Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Full kichefuchefu..

EtH kashatumia hela kibao tu lakini timu bado ipo hoi bin taaban..tunawalaumu sana wamiliki ila benchi la ufundi na viongozi wa juu wana underperform sana..hili ni lazima tulikubali.

Kiungo chetu kimepoteana msimu huu wote..Defence Martinez anatuangusha kuliko kawaida..kila sehemu pancha.

Hii tumeipenda wenyewe..ni business as usual, kupambania top four kwa jasho na damu.

Brighton wametufundisha soka leo..wapo clinical kupita maelezo pia.
 
Mahojihano ya De Zerbi baada ya mechi inaonesha jinsi gani Kocha wa MUFC. ..Erik 7 hag ni mwepesi Sana kimbinu


Anasema alijiandaa kucheza na manjesta ya mfumo iliyocheza na Arsenal , akakuta 7hag kaja na 4-1-2-1-2 , akapoteana kwa 15-20 minutes, akamsoma k game plan yake, kaielewa, kabadirisha mbinu, kampika, 7hag anaangalia kapagawa Hadi anamuweka Bruno RCB
 
Ni mwendo wa 3G tu mpaka Glazers wauze timu, Mayai7 simamia hapohapo kama mashabiki tumeshindwa kufanya migomo kushinikiza timu iuzwe basi tumekuruhusu kocha wetu kutumia hio planB mpaka Mwarabu apewe timu.
Kwanza mpira haramu ni vile tu ibilisi ana nguvu ya ushawishiView attachment 2751407
Punguza kuja kwenye magroup ya Timu za Wanaume we Fala
 
FB_IMG_16948906687533012.jpg
 
Ukweli usemwe uongozi una shida, wamiliki shida na shida zaidi ni 10hag jamaa mweupe sana kimbinu Wala sio Siri hamna game plan sub anafanya za mazoea sio tactical yani anafanya sub kuongeza nguvu sio kwamba wanaenda kubadilisha kitu.

Kocha yuko na ego na hiyo ndo itamuondoa Manchester, ugomvi na wachezaji, anapanga position tofauti kina Bruno kocha maneno mengi kama hadija kopa ila kudeliver 0.

Kuna mda nilikua nafurahi zile pasi za Brighton zinavyopigwa ingawa roho inaumaa ila wanafurahisha kuangalia.
 
Misimu miwili kocha hata Hana playing style ni papatu papatu iwe Timu ndogo iwe kubwa style hiyo hiyo.
Tutalaumu glazzer lakini wale hawafundishi mpira Wana matatizo yao ila kocha nakosa Imani nae sasa hivi.
 
Nawakaribisha kwenye hii Space kujadili game ya Manure tuna Wataalam mbalimbali hapa utafurahi mwenyewe.
Screenshot_20230916-212644.jpg
 
Nisikilize Mimi kocha Ni uwezo mdogo

Mtaendelea kujificha kwenye kichaka Cha Grazzer family Hadi lini
Mimi ni Shabiki wa Liverpool Mzee, huku nakujaga Kutoa Mawazo tu na Kuwacheka Man U,

Ivi jamaa hat wew Fikiria Man utd wamebadilisha Makocha kibao Tangu Ferguson Kustaafu lakin hakun hat Mmoja aliyewasaidia Kushinda UEFA Na Premier League,

Kipindi hicho Ferguson Anastaafu Sisi liverpool Tulikuwa na Kocha wetu Rafael Benitez akafata Brendan Rodgers, na Sasa ivi Jurgen Klopp.

Kwa takwimu hizo kwahyo kwel tatizo la Man utd bado unaamin ni Kocha Tu ?? Yani inamaana Makocha zaidi ya Wanne wa Man utd wote walkuw na Matatizo ???
 
Back
Top Bottom