hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,642
10 hamuwez kufungwa hata 7 hamuwez kufungwa ,Hao Liverpool wenyewe pamoja wako pungufu lakini mpira wanaoupiga unajikuta tu unajiuliza hivi timu yetu inacheza football au hua tunacheza mdako
Kwa mpira huu tunaocheza tukienda Anfield tusipogongwa goli 10 ntaamini kweli uchawi upo.
Ila Sion mkishinda
Mna kocha wakawaida sana



hii ndo nyumbu tunayoijua