Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii presha yakufungwa 10hag asipoweza kui handle basi ndani ya mechi 10 zijazo zitaamua hatima/fate ya kibarua chake ndani ya team... Afanye ile miracle ya last season worst start then tuka click upon gameweeks goin 7-10 gm/w tuko top 6
 
Kuna kale kachambuzi koko bingwa wa kutukana matusi mnaposema ukweli sijui kamefia wapi,

Sometimes tunatakiwa kuweka unazi pembeni na kuzungumzia uhalisia, ten hag hawezi kutufikisha popote, mara 100 David Moyes (najua hapa hamuwezi kukubali but time will tell)

Matusi mliyokua mnanitukana kipindi cha pre season yaleteni tena, ten hag asipofukuzwa tutakua na bahati sana kumaliza ndani ya kumi bora.

Kituo kinacho fuata ni kufirimbwa na bayern
 
Nikiwa kama mwenyekiti asiye wa kuchaguliwa wa thread hii..
Natamka rasmi kumzuia bwana allypipi kuwa mtabiri wa mechi zetu kwa msimu huu.

Nafasi yake itazibwa na mwenyekiti mpaka pale atakapopatikana bwana kalimanzila mwengine.

16/09/2023.

Nakala:
wafuasi na wanachama wote wa hii thread.

Katibu mkuu fuentte
Mwenyekiti mstahafu Belo
Waziri wa stress Darmian
 
Hii presha yakufungwa 10hag asipoweza kui handle basi ndani ya mechi 10 zijazo zitaamua hatima/fate ya kibarua chake ndani ya team... Afanye ile miracle ya last season worst start then tuka click upon gameweeks goin 7-10 gm/w tuko top 6
Uwezo wake ndio umeishia hapo, hana plan B, hajui hata afanye nini,

X-mass hafiki huyu
 
Kusema ukweli,
Rashford hakuna kitu,

ETH sio kocha, ni muhuni tu, huwez tusajilia kina hojlund halafu unataka kushindana,

Wamiliki nao wajinga, hawana watu smart wa kazi,
 
Kuna kale kachambuzi koko bingwa wa kutukana matusi mnaposema ukweli sijui kamefia wapi,

Sometimes tunatakiwa kuweka unazi pembeni na kuzungumzia uhalisia, ten hag hawezi kutufikisha popote, mara 100 David Moyes (najua hapa hamuwezi kukubali but time will tell)

Matusi mliyokua mnanitukana kipindi cha pre season yaleteni tena, ten hag asipofukuzwa tutakua na bahati sana kumaliza ndani ya kumi bora.

Kituo kinacho fuata ni kufirimbwa na bayern
Al-Hadidy 😂
 
Kocha ni fala,anakariri wachezaji. Pellistri unamuacha nje,Gernacho unamuacha nje,Rasmus anakosa mlishaji pale mbele. Kocha anamuogopa Rashid??
Uchawi mkubwa wa timu yetu ni Rashid na kocha,hajapata kikosi mpaka leo. Kwanini ukomae na watu wasiokupa matokeo chanya?? Weka benchi wape watu wengine nafasi
 
Dah
Screenshot_2023-09-16-19-06-21-27.jpg
 
Back
Top Bottom