Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mdau kutoka fb

Everton chini ya ancelot ilikua top 6 wachezaji wakawaida tu ila kwakua kocha ni mbunifu anacheza nao ivo ivo ona kaondoka
Everton imeshuka mpk mwishoni wa msimu jana nusu ishuke daraja
Kwaio mkiambiwa kocha wetu ni bado kocha kinda muelewe angalia unai emery kaichukua aston villa ikiwa ya 17 kwenye msimu game ya kwanza anacheza na united ya moto tunakandwa 3-1
Kamaliza msimu wa 6 sjui 7 anacheza makombe ya ulaya
Shida yetu washabiki kusema ukweli hatutakj kwamba kocha wetu ni KINDA kimbinu umri mkubwa ila kinda tactically sio mzuri kubadilika badilika na ngumu kumanage resources alizonazo mpk umpe resources kamili
Mtabaki kulaumu wachezaji weeee mpk mmalize kikosi ila molali na discipline ya mchezaji inaanzia kwa kocha ake anaishi aje na wachezaji anawafunzaje direct and indirect mtu kuwa na performance nzuri????
Mtu anakosea kila mechi wewe uyo uyo unampanga kila game yupo kila game yupo kwann asiendeleze ufampa mzee
Em angalia city angalia Madrid angalia Brighton angalia aston villa angalia Newcastle angalia hata arsenal TU
Gabriel JESUS si anakua ubao fresh dogo nketiah anaanza skuizi we unazan kwann asiperform akipewa chance
Angalia city msimu ulopita vikosi vyake kila game mabadiliko yapo kila game
Iyo ndo namna ya kujenga molali kwa wachezaji mtu anataka akiingia afanye kweli kmmk mana anajua akileta usenge ni bench game 3
Sasa wewe kocha ako mzuri wachezaji wabaya kila game Rashford Bruno Antony
Na unategemea tu always upate ushindi unazani waaalimu wa timu pinzani wapuuzi hawakusomi mzee
Afu mtu anakwambia ety united shida players kweli tupo wazima wanangu hivi wewe na spurs palace Brighton mchezaji mmoja mmoja nan anaikuta squad ya UNITED
Timu I ashinde kuperform kwasababu kocha hana nidhamu na wachezaji wake hata kama ni wewe unajitoa mazoezini upate nafasi ya kucheza afu huchezi na anayecheza anacheza UTOPOLO na kila mechi anapangwa wewe kama player HUPOTEZI MOLALI KWELI??
Hii ni kweli kabisaaa
 
Mdau kutoka fb

Everton chini ya ancelot ilikua top 6 wachezaji wakawaida tu ila kwakua kocha ni mbunifu anacheza nao ivo ivo ona kaondoka
Everton imeshuka mpk mwishoni wa msimu jana nusu ishuke daraja
Kwaio mkiambiwa kocha wetu ni bado kocha kinda muelewe angalia unai emery kaichukua aston villa ikiwa ya 17 kwenye msimu game ya kwanza anacheza na united ya moto tunakandwa 3-1
Kamaliza msimu wa 6 sjui 7 anacheza makombe ya ulaya
Shida yetu washabiki kusema ukweli hatutakj kwamba kocha wetu ni KINDA kimbinu umri mkubwa ila kinda tactically sio mzuri kubadilika badilika na ngumu kumanage resources alizonazo mpk umpe resources kamili
Mtabaki kulaumu wachezaji weeee mpk mmalize kikosi ila molali na discipline ya mchezaji inaanzia kwa kocha ake anaishi aje na wachezaji anawafunzaje direct and indirect mtu kuwa na performance nzuri????
Mtu anakosea kila mechi wewe uyo uyo unampanga kila game yupo kila game yupo kwann asiendeleze ufampa mzee
Em angalia city angalia Madrid angalia Brighton angalia aston villa angalia Newcastle angalia hata arsenal TU
Gabriel JESUS si anakua ubao fresh dogo nketiah anaanza skuizi we unazan kwann asiperform akipewa chance
Angalia city msimu ulopita vikosi vyake kila game mabadiliko yapo kila game
Iyo ndo namna ya kujenga molali kwa wachezaji mtu anataka akiingia afanye kweli kmmk mana anajua akileta usenge ni bench game 3
Sasa wewe kocha ako mzuri wachezaji wabaya kila game Rashford Bruno Antony
Na unategemea tu always upate ushindi unazani waaalimu wa timu pinzani wapuuzi hawakusomi mzee
Afu mtu anakwambia ety united shida players kweli tupo wazima wanangu hivi wewe na spurs palace Brighton mchezaji mmoja mmoja nan anaikuta squad ya UNITED
Timu I ashinde kuperform kwasababu kocha hana nidhamu na wachezaji wake hata kama ni wewe unajitoa mazoezini upate nafasi ya kucheza afu huchezi na anayecheza anacheza UTOPOLO na kila mechi anapangwa wewe kama player HUPOTEZI MOLALI KWELI??
Kwani unai emry hakufeli arsenal?
Kwani ten hang aliikuta team nafas ya ngapi na msimu ukaisha tupo nafas ya ngapi?

Kwanza ufaham team imeanza kucheza vizuri ni swala la muda kila kitu kitakua mahara pake.

Ancelotti kaifundisha Everton yenye iwobi na james Rodriguez unasema wachezaji wa kawaida.

