wacheze vile aaah lazima ule spana tu

Eti best transition team ya nyoko.
 
Ikitokea mnabadili kocha hivi karibuni Basi mtarudi hatua 5 nyuma
mawili either mmalize msimu na 10hag au

Anthony
Ericksen
Casimiro
Onana
Martinez
Hojlund
Amrabat
Hao wote ni mapendekezo ya 10hag, akija kocha mwingine anaweza kukuambia Martinez na Anthony hawapo kwenye mipango yangu. U see

Man u inahitaji kujenga timu, trust the process
In the process of making a team there are ups and downs

10hag afukuzwe kazi pale msimu ukiisha, itakua Bora zaidi.
Swali, anatoka 10hag anakuja nani?

Chelsea wangebaki na Tomas tuchel na kikosi Chao hiki, Basi wangekua washindani kweli kweli kuliko huyo pochetino
Chelsea ina kila kitu, na bado January wanarudi sokoni

Nawauliza Tena akitoka 10hag aje Nani?
Kweli kabisa watu wavumilie tu maana akiondoka EtH tunarudi mwanzo. EtH nampa msimu huu na msimu ujao baada ya hapo hakuna kisingizio.
 
Wapo makocha wengi wanamzid uwezo, yule wa sporting Lisbon, Hans flick, Di Zerbi, Zidane, wapo wengi Sana Ni kutulia tu, Spurs wamempata wap Ange
De Zerbi na Ruben Amorim hawamzidi uwezo Ten Hag hata kidogo.

Hans Flick huyu ambaye ametimuliwa hata national team ya Ujeruman kwa kushinda michezo michache kuliko aliyopoteza?
 
De Zerbi na Ruben Amorim hawamzidi uwezo Ten Hag hata kidogo.

Hans Flick huyu ambaye ametimuliwa hata national team ya Ujeruman kwa kushinda michezo michache kuliko aliyopoteza?
Endelea na ubishi ila ukweli unaonekana 7hag Ni dhaifu au uwezo mdogo maeneo yafuatayo ambayo kocha hata wa wolves anatakiwa kuwa nayo

Ten hag Ni dhaifu kwenye kufundisha buildup kutoka kwa kipa kwenda eneo la kiungo, hapa man u ukiwa press vzr wanachanganyikiwa , hili eneo makocha wengi wanaliweza hata lampard ,Potter wanaliweza ,Buildup zinatofautiana zipo zile Za kiwango Cha juu Kama za Arsenal, Brighton,mancity , Liverpool ,Chelsea

Hili eneo 7hag Ni dhaifu , Buildup yake Ni yakawaida tu

Pressing mpira ukifika mbele ,Pressing zinazofanywa na timu kubwa Ni za kiwango Cha juu, Ten hag hapa amefeli , wachezaji wa man u hawawez kabisa ku press

Talent ID,Ten hag ana poor talent ID, hajui kutumia profile za wachezaji kupata ubora , nakupa mfano Pep alimuangalia John Stones ambaye Ni CB, akagundua ana profile za kuwa inverted DM, ikamsaidia kupata matokeo , alimuangalia Walker Kama RB akagundua hafai kuwa inverted DM,

Sasa 7hag mechi ikiwa ngumu utamkuta Bruno Ni CB, amrabat anakuwa inverted DM kutokea LB , je Wana profile hizo

Kuinstall playing style
7hag hawezi na ameshindwa kuinstall playing style sababu Kama huwez kutambua profile za wachezaji hutaweza kuweka playing style ya kueleweka ,unajua kwa nini

Profile za wachezaj ndio huamua mfumo gani utumike,Thomas Tuchel alipofika Chelsea alitumia back 4 akala vipigo ,akawangalia wachezaji waliopo akagundua profile zao ni back 3 , timu ikatembea ,the same to Antonio Conte .
Hiko kitu maisha huwezi kukiona kwa 7hag

Mwaka Jana nilisema anapata matokeo kwa sababu kuu mbili ,zikiondoka hizo mtaona rangi yake halisi sikueleweka

Sababu zenyewe Ni
1.Rashford alikuwa anaingia kwenye form au Peak yake ya football hivo ulikuwa wakati mzuri Sana wa 7hag kujificha humo
2.Degea Ni best shot stopper ,aliiokoa Sana manjesta na vipigo ,niliwahi kuweka list ya mechi takribani 10 ambazo Degea aliirudisha timu mchezoni na Rashford akamaliza mechi .

