Kocha wa kawaida, unamuondoa Erik Baily unamrudisha Evans , halafu unalalamikia uongoziImagine una rudisha John Evans![]()
ni papatu papatu iwe Timu ndogo iwe kubwa style hiyo hiyo.Mimi ni Shabiki wa Liverpool Mzee, huku nakujaga Kutoa Mawazo tu na Kuwacheka Man U,Nisikilize Mimi kocha Ni uwezo mdogo
Mtaendelea kujificha kwenye kichaka Cha Grazzer family Hadi lini
Manyumbu bana
Migomo fc
Unyanyasaji fc
![]()

ETH is cooking, OGS na JOSE tuliwaelewa mwanzoni then mwishoni wakatuchanganya. ETH mwanzoni anatuchaganya, tutaelewa baadae



Leo tunashinda! Nashindwa kuelewa kwanini watu wana wasiwasi.
Tusiposhinda na-deactivate account.





Huwa tunakutana wachambuzi nguli watupu kina Alex Goldberg, N.kNawakaribisha kwenye hii Space kujadili game ya Manure tuna Wataalam mbalimbali hapa utafurahi mwenyewe.View attachment 2751551
Usajili wa Evans siyo wa kocha. EtH alishawapa majina viongozi wakashindwa kuleta RCB anayemtaka na Maguire ikashindikana kuondoka.Kocha wa kawaida, unamuondoa Erik Baily unamrudisha Evans , halafu unalalamikia uongozi