Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 916
- 2,161
Kocha anatakiwa aweke backup chapchap. Vinginevyo timu itafungwa Gori nyingi sana huu. Onana ni njembanjemba aliyeshindwa unitedLaana ya kumtimua De Gea itawaandama mpaka mumuonbe msamaha.
Kocha anatakiwa aweke backup chapchap. Vinginevyo timu itafungwa Gori nyingi sana huu. Onana ni njembanjemba aliyeshindwa unitedLaana ya kumtimua De Gea itawaandama mpaka mumuonbe msamaha.
Spurs na United ni timu mbili tofauti haziwezi kufanana. EtH yupo under pressure.Muda huo Ange wa Spurs ana miezi tu😂😂
Jiulize mpaka huo msimu ten hag ana click Ange atakua step gani.
Ni kweli tunaelekea nafasi ya 17 lkn sio kweli kwamba kocha.Mashabiki wengi mlimuweka 7hag kundi la kina Pep ,klopp
Kwasasa mnaona aibu kukubali mlipigwa
Sio dhambi kukubali mlikosea
Galatasaray Sioni wakiwaacha
Kwa ratiba yenu ilivyo hizi mechi ndio mnatakiwa muokote point kabla hamjakutana na Newcastle Carabao na EPL, mancity , Liverpool, Baryen UCL,
Hizi mech za Sasa mtapigika ,zikija hizo watamalizia kuwabonda
Ndipo mtakapokiri 7hag sio kocha Ni dalali tu ,kipind hicho mpo nafas ya 12 ,
Dogo nawe usijikute mchambuzi kiivo. Man u inashida sawa ila hata wewe ni mpiga zumari huna uchambuzi wowote hilo nilithibitisha pale Man u wanaposhinda huwa unajizima data kabisa hata kucoment humu huwa hutokei thats not sportsmanship.Endelea na ubishi ila ukweli unaonekana 7hag Ni dhaifu au uwezo mdogo maeneo yafuatayo ambayo kocha hata wa wolves anatakiwa kuwa nayo
Ten hag Ni dhaifu kwenye kufundisha buildup kutoka kwa kipa kwenda eneo la kiungo, hapa man u ukiwa press vzr wanachanganyikiwa , hili eneo makocha wengi wanaliweza hata lampard ,Potter wanaliweza ,Buildup zinatofautiana zipo zile Za kiwango Cha juu Kama za Arsenal, Brighton,mancity , Liverpool ,Chelsea
Hili eneo 7hag Ni dhaifu , Buildup yake Ni yakawaida tu
Pressing mpira ukifika mbele ,Pressing zinazofanywa na timu kubwa Ni za kiwango Cha juu, Ten hag hapa amefeli , wachezaji wa man u hawawez kabisa ku press
Talent ID,Ten hag ana poor talent ID, hajui kutumia profile za wachezaji kupata ubora , nakupa mfano Pep alimuangalia John Stones ambaye Ni CB, akagundua ana profile za kuwa inverted DM, ikamsaidia kupata matokeo , alimuangalia Walker Kama RB akagundua hafai kuwa inverted DM,
Sasa 7hag mechi ikiwa ngumu utamkuta Bruno Ni CB, amrabat anakuwa inverted DM kutokea LB , je Wana profile hizo
Kuinstall playing style
7hag hawezi na ameshindwa kuinstall playing style sababu Kama huwez kutambua profile za wachezaji hutaweza kuweka playing style ya kueleweka ,unajua kwa nini
Profile za wachezaj ndio huamua mfumo gani utumike,Thomas Tuchel alipofika Chelsea alitumia back 4 akala vipigo ,akawangalia wachezaji waliopo akagundua profile zao ni back 3 , timu ikatembea ,the same to Antonio Conte .
