999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 906
- 1,680
Sasa manyumbu mambo ya inverted fullback mmeanza lini? Au ndo kusema siku hizi Kipara wenu anamtumia yule dokta WA arsenal kuchukua MBWINU za tactician Arteta
Huyu kocha atakuwa mpumbavu sana sijui anamugopa? Yaani Rashford na Martial watawafukuzisha makocha wengi sana.
Sasa hivi nikimuona Rashford kwenye kikosi nakasirika sana.
Mkuu nipe link niangalie hii game kama hautajali tafadhaliCasemiro to Saudi Arabia..
Here We Go.
Nilishawaambia tokea pre season, huyu jamaa kiwango chake ni cha kutia mashaka hususani timu inapokuwa na mpira.
Ana uwezo mkubwa wakati anapigwa back-to-back. HAHAHAH!Nitajie kocha gan hajawahi fanyiwa humiliation
Yaan mnamfatilia Brighton mwenye kikos hakizid hata €30m ,wakati 7hag ameunda kikos Cha zaidi ya €400m
Hamuoni aibu
Brighton hana Cha kupoteza
Di Zerbi ameshathibitisha ana uwezo mkubwa kuliko hata 7hag
Kiungo pundaAmrabatt amezoea soka la kutumia nguvu kule serieA. Anatumia nguvu kubwa kuliko akili...
Kocha gan mkubwa unayemjua hajawahi kupigwa back to backAna uwezo mkubwa wakati anapigwa back-to-back. HAHAHAH!
Palace Leo Ni washinde au sare
Manjesta hamna uwezo wa kushinda Kenge nyie