But nilitarajia Rashford atarud kwenye Default settings,niliposikia Degea anaondoka kusema ukweli nilifurahi maana huyu jamaa manjesta ilikuwa inaweza kupotea kabisa,Lakini akaibakisha mchezoni


Moja ya mechi ambayo nilithibitisha Ten hag Ni kocha wa kawaida Ni vs Arsenal pale OT mnashinda 3-1

Ni mechi ambayo nilitoka na jibu moja Ten hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo anayetembea na Form ya Rashford na saves za Degea
 
Kane hakuwa uchochoro, huwez kusema Hakuna utofauti wa uchezaji wa Conte mabeki wa 5 , na uchezaji wa Ange ambaye anawatumia Bissouma na Sarr ambao Conte aliwakataa kwenye mfumo wake

Conte alikuwa anatembea na Hojberg na yule mu Uruguay .
Tatizo kubwa la spurs lilikuwa Kane na backward mbovu ikiongozwa na Erick dier , Kane alikuwa ni fighter Ila ni selfish , makocha iliwalazimu kutengeneza timu imzunguke yeye, ili kuleta team work alitakiwa atoke , nashangaa Kwa nini walichelewa kulitambua hili , wamaemuuza team imepumua kuwa free kucheza , na pia wamempiga bench Erick dier ambaye nafkr ndo poorest central defender katika premier League..angalau sa hv defence imekuwa na muunganiko
 
Tatizo kubwa la spurs lilikuwa Kane na backward mbovu ikiongozwa na Erick dier , Kane alikuwa ni fighter Ila ni selfish , makocha iliwalazimu kutengeneza timu imzunguke yeye, ili kuleta team work alitakiwa atoke , nashangaa Kwa nini walichelewa kulitambua hili , wamaemuuza team imepumua kuwa free kucheza , na pia wamempiga bench Erick dier ambaye nafkr ndo poorest central defender katika premier League..angalau sa hv defence imekuwa na muunganiko
Screenshot_20231001-132156.jpg

Katika timu hizi SITA. Spu nde mwenye matokeo bora.
 
Mashabiki wengi mlimuweka 7hag kundi la kina Pep ,klopp

Kwasasa mnaona aibu kukubali mlipigwa

Sio dhambi kukubali mlikosea

Galatasaray Sioni wakiwaacha

Kwa ratiba yenu ilivyo hizi mechi ndio mnatakiwa muokote point kabla hamjakutana na Newcastle Carabao na EPL, mancity , Liverpool, Baryen UCL,

Hizi mech za Sasa mtapigika ,zikija hizo watamalizia kuwabonda


Ndipo mtakapokiri 7hag sio kocha Ni dalali tu ,kipind hicho mpo nafas ya 12 ,
 
Mashabiki wengi mlimuweka 7hag kundi la kina Pep ,klopp

Kwasasa mnaona aibu kukubali mlipigwa

Sio dhambi kukubali mlikosea

Galatasaray Sioni wakiwaacha

Kwa ratiba yenu ilivyo hizi mechi ndio mnatakiwa muokote point kabla hamjakutana na Newcastle Carabao na EPL, mancity , Liverpool, Baryen UCL,

Hizi mech za Sasa mtapigika ,zikija hizo watamalizia kuwabonda


Ndipo mtakapokiri 7hag sio kocha Ni dalali tu ,kipind hicho mpo nafas ya 12 ,
Ni kweli tunaelekea nafasi ya 17 lkn sio kweli kwamba kocha.
 
Mmetaka Striker Kama Haaland kawapa Rasmus Hojlund £72m.

Mmetaka kiungo kama FDJ kawapa Mason Mount £55m

Mmetaka a ball playing golie kawapa Andre Onana £47M

Mmetaka mkabaji kawapa Amrabat

Kawapa Sergio Reguilon na Jonny Evans kama kifungashio

Glazers ain’t a Problem
 
Back
Top Bottom