Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,304
- 46,777
Full kichefuchefu..
EtH kashatumia hela kibao tu lakini timu bado ipo hoi bin taaban..tunawalaumu sana wamiliki ila benchi la ufundi na viongozi wa juu wana underperform sana..hili ni lazima tulikubali.
Kiungo chetu kimepoteana msimu huu wote..Defence Martinez anatuangusha kuliko kawaida..kila sehemu pancha.
Hii tumeipenda wenyewe..ni business as usual, kupambania top four kwa jasho na damu.
Brighton wametufundisha soka leo..wapo clinical kupita maelezo pia.
EtH kashatumia hela kibao tu lakini timu bado ipo hoi bin taaban..tunawalaumu sana wamiliki ila benchi la ufundi na viongozi wa juu wana underperform sana..hili ni lazima tulikubali.
Kiungo chetu kimepoteana msimu huu wote..Defence Martinez anatuangusha kuliko kawaida..kila sehemu pancha.
Hii tumeipenda wenyewe..ni business as usual, kupambania top four kwa jasho na damu.
Brighton wametufundisha soka leo..wapo clinical kupita maelezo pia.




ni papatu papatu iwe Timu ndogo iwe kubwa style hiyo hiyo.