hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,287
- 26,693
Ujuaji wenu unanifurahishaga Sana ,narudia combination ya Bruno casemiro na mount haiwez kufanya Kaz mkikutana na viungo na mifumo yakueleweka ,tuliona vs Wolves mlivyonyanyasika na hao wolves wameondokewa na wachezaji wengi, plus kocha wao alikuwa na wiki 1 tu .Inaonesga mpira hauufahamu vizuri, lipi kosa la Moynt na Casemiro kwenye hii mechi, kosa lipo iwa safu ya ushambuliaji hasa Rashford yaani huyu jamaa ni tia maji tia maji tu na ndio maana kila mchezaji akicheza naye araonekana mbaya the same na Maguire.
Kiungo Chenu hakina Controller wa mchezo, hakina DM passer wakusaidia buildup ,angalau mwaka Jana alikuwepo mechi nyingi Eriksen ni mzuri kwa pass alikuwa msaada kuchukua mipira chini



