kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,919
- 10,466
Dogo nawe usijikute mchambuzi kiivo. Man u inashida sawa ila hata wewe ni mpiga zumari huna uchambuzi wowote hilo nilithibitisha pale Man u wanaposhinda huwa unajizima data kabisa hata kucoment humu huwa hutokei thats not sportsmanship.Endelea na ubishi ila ukweli unaonekana 7hag Ni dhaifu au uwezo mdogo maeneo yafuatayo ambayo kocha hata wa wolves anatakiwa kuwa nayo
Ten hag Ni dhaifu kwenye kufundisha buildup kutoka kwa kipa kwenda eneo la kiungo, hapa man u ukiwa press vzr wanachanganyikiwa , hili eneo makocha wengi wanaliweza hata lampard ,Potter wanaliweza ,Buildup zinatofautiana zipo zile Za kiwango Cha juu Kama za Arsenal, Brighton,mancity , Liverpool ,Chelsea
Hili eneo 7hag Ni dhaifu , Buildup yake Ni yakawaida tu
Pressing mpira ukifika mbele ,Pressing zinazofanywa na timu kubwa Ni za kiwango Cha juu, Ten hag hapa amefeli , wachezaji wa man u hawawez kabisa ku press
Talent ID,Ten hag ana poor talent ID, hajui kutumia profile za wachezaji kupata ubora , nakupa mfano Pep alimuangalia John Stones ambaye Ni CB, akagundua ana profile za kuwa inverted DM, ikamsaidia kupata matokeo , alimuangalia Walker Kama RB akagundua hafai kuwa inverted DM,
Sasa 7hag mechi ikiwa ngumu utamkuta Bruno Ni CB, amrabat anakuwa inverted DM kutokea LB , je Wana profile hizo
Kuinstall playing style
7hag hawezi na ameshindwa kuinstall playing style sababu Kama huwez kutambua profile za wachezaji hutaweza kuweka playing style ya kueleweka ,unajua kwa nini
Profile za wachezaj ndio huamua mfumo gani utumike,Thomas Tuchel alipofika Chelsea alitumia back 4 akala vipigo ,akawangalia wachezaji waliopo akagundua profile zao ni back 3 , timu ikatembea ,the same to Antonio Conte .
Hiko kitu maisha huwezi kukiona kwa 7hag
Mwaka Jana nilisema anapata matokeo kwa sababu kuu mbili ,zikiondoka hizo mtaona rangi yake halisi sikueleweka
Sababu zenyewe Ni
1.Rashford alikuwa anaingia kwenye form au Peak yake ya football hivo ulikuwa wakati mzuri Sana wa 7hag kujificha humo
2.Degea Ni best shot stopper ,aliiokoa Sana manjesta na vipigo ,niliwahi kuweka list ya mechi takribani 10 ambazo Degea aliirudisha timu mchezoni na Rashford akamaliza mechi .
But nilitarajia Rashford atarud kwenye Default settings,niliposikia Degea anaondoka kusema ukweli nilifurahi maana huyu jamaa manjesta ilikuwa inaweza kupotea kabisa,Lakini akaibakisha mchezoni
Moja ya mechi ambayo nilithibitisha Ten hag Ni kocha wa kawaida Ni vs Arsenal pale OT mnashinda 3-1
Ni mechi ambayo nilitoka na jibu moja Ten hag Ni kocha wa kawaida mwenye uwezo mdogo anayetembea na Form ya Rashford na saves za Degea
Zaidi ni mpiga kelele wa Arsenal na hater wa Man U kwa upande huo naweza kukuelewa.
Ten hag Ni dhaifu kwenye kufundisha buildup kutoka kwa kipa kwenda eneo la kiungo, hapa man u ukiwa press vzr wanachanganyikiwa , hili eneo makocha wengi wanaliweza hata lampard ,Potter wanaliweza ,Buildup zinatofautiana zipo zile Za kiwango Cha juu Kama za Arsenal, Brighton,mancity , Liverpool ,Chelsea