hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,287
- 26,693
Sasa hivi a lots of fans ndio wanaanza kuhoji uwezo wa 7 hagHapa wazee tuongee lugha moja. Hatuna kocha haiwezekani kila timu tukicheza nayo tunakuwa sisi ndio hatuna mipango.
ETH anaweza kuwa kocha mzuri lakini hafiki viwango vya EPL.
Mech na Arsenal anasema manjesta walicheza very well

Huyu kocha uwezo mdogo
Ole gunar anamzidi mbali Ni vile alisalitiwa tu
kikosi Cha watu wazima kinashuka leo kutoa burudani kabambe Sana majirani wote karibuni sana mpate burudani.
11.00 jioni
Old Trafford

| Erik ten Hag is under increasing pressure at Manchester United.
