Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jambo kubwa unalosahau ni kwamba EtH ameajiriwa. Usitegemee ipo siku utamsikia akiongea vibaya kuhusu waajiri wake.

It means he is Glazer's puppet, anafanya vitu ambavyo ana agizwa na Glazers ambao ni mabosi wake, kama tuna amini Glazers hawawezi kutufikisha nchi ya ahadi so is SevenHag

Hata Solskjaer aliitwa "Glazer's puppet" ila alipoondoka aliongea ukweli kuhusu Glazers.

Sio aliitwa, "Alikua" ndio maana hakuna la maana alilolifanya kwenye carrier yake ya ukocha zaidi ya kuishusha daraja Cardiff

Weghorst siyo bora kuliko Ronaldo. Baada ya EtH na Ronaldo kushindwa kuelewana Ronaldo ndiyo alienda kufanya interview ya kuwaongelea Glazers vibaya pamoja na kocha.


Sehemu kubwa ya interview yake aliwaongelea vibaya wamiliki / waajiri wake. EtH hana nguvu ya kumfukuza mchezaji yoyote yule mwenye mkataba na United. Ronaldo alikubali kuvunja mkataba baada ya kukubaliana na uongozi wa timu.

Weghorst alikuja kwasababu Ronaldo alishaondoka na kocha alitaka squad depth. Tatizo lilianzia kwa Ronaldo mwenyewe.

Ronaldo ali sacrifice kazi yake sababu ya utd, kitu ambacho SevenHag kashindwa, Aliongea ukweli kuhusu uendeshwaji wa club, miundo mbinu iliyo kuwepo enzi za kinjekitile ndio bado ipo hadi leo, pesa zinaenda wapi? Hapo ndio ilikua golden chance kwa wachezaji na staff wengine kumuunga mkono Ronaldo, Glazers hawawezi kufukuza wachezaji wote na staff at once, mikojo inavuja vyooni ovyo, mashabiki wanaoenda uwanjani wana lalamika lakin kocha anakuambia ana iman na wamiliki, tutakuja kushtuka OT yamebaki magofu.
 
It means he is Glazer's puppet, anafanya vitu ambavyo ana agizwa na Glazers ambao ni mabosi wake, kama tuna amini Glazers hawawezi kutufikisha nchi ya ahadi so is SevenHag



Sio aliitwa, "Alikua" ndio maana hakuna la maana alilolifanya kwenye carrier yake ya ukocha zaidi ya kuishusha daraja Cardiff



Ronaldo ali sacrifice kazi yake sababu ya utd, kitu ambacho SevenHag kashindwa, Aliongea ukweli kuhusu uendeshwaji wa club, miundo mbinu iliyo kuwepo enzi za kinjekitile ndio bado ipo hadi leo, pesa zinaenda wapi? Hapo ndio ilikua golden chance kwa wachezaji na staff wengine kumuunga mkono Ronaldo, Glazers hawawezi kufukuza wachezaji wote na staff at once, mikojo inavuja vyooni ovyo, mashabiki wanaoenda uwanjani wana lalamika lakin kocha anakuambia ana iman na wamiliki, tutakuja kushtuka OT yamebaki magofu.
Tatizo unaongelea mambo bila reasoning. EtH akiamua kuwa against Glazers itabidi afukuzwe.

Glazers ndiyo wamiliki wa timu. Wana haki ya kuuza au kutouza timu kwa hiari yao wenyewe.

Let say EtH angekuwa pamoja na Ronaldo kuwasema Glazers means na yeye angekuwa ameshafukuzwa.

Kwa maana hiyo kwa ule muda toka Ronaldo kaondoka angekuja kocha mpya ambaye bado angekuwa chini ya Glazers maana timu bado haijauzwa mpaka leo. Kwahiyo kocha mpya naye unategemea asingewasikiliza waajiri wake ili afukuzwe? Au angekaa kimya na huyo ungemuita "Glazers puppet" siyo?

