Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa wazee tuongee lugha moja. Hatuna kocha haiwezekani kila timu tukicheza nayo tunakuwa sisi ndio hatuna mipango.

ETH anaweza kuwa kocha mzuri lakini hafiki viwango vya EPL.
Sasa hivi a lots of fans ndio wanaanza kuhoji uwezo wa 7 hag

Mech na Arsenal anasema manjesta walicheza very well

Huyu kocha uwezo mdogo

Ole gunar anamzidi mbali Ni vile alisalitiwa tu
 
Mourinho ''I said nine or 10 months ago that after winning eight Championships, finishing second with United may have been my greatest achievement. Now people understand.''
20230916_200648.jpg
 
Ni siku nyingine tena ya kupata ngarambe Safi kikosi Cha watu wazima kinashuka leo kutoa burudani kabambe Sana majirani wote karibuni sana mpate burudani.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction

Manchester United 2 vs Brighton 1

11.00 jioni

Old Trafford

hawa watoto tutachapa Sana leo

Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa

Aaaah hakika kitawaramba View attachment 2750708
20230614_111437.jpg
 
Ni mwendo wa 3G tu mpaka Glazers wauze timu, Mayai7 simamia hapohapo kama mashabiki tumeshindwa kufanya migomo kushinikiza timu iuzwe basi tumekuruhusu kocha wetu kutumia hio planB mpaka Mwarabu apewe timu.
Kwanza mpira haramu ni vile tu ibilisi ana nguvu ya ushawishi
tapatalk_1472587482_335x459.jpg
 
Mourinho ''I said nine or 10 months ago that after winning eight Championships, finishing second with United may have been my greatest achievement. Now people understand.''
View attachment 2751382
Watu wanasema Man Utd haina wachezaji, ila ukikumbuka Mourinho alishinda Europa na Phil Jones, hutaamini.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ni mwendo wa 3G tu mpaka Glazers wauze timu, Mayai7 simamia hapohapo kama mashabiki tumeshindwa kufanya migomo kushinikiza timu iuzwe basi tumekuruhusu kocha wetu kutumia hio planB mpaka Mwarabu apewe timu.
Kwanza mpira haramu ni vile tu ibilisi ana nguvu ya ushawishiView attachment 2751407
Nipende kuwaambia tu ndg zng.. Mateso mnayopitia ndo kwnz yameanza.. Mtapitia heka heka had mjue ama kwl dunia duara na kila nyakat na watu wake.

Mliona liver alikaa almost 30 yrs hajui kombe la ligi likoje.. Mkadhan masihara ss nyie 10 tyr msifikir 30 haiwez fika kirahis kuwen makini sana.
 
Ukiangalia timu pinzani unaona wanampango wa goli ila sisi unaona kina Rashford wanakimbiq kimbia tu hawapo kwa ajili ya timu. Yaani ingekuwa enzi ya Sir Ferg Rasford angeshaozea makumbusho.
Rashford mbinafsi sana.
 

Attachments

  • 20230916_205253.jpg
    20230916_205253.jpg
    179.1 KB · Views: 3
  • 20230916_205256.jpg
    20230916_205256.jpg
    40.9 KB · Views: 3
Full kichefuchefu..

EtH kashatumia hela kibao tu lakini timu bado ipo hoi bin taaban..tunawalaumu sana wamiliki ila benchi la ufundi na viongozi wa juu wana underperform sana..hili ni lazima tulikubali.

Kiungo chetu kimepoteana msimu huu wote..Defence Martinez anatuangusha kuliko kawaida..kila sehemu pancha.

Hii tumeipenda wenyewe..ni business as usual, kupambania top four kwa jasho na damu.

Brighton wametufundisha soka leo..wapo clinical kupita maelezo pia.
 
Mahojihano ya De Zerbi baada ya mechi inaonesha jinsi gani Kocha wa MUFC. ..Erik 7 hag ni mwepesi Sana kimbinu


Anasema alijiandaa kucheza na manjesta ya mfumo iliyocheza na Arsenal , akakuta 7hag kaja na 4-1-2-1-2 , akapoteana kwa 15-20 minutes, akamsoma k game plan yake, kaielewa, kabadirisha mbinu, kampika, 7hag anaangalia kapagawa Hadi anamuweka Bruno RCB
 
Ni mwendo wa 3G tu mpaka Glazers wauze timu, Mayai7 simamia hapohapo kama mashabiki tumeshindwa kufanya migomo kushinikiza timu iuzwe basi tumekuruhusu kocha wetu kutumia hio planB mpaka Mwarabu apewe timu.
Kwanza mpira haramu ni vile tu ibilisi ana nguvu ya ushawishiView attachment 2751407
Punguza kuja kwenye magroup ya Timu za Wanaume we Fala
 
Back
Top Bottom