Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20230903-232452_WhatsAppBusiness.jpg
 
Hua napenda mkipata matumaini n then those weak hopes get crushed.

Pumbavu
Kuna shabiki wa Man U alikuwa anatusumbua wiki ilopita kule kwny jukwaa letu tulivo draw.....nikakwambia natafuta wiki watakayokuwa wanamtukana bwana Rashid Makame....kumbe hyo wiki haikuwa mbali....ni wiki hii
 
Kuna shabiki wa Man U alikuwa anatusumbua wiki ilopita kule kwny jukwaa letu tulivo draw.....nikakwambia natafuta wiki watakayokuwa wanamtukana bwana Rashid Makame....kumbe hyo wiki haikuwa mbali....ni wiki hii
Mm niliwaambia wanapata wapi nguvu yakuja jukwaa la Arsenal wakati hawana kocha
 
TRIP SHAMBA TRIP GEREJI

Unawapa credit kubwa sana Palace jinsi walivyokuwa wabapambana kupata ambacho walikuwa wamekifuata pale Old Trafford

1: Zuia kwa idadi kubwa ya wachezaji bila mpira katika 5-4-1

2: Achana na kuwa press Man United , bali mpira ukipotea rudi nyuma na funga space katikati ya uwanja waache pembeni wapige krosi

3: Ukipata mali hakuna kubutua , unawatumia Mateta kukaa nao , Ayew kutembea nao pembeni na Eze kutembea nao nyuma ya kiungo cha United

4: Mwisho Sam Johnstone fanya kazi yako golini . Easy point tatu wanarudi nazo London ( Nyie bakini kushinda mechi ya Carabao Cup )

Man United sijui unaanzia wapi ?

1: Chaos football . Hakuna utulivu , kila kitu kinafanywa haraka haraka .

2: Decision making : Sehemu ya kucheza mpira rahisi , wanaufanya mgumu . Pasi rahisi , inaongezewa ugumu

3: Casemiro , Amrabat zinachezwa rafu ambazo hazina ulazima kabisa kuwapa faida Palace pale ambapo nawataka kupumua .

NOTE

1: Kwani United wanacheza soka la namna gani ?? ETH anahitaji kujibu hili pia ( ni muda wa kutoka kwenye kichaka cha Glazers , inajulikana tatizo sugu lakini na yeye ana mzigo wake wa lawama .

2: Lile goli la Andersen utasema kafunga Zidane

3: Ila Rashford ?

4: Kafundishwa kwenye academy ya United , katikati ya wiki kapigwa chuma 3 leo kasema hampati kitu . Saves mbili nzuri ( Sam Johnstone )

5: Mechi 7 za EPL na tayari United kafungwa 4



#Ambangile
 
TRIP SHAMBA TRIP GEREJI

Unawapa credit kubwa sana Palace jinsi walivyokuwa wabapambana kupata ambacho walikuwa wamekifuata pale Old Trafford

1: Zuia kwa idadi kubwa ya wachezaji bila mpira katika 5-4-1

2: Achana na kuwa press Man United , bali mpira ukipotea rudi nyuma na funga space katikati ya uwanja waache pembeni wapige krosi

3: Ukipata mali hakuna kubutua , unawatumia Mateta kukaa nao , Ayew kutembea nao pembeni na Eze kutembea nao nyuma ya kiungo cha United

4: Mwisho Sam Johnstone fanya kazi yako golini . Easy point tatu wanarudi nazo London ( Nyie bakini kushinda mechi ya Carabao Cup )

Man United sijui unaanzia wapi ?

1: Chaos football . Hakuna utulivu , kila kitu kinafanywa haraka haraka .

2: Decision making : Sehemu ya kucheza mpira rahisi , wanaufanya mgumu . Pasi rahisi , inaongezewa ugumu

3: Casemiro , Amrabat zinachezwa rafu ambazo hazina ulazima kabisa kuwapa faida Palace pale ambapo nawataka kupumua .

NOTE

1: Kwani United wanacheza soka la namna gani ?? ETH anahitaji kujibu hili pia ( ni muda wa kutoka kwenye kichaka cha Glazers , inajulikana tatizo sugu lakini na yeye ana mzigo wake wa lawama .

2: Lile goli la Andersen utasema kafunga Zidane

3: Ila Rashford ?

4: Kafundishwa kwenye academy ya United , katikati ya wiki kapigwa chuma 3 leo kasema hampati kitu . Saves mbili nzuri ( Sam Johnstone )

5: Mechi 7 za EPL na tayari United kafungwa 4



#Ambangile
Umeona hapo Ambangile anahoji uwezo wa 7hag

Alikuwa mbishi Sana ,nikamuelekeza had akaelewa 7hag Ni kocha wa kawaida Sana

Thus why naitwa mchambuzi Nguli mwenye beji ya FIFA
 
Back
Top Bottom