Unaposema wachezaji wangekuwa na nia moja kama Ronaldo unajua namna mikataba inavyofanya kazi?

Breach of contract ndiyo kitu kilifanya Ronaldo aonyeshwe mlango wa kutokea.

Ni rahisi sana kumuita kocha "Glazer's puppet" au kuwa against Glazers kwasababu wewe au familia yako haitakuwa affected EtH akifukuzwa kazi.
 
Lina matusi kushinda jukwaa lenu la mid table team kutoka London
View attachment 2701226View attachment 2701227
Mkuu majukwaa yote Yana watu wa aina tofauti kikubwa nikuishi na watu wa kila Aina kila tabia

Mm huwa nashangaa mnavyodai sijui jukwaa fulan Lina matusi , hapana mnatakiwa muelewe kila penye watu Kuna tabia tofauti

Hivo ni swala la kuishi na watu wote kwa Akili ,
 
It means he is Glazer's puppet, anafanya vitu ambavyo ana agizwa na Glazers ambao ni mabosi wake, kama tuna amini Glazers hawawezi kutufikisha nchi ya ahadi so is SevenHag



Sio aliitwa, "Alikua" ndio maana hakuna la maana alilolifanya kwenye carrier yake ya ukocha zaidi ya kuishusha daraja Cardiff



Ronaldo ali sacrifice kazi yake sababu ya utd, kitu ambacho SevenHag kashindwa, Aliongea ukweli kuhusu uendeshwaji wa club, miundo mbinu iliyo kuwepo enzi za kinjekitile ndio bado ipo hadi leo, pesa zinaenda wapi? Hapo ndio ilikua golden chance kwa wachezaji na staff wengine kumuunga mkono Ronaldo, Glazers hawawezi kufukuza wachezaji wote na staff at once, mikojo inavuja vyooni ovyo, mashabiki wanaoenda uwanjani wana lalamika lakin kocha anakuambia ana iman na wamiliki, tutakuja kushtuka OT yamebaki magofu.
Una hoja ila tambua Kocha hawez toka hadharan aseme Wamiliki mapungufu Yao ,asubuhi tu atafukuzwa

Raph Rangnik si alipewa kibarua Cha ushauri sijui ,akawachana live mapungufu Yao Graza , Nini kilimtokea ? Hiyo nafasi aliondolewa mapema tu
 
Tatizo unaongelea mambo bila reasoning. EtH akiamua kuwa against Glazers itabidi afukuzwe.

Glazers ndiyo wamiliki wa timu. Wana haki ya kuuza au kutouza timu kwa hiari yao wenyewe.

Let say EtH angekuwa pamoja na Ronaldo kuwasema Glazers means na yeye angekuwa ameshafukuzwa.

Kwa maana hiyo kwa ule muda toka Ronaldo kaondoka angekuja kocha mpya ambaye bado angekuwa chini ya Glazers maana timu bado haijauzwa mpaka leo. Kwahiyo kocha mpya naye unategemea asingewasikiliza waajiri wake ili afukuzwe? Au angekaa kimya na huyo ungemuita "Glazers puppet" siyo?

Unaposema wachezaji wangekuwa na nia moja kama Ronaldo unajua namna mikataba inavyofanya kazi?

Breach of contract ndiyo kitu kilifanya Ronaldo aonyeshwe mlango wa kutokea.

Ni rahisi sana kumuita kocha "Glazer's puppet" au kuwa against Glazers kwasababu wewe au familia yako haitakuwa affected EtH akifukuzwa kazi.
Shida yenu hamtaki kukubali Kuna fans ambao ni fanatic , na wenye mitazamo Kama huyu jamaa wapo kote ,

Kule Arsenal jukwaan mashabiki fanatic kwa kocha nikipambana nao , huwa mnakuja hasa wapinzani mnaungana na mashabiki wenye mitazamo Kama ya huyu jamaa mnasema tunafanya udikteta kitu ambacho siokweli

Kuna vitu lazima mtu ufanye reasoning

Cha muhimu ishini na mashabiki wa kila Aina kwa Akili

Kuna wengine wanataka mafanikio ya gafla Kuna wanaoamin katika mchakato

Kuna wao kazi Yao ni kupinga tu na wanatokea timu ikifanya ovyo

Timu ikifanya vzr huwez waona wakitoa credit kwa kocha , wachezaji na uongozi
 
Sasa hapo ameandika nini cha maana?

