Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo si kocha...
Usikajibu hako kapumbavu, kanachoshindwa kuelewa nikwamba tatizo lipo kwa wamiliki na hata ukisema ukaelezee ni kwanin? Wamiliki wanaplay part kubwa kuimaliza hii club still hakatoweza kuelewa chochote.
 
Hii presha yakufungwa 10hag asipoweza kui handle basi ndani ya mechi 10 zijazo zitaamua hatima/fate ya kibarua chake ndani ya team... Afanye ile miracle ya last season worst start then tuka click upon gameweeks goin 7-10 gm/w tuko top 6
Hawez kurudia ile miracle ,tulisema kwa uchezaji ule hauna maisha marefu

Degea alikuwa msaada Sana kwa playing style ya kaunta

Kuna mech had na Leicester city mlipelekewa Moto Sana mkashinda 1-0 , ila Degea aliokoa goli nyingi

Miujiza Kama hiyo msimu huu Hakuna ,
 
Kuna kale kachambuzi koko bingwa wa kutukana matusi mnaposema ukweli sijui kamefia wapi,

Sometimes tunatakiwa kuweka unazi pembeni na kuzungumzia uhalisia, ten hag hawezi kutufikisha popote, mara 100 David Moyes (najua hapa hamuwezi kukubali but time will tell)

Matusi mliyokua mnanitukana kipindi cha pre season yaleteni tena, ten hag asipofukuzwa tutakua na bahati sana kumaliza ndani ya kumi bora.

Kituo kinacho fuata ni kufirimbwa na bayern
Walikuandama Sana mkuu, ukweli mchungu ETH hata kwa Ole anazidiwa
 
Nikiwa kama mwenyekiti asiye wa kuchaguliwa wa thread hii..
Natamka rasmi kumzuia bwana allypipi kuwa mtabiri wa mechi zetu kwa msimu huu.

Nafasi yake itazibwa na mwenyekiti mpaka pale atakapopatikana bwana kalimanzila mwengine.

16/09/2023.

Nakala:
wafuasi na wanachama wote wa hii thread.

Katibu mkuu fuentte
Mwenyekiti mstahafu Belo
Waziri wa stress Darmian
@allypipi jinsi alivyo na kichwa kigumu, kesho kutwa atakuja na prediction za nyumbu vs Bayern
 
@allypipi jinsi alivyo na kichwa kigumu, kesho kutwa atakuja na prediction za nyumbu vs Bayern
hii nakala ya barua naomba umfikishie popote alipojificha muda huu.
kamati imeshaamua kumuondoa katika kazi yake ya utabiri.
enough

haiwezekani unacheza na brighton halafu unatabiri mechi huku ukiwa unacheka
 
Ajax ya 7 hag iliwadanganya

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini 7 hag anamzidi uwezo OGS
 
Ajax ya 7 hag iliwadanganya

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini 7 hag anamzidi uwezo OGS
 
Brighton have now won four straight Premier League games against Manchester United by an aggregate scoreline of 10-2.
 
Baada ya baryen Kuna mech Kama 4 hivi za kawaida

Asipopata straight WIN katika hizo mechi , msimu huu mtamaliza nafasi ya Chelsea 12th

Baada ya hizo mech mtakuwa mmepigwa gepu kubwa na top 7 wajuu
 
Back
Top Bottom