Hiko kitu maisha huwezi kukiona kwa 7hag
Mwaka Jana nilisema anapata matokeo kwa sababu kuu mbili ,zikiondoka hizo mtaona rangi yake halisi sikueleweka
Sababu zenyewe Ni
1.Rashford alikuwa anaingia kwenye form au Peak yake ya football hivo ulikuwa wakati mzuri Sana wa 7hag kujificha humo
2.Degea Ni best shot stopper ,aliiokoa Sana manjesta na vipigo ,niliwahi kuweka list ya mechi takribani 10 ambazo Degea aliirudisha timu mchezoni na Rashford akamaliza mechi .
But nilitarajia Rashford atarud kwenye Default settings,niliposikia Degea anaondoka kusema ukweli nilifurahi maana huyu jamaa manjesta ilikuwa inaweza kupotea kabisa,Lakini akaibakisha mchezoni
Moja ya mechi ambayo nilithibitisha Ten hag Ni kocha wa kawaida Ni vs Arsenal pale OT mnashinda 3-1
Ni mechi ambayo nilitoka na jibu moja Ten hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo anayetembea na Form ya Rashford na saves za Degea
Mimi Nimeanza kumpinga 7hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo since anafikaDogo nawe usijikute mchambuzi kiivo. Man u inashida sawa ila hata wewe ni mpiga zumari huna uchambuzi wowote hilo nilithibitisha pale Man u wanaposhinda huwa unajizima data kabisa hata kucoment humu huwa hutokei thats not sportsmanship.
Zaidi ni mpiga kelele wa Arsenal na hater wa Man U kwa upande huo naweza kukuelewa.
Mimi Nimeanza kumpinga 7hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo since anafika
Labda Kama unaniona leo
Basi tunapishana tu ,Mimi ndiye wa kwanza kumpinga 7hag toka Msimu Jana anashinda ,itakuwa leo hiiNafahamu mimi hili jukwaa nipo miaka mingi sana. Nacho kupinga wewe pale timu ikishinda unajichimbia shimo huonekani. Wakati mwingine timu inashinda ila haijacheza vizuri ila siku tukifungwa ndio unaibuka na uchambuzi wako ambao ni wa kishabiki tu hauna objectivity yoyote.
Alafu ndio kaongezewa mshahara 350k
Huyu jamaa hata sajili zake hazielewekiHao waingereza wanavyomkuza unaweza kudhani amefikia hata robo ya kiwango cha Louis Nani.
Timu ikishakuwa na mchazaji anayeangalia record zake pekee na hasa akiwa na uwezo wa kawaida lazima timu ipate shida.
EtH anatakiwa kumpa ukweli Rashford na kumtuliza Bench.
sio ETH tu hata arteta ni tapeli kama wetu, mtakaa miaka 5 nyingne Bila EPL wala UCL.Graham Potter is tactically superior and better than Tan Hag
Glazed Kwa nini anakataa martial asiuzwe? Kwanin anampangia kocha Cha kufanya.Mmetaka Striker Kama Haaland kawapa Rasmus Hojlund £72m.
Mmetaka kiungo kama FDJ kawapa Mason Mount £55m
Mmetaka a ball playing golie kawapa Andre Onana £47M
Mmetaka mkabaji kawapa Amrabat
Kawapa Sergio Reguilon na Jonny Evans kama kifungashio
Glazers ain’t a Problem
Ulichoongea ni ukwel kabisa. Hao kina de zerbi hawamzidi hata kidogo ten hag.De Zerbi na Ruben Amorim hawamzidi uwezo Ten Hag hata kidogo.
Hans Flick huyu ambaye ametimuliwa hata national team ya Ujeruman kwa kushinda michezo michache kuliko aliyopoteza?
Je Arsenal ilikuwa inacheza butuabutua kama manjesta?hamis77 Msimu juzi mpaka round ya 5 EPL arsenal mlikuw mnaburuza mkia, je arteta alikuw kiazi, au ni mdomo umepewa mkubwa, unaongea tu.
Jifarijisio ETH tu hata arteta ni tapeli kama wetu, mtakaa miaka 5 nyingne Bila EPL wala UCL.
Ten hag kawazid nn hao,au mnaongea tuUlichoongea ni ukwel kabisa. Hao kina de zerbi hawamzidi hata kidogo ten hag.