Ninapokubaliana naye ni kwenye kufungwa 7-0 na rivals siyo jambo la kawaida. Ila na wewe unaamini hiyo ni sababu ya kumfuza kocha kweli?
Kwenye kufanya revolution vipigo vitakatifu haviepukiki ,klopp mwenyewe kashachezea vipondo haswa wakat anafiki Liverpool

Tatizo mashabiki wanaoamini katika mchakato ili timu isimame ni wachache ,wengi wanataka zima Moto na Hawa ni wengi
 
Ndio maana nikasema huna akili


Sizungumzii mpira wa kucheza hapa kwa yeye kama huko nyuma nazungumzia management na reality mfano hao akina Neville walikuwa wanajua wa kucheza tu kufundisha ziro wamechapika sana kama makocha huku wao full kuwaponda makocha wengine na kazi hawaiwezi
Nafuu ya Rio anatuliaga hawezi kujifanya mjuaji kuliko kocha yoyote.

Point ipo hapa mpe timu hata huyo Cole kama hafukuzwi ndani ya game 10 tu.


Usipoelewa rudi utotoni kanyonye

Umekandwa na maji ya baridi tulia acha kuandika magazeti nobody has time to read that shite.
 
Umekandwa na maji ya baridi tulia acha kuandika magazeti nobody has time to read that shite.
Hujalazimishwa kusoma ni kwa sababu limekuchoma karoho kanasuta piece of trash tena non recyclable
 
Flano upo wapi siku 2 Sasa , umepatwa na Nini ?
Unataka kumaanisha kipigo kutoka kwa mabingwa wa Uefa mara 14 ndio kimenipeleka mafichoni?
Mimi nimejaa tele humu kazi yangu ni kugonga Like tu, mkono umekua mzito kweli kuandika, yaani kila nikitaka kuandika naukumbuka ule mgoli wa Bellingham na ule mgoli wa Tiktak tahamaki nishasahau hata ninachotaka kuandika.
 
Unataka kumaanisha kipigo kutoka kwa mabingwa wa Uefa mara 14 ndio kimenipeleka mafichoni?
Mimi nimejaa tele humu kazi yangu ni kugonga Like tu, mkono umekua mzito kweli kuandika, yaani kila nikitaka kuandika naulumbuka ule mgoli wa Bellingham na ule mgoli wa Tiktak tahamaki nishasahau hata ninachotaka kuandika.
Wala simaanishi sababu mlifungwa ,mm najua hizi pre season tu , halafu mbona mlicheza vzr hasa uwepo wa onana ,mmeanza nitisha kidogo kuna mech atawasaidia kuvuna point maana Kuna pass atapiga zitawasaidia kufanya kaunta mkapata goli .

Ila sio kawaida yako kuwa kimya hivo ,unaweza kuta kumbe umetekwa au umepata matatizo
 
Wala simaanishi sababu mlifungwa ,mm najua hizi pre season tu , halafu mbona mlicheza vzr hasa uwepo wa onana ,mmeanza nitisha kidogo kuna mech atawasaidia kuvuna point maana Kuna pass atapiga zitawasaidia kufanya kaunta mkapata goli .

Ila sio kawaida yako kuwa kimya hivo ,unaweza kuta kumbe umetekwa au umepata matatizo
kila nikitaka kuja kuwapiga madongo kwenye jukwaa lenu nikifikiria zile goli 5 mlizompiga Barca naghairi, ila sio mbaya nachungulia kila mara namuona.

