Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nitajie kocha gan hajawahi fanyiwa humiliation

Yaan mnamfatilia Brighton mwenye kikos hakizid hata €30m ,wakati 7hag ameunda kikos Cha zaidi ya €400m

Hamuoni aibu

Brighton hana Cha kupoteza

Di Zerbi ameshathibitisha ana uwezo mkubwa kuliko hata 7hag
Ana uwezo mkubwa wakati anapigwa back-to-back. HAHAHAH!
 
Ana uwezo mkubwa wakati anapigwa back-to-back. HAHAHAH!
Kocha gan mkubwa unayemjua hajawahi kupigwa back to back

Hii haiondoi ukweli mna kocha mwenye uwezo mdogo

Hata hili nalo linataka mjadala aisee
 
COME OUTSIDE, Mason Mount and Mykhaylo Mudryk!
20230930_182829.jpg
 
Kuanzia sasa siwezi fuatilia mpira wa utd nadhani Glazer sio tatizo, tatizo ni makocha wajinga, huwezi mpanga mchezaji mchoyo kama Rashford mechi wakati hakupi matokeo unawaacha vijana wenye uwezo nje.
 
Back
Top Bottom