xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Jambo kubwa unalosahau ni kwamba EtH ameajiriwa. Usitegemee ipo siku utamsikia akiongea vibaya kuhusu waajiri wake.
It means he is Glazer's puppet, anafanya vitu ambavyo ana agizwa na Glazers ambao ni mabosi wake, kama tuna amini Glazers hawawezi kutufikisha nchi ya ahadi so is SevenHag
Hata Solskjaer aliitwa "Glazer's puppet" ila alipoondoka aliongea ukweli kuhusu Glazers.
Sio aliitwa, "Alikua" ndio maana hakuna la maana alilolifanya kwenye carrier yake ya ukocha zaidi ya kuishusha daraja Cardiff
Weghorst siyo bora kuliko Ronaldo. Baada ya EtH na Ronaldo kushindwa kuelewana Ronaldo ndiyo alienda kufanya interview ya kuwaongelea Glazers vibaya pamoja na kocha.
Sehemu kubwa ya interview yake aliwaongelea vibaya wamiliki / waajiri wake. EtH hana nguvu ya kumfukuza mchezaji yoyote yule mwenye mkataba na United. Ronaldo alikubali kuvunja mkataba baada ya kukubaliana na uongozi wa timu.
Weghorst alikuja kwasababu Ronaldo alishaondoka na kocha alitaka squad depth. Tatizo lilianzia kwa Ronaldo mwenyewe.
Ronaldo ali sacrifice kazi yake sababu ya utd, kitu ambacho SevenHag kashindwa, Aliongea ukweli kuhusu uendeshwaji wa club, miundo mbinu iliyo kuwepo enzi za kinjekitile ndio bado ipo hadi leo, pesa zinaenda wapi? Hapo ndio ilikua golden chance kwa wachezaji na staff wengine kumuunga mkono Ronaldo, Glazers hawawezi kufukuza wachezaji wote na staff at once, mikojo inavuja vyooni ovyo, mashabiki wanaoenda uwanjani wana lalamika lakin kocha anakuambia ana iman na wamiliki, tutakuja kushtuka OT yamebaki magofu.




huyo hata bure wangemuachia tu