Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa yeyote atakayemvunjia heshima kocha wetu Eric ten hag nitapambana naye

Kuna vitoto humu vinamlaumu kocha kwa lipi?

Upande wa beki varane kaumia

Kiungo sufian amesajiliwa yupo na injury

Antony anakesi hayupo kwenye timu

Luke shaw kaumia
.........

Alafu wanatokea mashabiki wa manchester united wanamsema kocha hafai hivi mna akili nyie?

Mashabiki wa manchester united hatupo hivi
Tulimvumilia kocha mbovu Ole gunner tumepata bahati kocha amekuja anayejitambua vitoto humu vinaandika lugha za kejeli kwa kocha?

Kwangu mimi kocha mbovu kuliko wote aliyekuja kuharibu timu ni Ole gunner!

Amezalisha mitoto gaigoi km kina sancho, martial,bisaka,shaw ronaldo wote hawa walikuwa mizigo kwenye timu at least bisaka amejirekebisha


Unamlaumu kocha kwa kosa gani?

Kwa wachezaji aliowakuta Ten hag hata Pep gurdiola asingefanya kitu

Wachezaji ni overpaid then hawana mchango kwa timu (wenye mishahara ya kawaida ndio wanaisadia timu)

Onana
Antony
Hojlund
Malacia
Butcher
Casemiro

Hawa ni wachezaji waliosajiliwa na kocha na wamenyesho kitu

Vijana km gernacho na Facundo,mejbri bado hawana pumzi ya kucheza week in week out kwa intensity ya Epl ila watu wanasema Marcus akae benchi aanze gernacho! Hivi kweli ndugu zangu tunaangalia mpira?


Unamlaumu vipi kocha aliyekaribia kuchukua ubingwa msimu ulioisha?

Ni kumkosea adabu kumfananisha Eric na makocha wa timu ndogo km kina di zerbi


Mimi namuelewa sana kocha kwasasa amejikita kutafuta matokea uku akiingiza wachezaji anaowataka taratibu


Kumbukeni kloop alikaa misimu minne ndio akachua Epl tena kwa bahati bahati kutokana na corona na ni baada ya kusajili wachezaji zaidi ya 17


Yule bwana mdogo wa arsenal arteta anaenda msimu wa sita hana hata dalili ya kuchukua Epl na amesajili wachezaji 30

Manchester united amepoteza mechi tatu
Ila mechi ambayo amepoteza na nimeridhika ni hii ya brighton ile ya arsenal na Spurs walishinda kibahati bahati tu


Tumpe muda mwalimu, kufanya kazi na wajinga km kina marital,sancho, maguire inahitaji subra tumpe muda mwalimu naamini kabisa atatufikisha nchi ya ahadi

Mashabiki wengi tuliacha kuangalia mpira wakati wa morinyo na ole ila Eric anetirudisha mashabiki uwanjani tumpeni huyu ndugu ushirikiano


Km nimetumia lugha ya kuudhi mniwe radhi


Tusmtukane kocha sitaruhusu hili
Kama hukumsapoti Ole ila unamsapoti Eriki na wakati wote mwisho wa msimu wanashika nafasi zile zile hapo tusemeje?

Ole hajamzalisha Sancho.

Kama kocha wenu alikua na Luke Shaw peke yake kwanini hakusajili back up?

Antony ana magoli mangapi msimu ulioisha?

Onana katika hizi mechi 5 klashafungwa magoli mangapi?

Erik anacheza game plan ipi? Kwa wachezaji alionaoj hawezi badilisha game plan ya sasa?

Kwanini aliamua kusajili wachezaji wakiwa majeruhi? Kulikua hakuna mbadala?

Amrabat ataleta nini kipya ambacho Casemiro na Scot hawawezi?

Kwanini ilitoka 70M kwaajili ya kiungo mwenye miaka 30?

Weghorst alikuja kwa kazi gani? Sabitzer?
 
Kwa yeyote atakayemvunjia heshima kocha wetu Eric ten hag nitapambana naye

Kuna vitoto humu vinamlaumu kocha kwa lipi?

Upande wa beki varane kaumia

Kiungo sufian amesajiliwa yupo na injury

Antony anakesi hayupo kwenye timu

Luke shaw kaumia
.........

Alafu wanatokea mashabiki wa manchester united wanamsema kocha hafai hivi mna akili nyie?

Mashabiki wa manchester united hatupo hivi
Tulimvumilia kocha mbovu Ole gunner tumepata bahati kocha amekuja anayejitambua vitoto humu vinaandika lugha za kejeli kwa kocha?

Kwangu mimi kocha mbovu kuliko wote aliyekuja kuharibu timu ni Ole gunner!

Amezalisha mitoto gaigoi km kina sancho, martial,bisaka,shaw ronaldo wote hawa walikuwa mizigo kwenye timu at least bisaka amejirekebisha


Unamlaumu kocha kwa kosa gani?

