Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,291
- 10,063
Beki la dunia limekuwa Kocha, au timu ni yake na hatujui?
Toa Rashord hapo weka Garnacho Rashford mmoja anaweza fanya timu nzima ionekane takataka leo hakuwepo timu imetumia chances vizuri.ONANA
SHAW
MARTINEZ
VARANE
AWB
AMRABAT
CASEMIRO
MOUNT
RASHFORD
HØJLUND
FERNANDES
Natamani hii siku ifike, line-up kama hiyo kuna wapuuzi wengi tutapiga mkono kama siyo wiki.
Buda huwa uchoki kutuma aya
Wanangu mi tu ningewaambia kuwa tusidanganyike na kaushindi ka jana,
Ten hag ni mmbovu.
Crystal palace ni wabovu ndio maana tuli dominate
Na walikuwa wanakabia nyuma wa mstari wa kati kati.
#TENHAGOUT
#GLAZERSOUT
Na wewe mkandiaji wa arsenal au?Mbona kila jukwaa lina mtu anayehabarisha na hujawauliza kama hawachoki?
Ntyga anafanya kazi nzuri
Man U: NtYga
Arsenal: Hamis77
Chelsea: Lembu
Liverpool: Captain marvelous
Man City : Pain killer
That's spirit 🔥Buda huwa uchoki kutuma aya
Leo tumepiga pira la kidachi "total football" huwezi kuelewa striker wala beki ni naniwatu wanatembea uwanja mzima.
Amrabat ana-bully tu kale katoto. Dalot na Pellistri wanatembeza visambusa tu.
Hii ndiyo maana ya team-play sasa wakiingia wale walevi wakina Rashford matusi yataanza.


Mechi inayofata Rashidi na Eriksen wanaanza kama kawa,𝐍𝐢𝐳𝐨𝐞𝐞 𝐭𝐮 𝐌𝐊𝐔𝐔.Buda huwa uchoki kutuma aya

Steve Bruce: “You can’t go on social media and start 𝐜𝐫𝐢𝐭𝐢𝐜𝐢𝐬𝐢𝐧𝐠 the coach, at the end of the day he [Ten Hag] is 𝐓𝐡𝐞 𝐁𝐨𝐬𝐬 .”






Antony is returning to England as he faces police in the coming days to defend himself against allegations made about him.















| Erik ten Hag: "Garnacho? It's completely normal for a player of his age to have a lot of room for improvement. Everyone loves him, the fans love him, the team loves him, I love him, but we also have to be demanding with him and push him.'






Mechi ya jana umeangalia? Højlund kaingia muda watu wamechoka na Palace wakapaki basi. Wachezaji wetu walikuwa wanapiga pasi tu bila threat yoyote. Tena Højlund alifanya vizuri pale mbele kwa dk chache tu alizocheza.Huyu Hojlund ilikua ni gambling na tumepigwa
Heri wamrudishe rashidi namba9 huyu apelekwe team B huko ya vijana akajaribu kukuza uwezo wake
Kuanzia aanze kucheza sioni madhara yake kama namba9 kiukweli hata nafasi anazopata nyingi anaishia kushika kichwaMechi ya jana umeangalia? Højlund kaingia muda watu wamechoka na Palace wakapaki basi. Wachezaji wetu walikuwa wanapiga pasi tu bila threat yoyote. Tena Højlund alifanya vizuri pale mbele kwa dk chache tu alizocheza.
Angalia hizi stats za PL.
View attachment 2764020