Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonesga mpira hauufahamu vizuri, lipi kosa la Moynt na Casemiro kwenye hii mechi, kosa lipo iwa safu ya ushambuliaji hasa Rashford yaani huyu jamaa ni tia maji tia maji tu na ndio maana kila mchezaji akicheza naye araonekana mbaya the same na Maguire.
Ujuaji wenu unanifurahishaga Sana ,narudia combination ya Bruno casemiro na mount haiwez kufanya Kaz mkikutana na viungo na mifumo yakueleweka ,tuliona vs Wolves mlivyonyanyasika na hao wolves wameondokewa na wachezaji wengi, plus kocha wao alikuwa na wiki 1 tu .

Kiungo Chenu hakina Controller wa mchezo, hakina DM passer wakusaidia buildup ,angalau mwaka Jana alikuwepo mechi nyingi Eriksen ni mzuri kwa pass alikuwa msaada kuchukua mipira chini
 
Tatizo la Man U sio kiungo wala beki kwa sasa, tatizo lipo kwa streiker kama ni kufungwa liver na man city huwa wanafungwa sana ila streiker wao pia wanafunga na ndio maana tunawaona bora. Tuna winger wazuri ukiachia tia maji tia maji Rashford na Martial ila kama hatuna straiker mzur wa kuwapa tension mabeki pinzani hata hawa mawinga tutawachukia bure. Leo tumecreate nafasi nyingi ila mfungaji hatuna. Naimani Hodjlund akipona akacheza na winga Sancho na Garnacho tutafunga sana
 
Tatizo la Man U sio kiungo wala beki kwa sasa, tatizo lipo kwa streiker kama ni kufungwa liver na man city huwa wanafunfwa sana ila streiker wao pia wanafunga na ndio maana tunawaona bora. Tuna winger wazuri ukiachia tia maji tia maji Rashford na Martial ila kama hatuna straiker mzur wa kuwapa tension mabeki pinzani hata hawa mawinga tutawachukia bure. Leo tumecreate nafasi nyingi ila mfungaji hatuna. Naimani Hodjlund akipona akacheza na winga Sancho na Garnacho tutafunga sana
Huyo CF kila mpira atakuwa anapewa yeye tu, hiyo ni dhana potofu

Chelsea ya Conte ilionekana inahitaji a CF tu iwe timu isiyofungika , akaletwa lukaku kwa£97.5m , unajua kilichotokea
 
Ila Mount kama 8 big no,kama kocha anataka aone matunda yake ampeleke RW maana 10 ipo occupied,ampelekr kule ili amfaidishe Hojlund akirudi,sina imani na Antony ana mambo mengi.

Asajili kiungo wa kucheza double pivot na Casemiro kabla hajachelewa.

Kuhusu stats moja kwa moja Mount siwezi kumlaumu maana hata Btuno huwa anapata tabu kucheza na zile takataka za pale mbele.
 
Huyo CF kila mpira atakuwa anapewa yeye tu, hiyo ni dhana potofu

Chelsea ya Conte ilionekana inahitaji a CF tu iwe timu isiyofungika , akaletwa lukaku kwa£97.5m , unajua kilichotokea
No Conte hajafanya kazi na Lukaku Chelsea ama unasema Morata
 
Hongereni Man u kwa kweli mmecheza vizuri sana ila ushindi haukuwa upande wenu.

Mmekandwa na maji ya baridi kipigo takatifu. Next time utashinda kwa kishindo dhidi ya not ferest baada ya hapo una Arsenal then brighton
 
Hongereni Man u kwa kweli mmecheza vizuri sana ila ushindi haukuwa upande wenu.

Mmekandwa na maji ya baridi kipigo takatifu. Next time utashinda kwa kishindo dhidi ya not ferest baada ya hapo una Arsenal then brighton
Wakishindwa kuokota point kwa forest wajiandae kuburuza mkia mwez huu, sisi Kama Arsenal hatuna dogo pale home, Brighton shughuli Yao hasa wakikutana viungo waliofungwa mawe miguuni wanakubonda za kutosha
 
Timu yenu ipo vzr kila idara imekamilika. Kasoro goli kipa ndio hamna yani pale Onana ni pazia tafuteni kipa mwingine kabla usajili haujaisha otherwise mkija Anfield na Onana between the sticks tusilaumiane
 
Sabizer si Bora angebaki kuliko hela zote kwa mount yani 10han afanye fasta hiyo idea yake I workout bila hivyo atafeli vibaya.
Hao striker tutawalaumu bure tu hata Timu Haina mpira inaocheza ni papatu papatu tu. Sasa kuliko tushinde kwa papatu papatu Bora tule chuma.
 
Back
Top Bottom