Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,794
- 4,294
mchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.ana nani cha ajabu hata sehemu sahihi na muda wakupiga pasi haujui anachoweza ni kujigongagonga tatizo hamtaki kusema ukweli misimu 6 sasa rashford yuleyule habadiliki mara mwisho mlisema mzuri akitokea kushoto sahivi unasingizia timu mbona na palace ile ya cup hakuwepo tulicheza vizuri !

watapata tabu sana wale galatasaray
10:00 usiku
Old Trafford a.k.a matofali ya kuchoma

Ibrahimović on Ten Hag: “What is the experience of this coach? Young talents then he comes to United… Man United is different mentality, different players”.