mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 365
- 1,060
mnaonekana mpo serious kumbe ni kikundi cha wavaa vijora tu KENGE nyinyi,how come mnabandulia OT??KENGE sana nyinyi
Forgotten kumbuka niliyokuambia sasa unanielewa.Ana uwezo mkubwa wakati anapigwa back-to-back. HAHAHAH!
Kuna shabiki wa Man U alikuwa anatusumbua wiki ilopita kule kwny jukwaa letu tulivo draw.....nikakwambia natafuta wiki watakayokuwa wanamtukana bwana Rashid Makame....kumbe hyo wiki haikuwa mbali....ni wiki hiiHua napenda mkipata matumaini n then those weak hopes get crushed.
Pumbavu
Wanasema kocha Hana tatizoForgotten kumbuka niliyokuambia sasa unanielewa.
Tatizo la hii team ni kocha na tactics zake za kiseng
Clean what? Shit? Did u say shit? 😄😄😂😂😂😂Another day another clean sheet
GGmun![]()
Mm niliwaambia wanapata wapi nguvu yakuja jukwaa la Arsenal wakati hawana kochaKuna shabiki wa Man U alikuwa anatusumbua wiki ilopita kule kwny jukwaa letu tulivo draw.....nikakwambia natafuta wiki watakayokuwa wanamtukana bwana Rashid Makame....kumbe hyo wiki haikuwa mbali....ni wiki hii

Nyumbuzii

Unawapa credit kubwa sana Palace jinsi walivyokuwa wabapambana kupata ambacho walikuwa wamekifuata pale Old Trafford
Man United sijui unaanzia wapi ? 



Umeona hapo Ambangile anahoji uwezo wa 7hagTRIP SHAMBA TRIP GEREJI
Unawapa credit kubwa sana Palace jinsi walivyokuwa wabapambana kupata ambacho walikuwa wamekifuata pale Old Trafford
1: Zuia kwa idadi kubwa ya wachezaji bila mpira katika 5-4-1
2: Achana na kuwa press Man United , bali mpira ukipotea rudi nyuma na funga space katikati ya uwanja waache pembeni wapige krosi
3: Ukipata mali hakuna kubutua , unawatumia Mateta kukaa nao , Ayew kutembea nao pembeni na Eze kutembea nao nyuma ya kiungo cha United
4: Mwisho Sam Johnstone fanya kazi yako golini . Easy point tatu wanarudi nazo London ( Nyie bakini kushinda mechi ya Carabao Cup )
Man United sijui unaanzia wapi ?
1: Chaos football . Hakuna utulivu , kila kitu kinafanywa haraka haraka .
2: Decision making : Sehemu ya kucheza mpira rahisi , wanaufanya mgumu . Pasi rahisi , inaongezewa ugumu
3: Casemiro , Amrabat zinachezwa rafu ambazo hazina ulazima kabisa kuwapa faida Palace pale ambapo nawataka kupumua .
NOTE
1: Kwani United wanacheza soka la namna gani ?? ETH anahitaji kujibu hili pia ( ni muda wa kutoka kwenye kichaka cha Glazers , inajulikana tatizo sugu lakini na yeye ana mzigo wake wa lawama .
2: Lile goli la Andersen utasema kafunga Zidane
3: Ila Rashford ?
4: Kafundishwa kwenye academy ya United , katikati ya wiki kapigwa chuma 3 leo kasema hampati kitu . Saves mbili nzuri ( Sam Johnstone )
5: Mechi 7 za EPL na tayari United kafungwa 4
#Ambangile
Kaa kwa kutulia mna mdomo Sana nyieAisee![]()