Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi ni Shabiki wa Liverpool Mzee, huku nakujaga Kutoa Mawazo tu na Kuwacheka Man U,

Ivi jamaa hat wew Fikiria Man utd wamebadilisha Makocha kibao Tangu Ferguson Kustaafu lakin hakun hat Mmoja aliyewasaidia Kushinda UEFA Na Premier League,

Kipindi hicho Ferguson Anastaafu Sisi liverpool Tulikuwa na Kocha wetu Rafael Benitez akafata Brendan Rodgers, na Sasa ivi Jurgen Klopp.

Kwa takwimu hizo kwahyo kwel tatizo la Man utd bado unaamin ni Kocha Tu ?? Yani inamaana Makocha zaidi ya Wanne wa Man utd wote walkuw na Matatizo ???
Kuna matatizo ya wamiliki ,Kama Liverpool ,lakin je Kocha anafanya sehemu yake

Nakupa mfano 7hag katumia £450m anasajili average players wengi huku wengi aliowakuta anaaminisha watu Ni average players na hawajitumi

Kamtumua Erick Baily kamsajili free agent Evans miaka 35

Katapanya €100m kwa Anthony , €70m kwa Casemiro ambaye tulisema humu hawez kutumika zaidi ya misimu miwili

Mpaka Sasa Hana playing style yakueleweka

Mwisho anasajili wachezaji tofauti na anachodai anataka ku impliment

Onana ni GK mzuri tena hayupo bahati mbaya kwenye nominees za ballon dor ,lakin Ni kwa timu based possession

7hag anacheza mpira wa janjajanja , like small team halafu una kipa based possession ambaye sio mzuri kwa shot stopping, unategemea Nini Kama sio dhahama

Haya ni Baadhi tu , Je wamiliki wanahusika vipi hapa

Kwa Pesa wanazotoa Grazzer Mimi kwenye timu yangu nawataka haraka Sana

Wamiliki wanaotoa £200m+ kwa dirisha
 
Kocha wao akili hana. Kuna siku alimuweka Maguire namba 9!
Kocha akishafikia hatua hii ni wakumtimua ,anakuwa hajui chakufanya

Di zerbi anasema dk 15-20 aliwasoma maana walikuja na mfumo mpya ,

Yaan Di zerbi ana dharau Sana ,yaan anamaanisha ametumia dk 15 tu kubadili mbinu ,

7 hag akakosa majibu ,means alikuja na plan moja ,ndio maana akapagawa had Bruno kuwa beki
 
Kwa yeyote atakayemvunjia heshima kocha wetu Eric ten hag nitapambana naye

Kuna vitoto humu vinamlaumu kocha kwa lipi?

Upande wa beki varane kaumia

Kiungo sufian amesajiliwa yupo na injury

Antony anakesi hayupo kwenye timu

Luke shaw kaumia
.........

Alafu wanatokea mashabiki wa manchester united wanamsema kocha hafai hivi mna akili nyie?

Mashabiki wa manchester united hatupo hivi
Tulimvumilia kocha mbovu Ole gunner tumepata bahati kocha amekuja anayejitambua vitoto humu vinaandika lugha za kejeli kwa kocha?

Kwangu mimi kocha mbovu kuliko wote aliyekuja kuharibu timu ni Ole gunner!

Amezalisha mitoto gaigoi km kina sancho, martial,bisaka,shaw ronaldo wote hawa walikuwa mizigo kwenye timu at least bisaka amejirekebisha


Unamlaumu kocha kwa kosa gani?

Kwa wachezaji aliowakuta Ten hag hata Pep gurdiola asingefanya kitu

Wachezaji ni overpaid then hawana mchango kwa timu (wenye mishahara ya kawaida ndio wanaisadia timu)

Onana
Antony
Hojlund
Malacia
Butcher
Casemiro

Hawa ni wachezaji waliosajiliwa na kocha na wamenyesho kitu

Vijana km gernacho na Facundo,mejbri bado hawana pumzi ya kucheza week in week out kwa intensity ya Epl ila watu wanasema Marcus akae benchi aanze gernacho! Hivi kweli ndugu zangu tunaangalia mpira?


