hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,261
- 26,648
Kuna matatizo ya wamiliki ,Kama Liverpool ,lakin je Kocha anafanya sehemu yakeMimi ni Shabiki wa Liverpool Mzee, huku nakujaga Kutoa Mawazo tu na Kuwacheka Man U,
Ivi jamaa hat wew Fikiria Man utd wamebadilisha Makocha kibao Tangu Ferguson Kustaafu lakin hakun hat Mmoja aliyewasaidia Kushinda UEFA Na Premier League,
Kipindi hicho Ferguson Anastaafu Sisi liverpool Tulikuwa na Kocha wetu Rafael Benitez akafata Brendan Rodgers, na Sasa ivi Jurgen Klopp.
Kwa takwimu hizo kwahyo kwel tatizo la Man utd bado unaamin ni Kocha Tu ?? Yani inamaana Makocha zaidi ya Wanne wa Man utd wote walkuw na Matatizo ???
Nakupa mfano 7hag katumia £450m anasajili average players wengi huku wengi aliowakuta anaaminisha watu Ni average players na hawajitumi
Kamtumua Erick Baily kamsajili free agent Evans miaka 35
Katapanya €100m kwa Anthony , €70m kwa Casemiro ambaye tulisema humu hawez kutumika zaidi ya misimu miwili
Mpaka Sasa Hana playing style yakueleweka
Mwisho anasajili wachezaji tofauti na anachodai anataka ku impliment
Onana ni GK mzuri tena hayupo bahati mbaya kwenye nominees za ballon dor ,lakin Ni kwa timu based possession
7hag anacheza mpira wa janjajanja , like small team halafu una kipa based possession ambaye sio mzuri kwa shot stopping, unategemea Nini Kama sio dhahama
Haya ni Baadhi tu , Je wamiliki wanahusika vipi hapa
Kwa Pesa wanazotoa Grazzer Mimi kwenye timu yangu nawataka haraka Sana
Wamiliki wanaotoa £200m+ kwa dirisha


