Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo nawe usijikute mchambuzi kiivo. Man u inashida sawa ila hata wewe ni mpiga zumari huna uchambuzi wowote hilo nilithibitisha pale Man u wanaposhinda huwa unajizima data kabisa hata kucoment humu huwa hutokei thats not sportsmanship.

Zaidi ni mpiga kelele wa Arsenal na hater wa Man U kwa upande huo naweza kukuelewa.
Mimi Nimeanza kumpinga 7hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo since anafika

Labda Kama unaniona leo
 
Nafahamu mimi hili jukwaa nipo miaka mingi sana. Nacho kupinga wewe pale timu ikishinda unajichimbia shimo huonekani. Wakati mwingine timu inashinda ila haijacheza vizuri ila siku tukifungwa ndio unaibuka na uchambuzi wako ambao ni wa kishabiki tu hauna objectivity yoyote.
Mimi Nimeanza kumpinga 7hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo since anafika

Labda Kama unaniona leo
 
Hamna kitu huwa kinanikera kama mashabiki wasiojua Mpira kumtetea Erik 7Hag kwa mafanikio yake ya Ajax, do you remember what happened to Frank De Boer in the pl aliyeshinda mataji manne (4) mfulululizo ya ligi pale Ajax?


Frank De Boer is the worst pl coach of all the time with zero points and zero goals scored akiwa Crystal Palace.

Let's judge him akiwa United na sio kwa record zake za zamani akiwa Ajax.

Whether you are a top coach or not you are going to be judged by your results and not otherwise. ETH still has time to prove many people wrong but up to know he is also a part of the problem at Manchester United. There's no a clear style of play, No results. Also I know sometimes coaches need time to implement their style of play but he has been there for more than 15 months including two full pre seasons at the club. His time is running...!
 
Nafahamu mimi hili jukwaa nipo miaka mingi sana. Nacho kupinga wewe pale timu ikishinda unajichimbia shimo huonekani. Wakati mwingine timu inashinda ila haijacheza vizuri ila siku tukifungwa ndio unaibuka na uchambuzi wako ambao ni wa kishabiki tu hauna objectivity yoyote.
Basi tunapishana tu ,Mimi ndiye wa kwanza kumpinga 7hag toka Msimu Jana anashinda ,itakuwa leo hii

Yanayotokea Sasa Ni uthibitisho tu wakile nilichoeleza

Mechi iliyonifanya niamini 7hag Ni kocha wa kawaida Ni vs Arsenal pale OT mnashinda 3-1 , ile mechi mlishinda kwa kubahatisha Sana ,Mpira wa ujanjaujanja mwingi

Halafu 7hag akasema Hii ndio manjesta niliyokuwa naitaka ,akaenda mbali zaidi kasema yeye ndiye anastahili kuongoza Ligi

Nikajiuliza Kama kwa Mpira huu anasema haya Basi Manjesta hawana kocha .
 
Hao waingereza wanavyomkuza unaweza kudhani amefikia hata robo ya kiwango cha Louis Nani.

Timu ikishakuwa na mchazaji anayeangalia record zake pekee na hasa akiwa na uwezo wa kawaida lazima timu ipate shida.

EtH anatakiwa kumpa ukweli Rashford na kumtuliza Bench.
Huyu jamaa hata sajili zake hazieleweki
 
Mmetaka Striker Kama Haaland kawapa Rasmus Hojlund £72m.

Mmetaka kiungo kama FDJ kawapa Mason Mount £55m

Mmetaka a ball playing golie kawapa Andre Onana £47M

Mmetaka mkabaji kawapa Amrabat

Kawapa Sergio Reguilon na Jonny Evans kama kifungashio

Glazers ain’t a Problem
Glazed Kwa nini anakataa martial asiuzwe? Kwanin anampangia kocha Cha kufanya.
Screenshot_20231001-154718.jpg

Akale tubhaya madude yao. Na midomo yenu isiyoacha kula na kuongea
 
hamis77 Msimu juzi mpaka round ya 5 EPL arsenal mlikuw mnaburuza mkia, je arteta alikuw kiazi, au ni mdomo umepewa mkubwa, unaongea tu.
Je Arsenal ilikuwa inacheza butuabutua kama manjesta?

Tena alikuwa ndio anasajili ,usimfananishe Mikel na huyu 7hag timu hata pass 10 haiwez kupiga
 
Kufundisha United huwezi kufananisha na brighton au Spurs. Ni vitu viwili tofauti
Hamna kitu huwa kinanikera kama mashabiki kumtetea Erik Ten Hag kwa mafanikio yake ya Ajax, do you remember what happened to Frank De Boer in the pl aliyeshinda mataji manne (4) mfulululizo ya ligi pale Ajax? Frank De Boer is the worst pl coach of all the time with zero points and zero goals scored akiwa Crystal Palace. Let's judge him akiwa United na sio kwa record zake za zamani akiwa Ajax.

Whether you are a top coach or not you are going to be judged by your results and not otherwise. ETH still has time to prove many people wrong but up to know he is also a part of the problem at Manchester United. There's no a clear style of play, No results. Also I know sometimes coaches need time to implement their style of play but he has been there for more than 15 months including two full pre seasons at the club. His time is running...!
 
[emoji991] 𝐀𝐧𝐭𝐨𝐧𝐲 pictured at Old Trafford yesterday.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃[emoji1179][emoji3541]
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨[emoji2522]
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙[emoji837]
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏[emoji469]
#𝙂𝙂𝙈𝙐[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20231001_143150_004.jpg
 
Back
Top Bottom