Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Leo hataleta stats zake uchwara.Mambo wasiyo yapenda kusikia humu wakina mc hamiss
Leo hataleta stats zake uchwara.Mambo wasiyo yapenda kusikia humu wakina mc hamiss
Duh! Ghafla mshafikia huku😂😂😂🙌Tukitulia tunapata one strong line up ya ku compete epl run
Injury tu ndio tatizo
Uzuri tulitoa onyo mapema. Palace leo hawajatimiza maagizo kwasababu ni EFL hivyo basi watakapokuja OT Jumamosi ni lazima waache points 3.Timu yoyote ambayo bado haijacheza na United ijiandae kuachia points 3 na wale wanaosubiri mzunguko wa 2 wajiandae kukutana na dhahma, hasa wale Arsenyani.
AmraCase🥂Watu wa kazi chafu.
View attachment 2763576
Ten Hag: “Pressure is part of life at Man Utd for everyone involved in club”.





