Mkohoti anawapigilia misumari ya vichwa mi natabasamu tu na kuwatembezea Likes za kutosha.

Onana ni kipa la boli lile, ndio kipa pekee duniani anaedaka na kucheza midfield kwa wakati mmoja, kipa linaloongoza duniani kwa pressing na overloading.
 
kila nikitaka kuja kuwapiga madongo kwenye jukwaa lenu nikifikiria zile goli 5 mlizompiga Barca naghairi, ila sio mbaya nachungulia kila mara namuona...
Mimi ile mech nimeangalia jamaa amewaongezea kitu Cha tofauti

Kuna transition zile huwa mnafanya kuanzia kwa Bruno kwenda kwa Rashford , kupitia pass za onana na anavyosogea Sana juu itakuwa rahisi Sana mipira kufika kwa Bruno au kiungo mwingine na mkafanya shambulizi la hatari hivo Kuna point mtaongeza

Onana anacheza Kama beki kiungo , hapo kaanza kunitisha ,sijui kwanini Chelsea hawakuingilia hili dili mumkose

Sasa hivi hata magwaya mtamuona wa maana
 
It means he is Glazer's puppet, anafanya vitu ambavyo ana agizwa na Glazers ambao ni mabosi wake, kama tuna amini Glazers hawawezi kutufikisha nchi ya ahadi so is SevenHa...
Kuna point naiona katika hoja yako. Ndio maana hawataki kuschia timu. "HIV anatokea muarabu yutayari kutoa 6B lakini wanajivuta."

Glazers wanapoona timu inafsnya vzr na kelele za #glazerout kupungua nao wanajisahaulisha kuachia club.

Mwalimu kama mwalimu Hana say juu ya mmiliki yyeye atafanyakaz yake. Moja ya kasoro alizo address wkt anakabidhiwa umeneja ni hizo za wakina Ronaldo, na watu mishahara mikuubwa na wengine kuona wao hawawajibiki.

Utakumbuka man united fan waliwalalamikia wachezaji kitokujituma uwanjani.

"Kabla ten hug hajaichukua club alissoma mazingira tangia

Ferguson
na baada ya Moyen,van gard, morinho, Socha kwamba kwann hakukaa, kiukweli glazers walikiwa wakitoa Hela tatizo ni mhuni edu hood.

Ukiorodhesha wachezaji walionunuliwa ni wengi.

Mtaje.
Pogba alirejea huyu.
Kina Maguire Hawa.
Yaani ni mlolongo.
 
Kwa usajili unavyosuasua na aina ya ya wachezaji tulionao. Tutegemee kuwa top four contenders na siyo title contenders,ukilinganisha na namna Arsenal na Man City walivyokuwa Bora msimu ulopita na jitihada za kuziba viraka vyao zinavyofanyika. Mana wachezaji ni wale wale na walikuwa na mwalimu yule yule,so sitegemei mabadiliko makubwa kiuchezaji
Man city wameziba kiraka kipi ?
 
Narudi palepale kuwa hamna akili


Martial yupo sokoni pia hayupo kwenye plan za kocha ndio maana anafukuziwa Hojlund,pia Scott naye anauzwa na West Ham wanamtaka japo wanashindwa kufikia makubaliano ya dau.

So kocha kutokuwa na wachezaji bora ndio puppet wa wamiliki dah sijui umeishia la ngapi aisee mbona una akili za kitoto hivi kama jamaa yako.

Kocha kuzingua hayo ni matatizo yake msianze kumpa connection na Glazers ambao hata vurugu za mashabiki zimeshindwa kuwaondoa yeye ni nani awe against nao wakati ndio waliomuajiri pamoja na wachezaji wote.


Mashabikiwa Bongo kila kitu kujifanya wachambuzi wakati hata danadana kupiga ziro,trash
jamaa anajikuta nani sijui uchambuzi anaujua yeye usajili yeye habari za ten hag na glazers zote anajibia yeye haya bwana richard arnold wa bongo
 
Back
Top Bottom