Kwa wachezaji aliowakuta Ten hag hata Pep gurdiola asingefanya kitu

Wachezaji ni overpaid then hawana mchango kwa timu (wenye mishahara ya kawaida ndio wanaisadia timu)

Onana
Antony
Hojlund
Malacia
Butcher
Casemiro

Hawa ni wachezaji waliosajiliwa na kocha na wamenyesho kitu

Vijana km gernacho na Facundo,mejbri bado hawana pumzi ya kucheza week in week out kwa intensity ya Epl ila watu wanasema Marcus akae benchi aanze gernacho! Hivi kweli ndugu zangu tunaangalia mpira?


Unamlaumu vipi kocha aliyekaribia kuchukua ubingwa msimu ulioisha?

Ni kumkosea adabu kumfananisha Eric na makocha wa timu ndogo km kina di zerbi


Mimi namuelewa sana kocha kwasasa amejikita kutafuta matokea uku akiingiza wachezaji anaowataka taratibu


Kumbukeni kloop alikaa misimu minne ndio akachua Epl tena kwa bahati bahati kutokana na corona na ni baada ya kusajili wachezaji zaidi ya 17


Yule bwana mdogo wa arsenal arteta anaenda msimu wa sita hana hata dalili ya kuchukua Epl na amesajili wachezaji 30

Manchester united amepoteza mechi tatu
Ila mechi ambayo amepoteza na nimeridhika ni hii ya brighton ile ya arsenal na Spurs walishinda kibahati bahati tu


Tumpe muda mwalimu, kufanya kazi na wajinga km kina marital,sancho, maguire inahitaji subra tumpe muda mwalimu naamini kabisa atatufikisha nchi ya ahadi

Mashabiki wengi tuliacha kuangalia mpira wakati wa morinyo na ole ila Eric anetirudisha mashabiki uwanjani tumpeni huyu ndugu ushirikiano


Km nimetumia lugha ya kuudhi mniwe radhi


Tusmtukane kocha sitaruhusu hili
Kocha wako anafukuzwa kazi before December
 
GETAFE tunacheza saa 9 alasiri hapo kesho
feminism wanaruhusiwa uwanjani
View attachment 2751413
Dogo walimkondesha aisee 🙂🙂☺☺
Screenshot_20230917-045300.png
 
Mamaee hamna timu palee.. Forward hakunaaa.. Beki ndo magwayaaaa.. Katikati vitoto vinarukarukaaa tu ushuziii mtupuuu bora hata Jezi sikununua
 
Di zerbi Masterclass

Lewis Dunk on Roberto De Zerbi’s play style:

“We rehearse it every day. Now I know every position on the pitch and where someone should be, the time they should move and what angles they should give. We practice it that much we know every scenario.

If someone presses from this angle or that angle, we know where the ball should go to reach past the pressure. We do lots and lots of hours on it. But if I’m being honest, the first couple of weeks were baffling.”
 
Sancho anasema 7 hag ana double standard

Cr7 alikuwa anafunga magoli akatimuliwa eti hawezi ku press Wala kuunganisha Timu

Does Rashford press? No.
Does Rashford track back? No.
Does Rashford help in the build-up? No.
Is Rashford the highest earner at the club? YES.

You all demanded pressing and tracking back from a 37-year-old player, but now you're not demanding it from a 26-year-old player.
 
Sancho anasema 7 hag ana double standard

Cr7 alikuwa anafunga magoli akatimuliwa eti hawezi ku press Wala kuunganisha Timu

Does Rashford press? No.
Does Rashford track back? No.
Does Rashford help in the build-up? No.
Is Rashford the highest earner at the club? YES.

You all demanded pressing and tracking back from a 37-year-old player, but now you're not demanding it from a 26-year-old player.
hivi huko ku PRESS na Track Back ndio nini??
 
Huwa tunakutana wachambuzi nguli watupu kina Alex Goldberg, N.k
Yani hapo hakuna mzembe kama Jemedari Saidi hapo ni Wabobezi tu kuna huyo Mnazi wenu wa Arsenal kutoka Kenya Welbeast jamaa ana Sarcasm za hatari unaweza kama mshabiki wa Manure unaweza kimbia Space
Jana nilisahau mpaka kuka kwa kufuatilia hiyo Space.
 
Wakati Guardiola anawanao akina Robben, Ribbery na the likes of Philip Lahm , Eliki 7+3Hag alikuwa anafundisha timu ya under 10 ya Bayern 😆😆😆😆😆

We mpaka hapo haustuki tuuuu.
 
Come to mention It, Philip Lahm was inverted fullback wakati Guardiola yupo Munich?

Before hii neno halijaanza kuimbwa sana. Wachambuzi nguli, nikumbusheni kidogo.
 
Hii timu kocha kafeli, inaenda mbele hatua tano then inarud nyuma hatua kumi

Nasema ETH hata aletewe kina Mbape, Pavard bado atafeli tu
 
Back
Top Bottom