delavider
Member
- Jun 15, 2017
- 28
- 45
Hii ni kweli kabisaaaMdau kutoka fb
Everton chini ya ancelot ilikua top 6 wachezaji wakawaida tu ila kwakua kocha ni mbunifu anacheza nao ivo ivo ona kaondoka
Everton imeshuka mpk mwishoni wa msimu jana nusu ishuke daraja
Kwaio mkiambiwa kocha wetu ni bado kocha kinda muelewe angalia unai emery kaichukua aston villa ikiwa ya 17 kwenye msimu game ya kwanza anacheza na united ya moto tunakandwa 3-1
Kamaliza msimu wa 6 sjui 7 anacheza makombe ya ulaya
Shida yetu washabiki kusema ukweli hatutakj kwamba kocha wetu ni KINDA kimbinu umri mkubwa ila kinda tactically sio mzuri kubadilika badilika na ngumu kumanage resources alizonazo mpk umpe resources kamili
Mtabaki kulaumu wachezaji weeee mpk mmalize kikosi ila molali na discipline ya mchezaji inaanzia kwa kocha ake anaishi aje na wachezaji anawafunzaje direct and indirect mtu kuwa na performance nzuri????
Mtu anakosea kila mechi wewe uyo uyo unampanga kila game yupo kila game yupo kwann asiendeleze ufampa mzee
Em angalia city angalia Madrid angalia Brighton angalia aston villa angalia Newcastle angalia hata arsenal TU
Gabriel JESUS si anakua ubao fresh dogo nketiah anaanza skuizi we unazan kwann asiperform akipewa chance
Angalia city msimu ulopita vikosi vyake kila game mabadiliko yapo kila game
Iyo ndo namna ya kujenga molali kwa wachezaji mtu anataka akiingia afanye kweli kmmk mana anajua akileta usenge ni bench game 3
Sasa wewe kocha ako mzuri wachezaji wabaya kila game Rashford Bruno Antony
Na unategemea tu always upate ushindi unazani waaalimu wa timu pinzani wapuuzi hawakusomi mzee
Afu mtu anakwambia ety united shida players kweli tupo wazima wanangu hivi wewe na spurs palace Brighton mchezaji mmoja mmoja nan anaikuta squad ya UNITED
Timu I ashinde kuperform kwasababu kocha hana nidhamu na wachezaji wake hata kama ni wewe unajitoa mazoezini upate nafasi ya kucheza afu huchezi na anayecheza anacheza UTOPOLO na kila mechi anapangwa wewe kama player HUPOTEZI MOLALI KWELI??
| Full Galatasaray travelling squad to face #mufc:








| 𝐄𝐫𝐢𝐤 𝐭𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 on 𝐑𝐚𝐬𝐡𝐟𝐨𝐫𝐝 form: “If he works hard and invests every day, with the right focus and if the team around him supplies and helps him with movement, then it will come and Rashford is a player who's capable of scoring a goal in every game. When he's coming in the right spots, he will score."
| 𝐌𝐚𝐫𝐜𝐮𝐬 𝐓𝐡𝐮𝐫𝐚𝐦 was available on a free transfer this summer and was considered by Manchester United - but they decided against signing him.
“On the loss to 𝐂𝐫𝐲𝐬𝐭𝐚𝐥 𝐏𝐚𝐥𝐚𝐜𝐞? We are disappointed about the result. You have to analyse the game, see the problems and move forward.”
𝐃𝐚𝐯𝐢𝐝 𝐃𝐞 𝐆𝐞𝐚 on 𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