Unamlaumu vipi kocha aliyekaribia kuchukua ubingwa msimu ulioisha?

Ni kumkosea adabu kumfananisha Eric na makocha wa timu ndogo km kina di zerbi


Mimi namuelewa sana kocha kwasasa amejikita kutafuta matokea uku akiingiza wachezaji anaowataka taratibu


Kumbukeni kloop alikaa misimu minne ndio akachua Epl tena kwa bahati bahati kutokana na corona na ni baada ya kusajili wachezaji zaidi ya 17


Yule bwana mdogo wa arsenal arteta anaenda msimu wa sita hana hata dalili ya kuchukua Epl na amesajili wachezaji 30

Manchester united amepoteza mechi tatu
Ila mechi ambayo amepoteza na nimeridhika ni hii ya brighton ile ya arsenal na Spurs walishinda kibahati bahati tu


Tumpe muda mwalimu, kufanya kazi na wajinga km kina marital,sancho, maguire inahitaji subra tumpe muda mwalimu naamini kabisa atatufikisha nchi ya ahadi

Mashabiki wengi tuliacha kuangalia mpira wakati wa morinyo na ole ila Eric anetirudisha mashabiki uwanjani tumpeni huyu ndugu ushirikiano


Km nimetumia lugha ya kuudhi mniwe radhi


Tusmtukane kocha sitaruhusu hili
 
Ukweli usemwe uongozi una shida, wamiliki shida na shida zaidi ni 10hag jamaa mweupe sana kimbinu Wala sio Siri hamna game plan sub anafanya za mazoea sio tactical yani anafanya sub kuongeza nguvu sio kwamba wanaenda kubadilisha kitu.

Kocha yuko na ego na hiyo ndo itamuondoa Manchester, ugomvi na wachezaji, anapanga position tofauti kina Bruno kocha maneno mengi kama hadija kopa ila kudeliver 0.

Kuna mda nilikua nafurahi zile pasi za Brighton zinavyopigwa ingawa roho inaumaa ila wanafurahisha kuangalia.
Huyu kocha wenu kwakua anajiona na yy anapara ngoto anajikuta Tactician Pep anaenda mbl zaid anawatupa wachezaj under the bus.

Huyo iyo dressing room ataipoteza kisa ujuaji wkt mwnyw mbinu zake bt hazija work out na wachezaj wake watamtupa uvunguni mwa treni la mwendokas atafunga yy virago kurud kwao.
 
Soma Press mbili hizi ,utajua Nani Tactician na Nani Tapeli
20230916_230409.jpg
20230916_230342.jpg
 
Kuchukua EPL sio kitu rahisi


Trace back kuanzia chelsea, manchester city na liverpool vikosi vyao vilivyochukua ubingwa ndani ya miaka kumi

Utagundua ni profolic na talent za hali ya juu

Sie tuna

Maguire
Sancho
Martial
macTonomy
Luke shaw

...
Ericksen is aging
Casemiro is aging


Varane ni injury prone

Rashford hakui

Then anakuja mtu anamtukana kocha!

Utachukua ubingwa upi kwa hawa wachezaji?
 
Kuchukua EPL sio kitu rahisi


Trace back kuanzia chelsea, manchester city na liverpool vikosi vyao vilivyochukua ubingwa ndani ya miaka kumi

Utagundua ni profolic na talent za hali ya juu

Sie tuna

Maguire
Sancho
Martial
macTonomy
Luke shaw

...
Ericksen is aging
Casemiro is aging


Varane ni injury prone

Rashford hakui

Then anakuja mtu anamtukana kocha!

Utachukua ubingwa upi kwa hawa wachezaji?
Nyumbu kumbe walikua wanatucheka et striker nketia kumbe wao wana Martial bana
 
Back
Top Bottom