Shida Manchester sio Glazer's pekee bali hata mashabiki kama nyie ni moja ya tatizo.MPENI MDA KOCHA
 
Kwani unai emry hakufeli arsenal?
Kwani ten hang aliikuta team nafas ya ngapi na msimu ukaisha tupo nafas ya ngapi?

Kwanza ufaham team imeanza kucheza vizuri ni swala la muda kila kitu kitakua mahara pake.

Ancelotti kaifundisha Everton yenye iwobi na james Rodriguez unasema wachezaji wa kawaida.

Shida Manchester sio Glazer's pekee bali hata mashabiki kama nyie ni moja ya tatizo.MPENI MDA KOCHA
Bado mwezi mmoja ,wote humu mtalamba matapishi Yenu kuwa ETH Ni average coach


Nasema hivi bado mwezi mmoja


Mchambuzi Nguli mwenye beji ya FIFA nimeongea
 
Mbona Kama kesho Galatasalay wanashinda hivi

| Full Galatasaray travelling squad to face #mufc:

Muslera, Guvenc;

Angelino, Ayhan, Bardakci, Boey, Nelsson, Sanchez;

Akturkoglu, Demirbay, Ndombele, Oliveira, Tete, Torreira, Yilmaz;

Bakambu, Icardi, Mertens, Zaha.
 
𝐋𝐢𝐬𝐚𝐧𝐝𝐫𝐨 𝐌𝐚𝐫𝐭𝐢́𝐧𝐞𝐳 took painkillers to play in the games against 𝐁𝐫𝐢𝐠𝐡𝐭𝐨𝐧 and 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡, and further tests on Thursday revealed that his foot fracture has not healed correctly.


[Daily Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
View attachment 2769040
Daktari wa Timu anatatizo.
 
Una kiwango gani cha Elimu??ulihitimu kweli hata darasa la Saba??maana kwa Uandishi huo hata mtoto wangu wa Kindergarten anakushinda,halafu ukute ninyi ndio mnaokataa Bandari isichukuliwe na Waarabu wakati hata kuandika kwenyewe shida,wewe na wenzio wa Man U mtabaki kuwa MANYUMBU na mtaendelea KUGONGWA mpaka MCHAKAE KENGE ninyi
Sawa lady gaga
 
| 𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐭𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 on 𝐑𝐚𝐬𝐡𝐟𝐨𝐫𝐝 form: “If he works hard and invests every day, with the right focus and if the team around him supplies and helps him with movement, then it will come and Rashford is a player who's capable of scoring a goal in every game. When he's coming in the right spots, he will score."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| 𝐌𝐚𝐫𝐜𝐮𝐬 𝐓𝐡𝐮𝐫𝐚𝐦 was available on a free transfer this summer and was considered by Manchester United - but they decided against signing him.


[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| 𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐭𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠’𝐬 top target for a new creative midfielder this summer was 𝐌𝐚𝐬𝐨𝐧 𝐌𝐨𝐮𝐧𝐭 and his top target for a defensive midfielder was 𝐒𝐨𝐟𝐲𝐚𝐧 𝐀𝐦𝐫𝐚𝐛𝐚𝐭 - Manchester United signed them both.


[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠'𝐬 press conference Ahead of Galatasaray

“On the loss to 𝐂𝐫𝐲𝐬𝐭𝐚𝐥 𝐏𝐚𝐥𝐚𝐜𝐞? We are disappointed about the result. You have to analyse the game, see the problems and move forward.”

“On Antony’𝐬 availability for tomorrow? Antony will be in consideration but yesterday was his first time back in team training. We have a final training, then we'll make a decision.

“On a possible debut for 𝐁𝐚𝐲𝐢𝐧𝐝𝐢𝐫? You will see. But we chose in the League Cup to play Andre [Onana] because he [Bayindir] has to adapt to the England standard. That's why we preferred Andre to play.”

“On if the team isn't making progress? I think I don't agree with that. The team is moving forward, but we have to make adjustments as well. When you don't have a [fit] left back, we have to change and we did.”


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
𝐃𝐚𝐯𝐢𝐝 𝐃𝐞 𝐆𝐞𝐚 on 𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦



#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231002_231718_751.jpg
 
ana nani cha ajabu hata sehemu sahihi na muda wakupiga pasi haujui anachoweza ni kujigongagonga tatizo hamtaki kusema ukweli misimu 6 sasa rashford yuleyule habadiliki mara mwisho mlisema mzuri akitokea kushoto sahivi unasingizia timu mbona na palace ile ya cup hakuwepo tulicheza vizuri !
mchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
 
Poleni wenzangu munaopeteza maokoto kwa kuiangalia hii timu.
Me nitarudi tena pale timu itakapo kua vizuri.

Nangoja timu atapo kabidhiwa mwarabu na huyo kipara ngoto atakapo fukuzwa.

Nb. Kipara ngoto namhukumu kwa sajili zake, sio kiwango chake.

Anajua kufundisha lakini hajui kusajili.
 
Poleni wenzangu munaopeteza maokoto kwa kuiangalia hii timu.
Me nitarudi tena pale timu itakapo kua vizuri.

Nangoja timu atapo kabidhiwa mwarabu na huyo kipara ngoto atakapo fukuzwa.

Nb. Kipara ngoto namhukumu kwa sajili zake, sio kiwango chake.

Anajua kufundisha lakini hajui kusajili.
Bado hujasema vzr

Hata kufundisha hajui
 
Back
Top Bottom