Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,479
- 14,681
Man u mnajaribu kuingia top 4
Epl pagumu sanaConte had Sasa Hana timu ,watu washaachana na makocha old school
Ndio maana namkubali Sana Mourinho hawez kurud EPL kwasasa
Spurs hawakumuangalia uson ConteTuache utani wazee inaweza kuwa kweli Ten Hag tumepigwa. Mnaona mambo wanayofanya Spurs? Iweje kila siku sisi tu ndiyo project zetu zinafeli!!!
Trust the process.Wamiliki wanaweza kuwa tatizo, lakini kocha pia ni tatizo mil 400 lakini bado hata hatueleweki tunacheza nini.
Tuzungumzie mpira wa Leo mlioingia na kung fu za kichina mpaka lichezaji lenu tahira linachoma golini.Last season tukiwa kwenye hali mbaya ila tuliwafunga mabao 7
Safari hii Hawa tunawatoboa hata 20![]()
Nilikuwa nataka nishangae wanangu crystal palace, tabia ya kufungwa mara mbili mfululizo wameanza lini



,Man U ni Kikundi cha wavaa vijora tu,ukiwakuta humu wanajadiliana kuhusu Man U wanaonekaga wapo serious kweli kumbe wakata mauno tu




Trust the process "Wengine tulifukuzwa hadi jukwaani
Kiko wapi???????

Uhalisia ni tumepigwa tena sana. Misimu miwili hamna kitu kinachoeleweka.Tuache utani wazee inaweza kuwa kweli Ten Hag tumepigwa. Mnaona mambo wanayofanya Spurs? Iweje kila siku sisi tu ndiyo project zetu zinafeli!!!
Atafute wapi tena wakati ndo kaamua kuwaleta hao. Tukubali jamaa mweupe sana kwa kumfundisha EPL.Amrabat na mount ni bench warmer
Eric ten hag should play smart EPL is crazy
Mount ana pace akili ya mpira hana
Amrabat akili ya mpira anayo mwili ni kinu/km kafungwa kokoto anavyokimbia hadi nimemhurumia
EPL wahuni watakuwa wanatanguliza mpira ili wamwaibishe tu
Mount hatimizi majukumu yake anamtegea casemiro
Ten hag hapa asihesabu amesajili wachezaji hawa watamharibia kazi (mount na amrabat ni wachezaji wa kikosi
Hojlund anahitaji muda ku cope na kwa presha ya manchester united ulivyo tunaweza tusipate ubora wa dogo
Rashford alywas childsh (watu wenye vichwa vidogo na inasemekana uwezo wao wa kufikiri ni mdogo naanza kuamini kupitia uyu dogo
Nashindwa hata nimlaumu nani
Msimu huu ni km umeisha hivi
Ten hag atafute wachezaji mount na amrabat tutaishia kugombea carabao tu
bonge la kocha hawezi kumkubali RashfordWasiojua mpira watalaumu ila tenHag ni bonge la kocha bado kidogo mtaelewa