Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao Liverpool wenyewe pamoja wako pungufu lakini mpira wanaoupiga unajikuta tu unajiuliza hivi timu yetu inacheza football au hua tunacheza mdako
Kwa mpira huu tunaocheza tukienda Anfield tusipogongwa goli 10 ntaamini kweli uchawi upo.
10 hamuwez kufungwa hata 7 hamuwez kufungwa ,

Ila Sion mkishinda

Mna kocha wakawaida sana
 

Ujinga wa kocha ndio unatuponza, ameshaona kuna wachezaji hawachezi kama team lakini bado anakomaa nao. Rashford kwa sasa ni kama kirusi kwenye timu. Hajui ni wakati gani acheze na mpira na wakati gani atoe pasi.

Tuna kikundi cha wachezaji wazuri lakini hatuna timu.
 
Hao Liverpool wenyewe pamoja wako pungufu lakini mpira wanaoupiga unajikuta tu unajiuliza hivi timu yetu inacheza football au hua tunacheza mdako
Kwa mpira huu tunaocheza tukienda Anfield tusipogongwa goli 10 ntaamini kweli uchawi upo.
Safari hii ni kumi
Tukija kwenu ongeza mengine matatu hapo juu.
 
Wana mwalimu anayefundisha modern football na sio Haram football

Waliachana na Conte aliyekuwa anajificha kwenye kichaka Cha Dani Levi

Levy alimpa pesa akasajili Richarlson, kuluveski, N.k alisajili wachezaji aliowataka ,but Conte hawez Tena kutamba na Haram football kwa Ligi Kama EPL ,

Ujinga wa bodi ya manjesta wakimtimua 7hag watamuajili Conte
Kuna mda ua unaongea point, lakin Conte hapana kwakwel.
 

Ujinga wa kocha ndio unatuponza, ameshaona kuna wachezaji hawachezi kama team lakini bado anakomaa nao. Rashford kwa sasa ni kama kirusi kwenye timu. Hajui ni wakati gani acheze na mpira na wakati gani atoe pasi.

Tuna kikundi cha wachezaji wazuri lakini hatuna timu.
Alafu ndio kaongezewa mshahara 350k
 
Man u mnajaribu kuingia top 4
20230930_131551.jpg
 
Tuache utani wazee inaweza kuwa kweli Ten Hag tumepigwa. Mnaona mambo wanayofanya Spurs? Iweje kila siku sisi tu ndiyo project zetu zinafeli!!!
Spurs hawakumuangalia uson Conte

Mchumi Dani Levi alimpa pesa asajili lakin lawama akaendelea kupewa yeye na ulimwengu wa Soka kwa kufata mikumbo ukaamini

Spurs walikuwa wanapaki Basi wanasubiri kaunta Ni Mpira ulimsaidia mwanzoni but huwa una muda fulani

The same path aliyopita nayo 7hag , kwasasa hata Everton hamuwez kumfunga convincingly

Levi aliposhtuka anapigwa ,akamtimua Conte ,akamsajili Ange mwenye falsafa za kisasa


Conte had Sasa Hana timu

Mourinho ukimleta EPL Sasa hivi wanaweza mshusha daraja kabisa
 
Back
Top Bottom