

Ukweli ni kwamba man u mmecheza vizuri kuliko arsenal hasa kipindi Cha kwanza
Man u wakiwa na mpira kwenye kushambulia mlikua hatari kuliko arsenal
Kuna muda man u mlikua mnacheza kiume, Arsenal walikuwa wanacheza kivulana
Yule hojlund ambae hamisi anamkataa ni mzuri na atawasaidia Sana Sana Sana
Rashford akiwa na consistency ni mchezaji mzuri
Onana anahitaji mabeki wakufanya nae zile one-two-one-two
Tafuteni mbadala wa Eriksen na casimiro mapema
Garnacho ni kinda mwenye potential kubwa Sana
Martial sio mchezaji wa kuvaa jez ya Manchester United ata watu wakibaki 11 dunia. Inabidi akose namba
Martinez bado hajapata partner wake pale nyuma, namaanisha varane, Maguire, lindeloaf, Evans sio wa kuwategemea
Bisaka ni mzuri lakini kwa ukumbwa wa man u, inabidi muingie sokoni
Kadri siku zinavyokwenda man u inapunguza ubora wa Bruno
Ulishawai fikiria Bruno akiichezea timu Kama man city?
Big u kwa dalot, amejua kutufichia star boy SAKA
All in all
Man u changamoto zenu ni ndogo kulinganisha Chelsea
Man u inahitaji muunganikano tu wa wachezaji, ubaya ni kuwa hao wachezaji ambao wengi wao ni tegemezi umri imeenda
mchezo ulikua mzuri, Hadi dakika ya 80 ypyote alikua anaweza kutapika points tatu, bahati ilikua upande wa arsenal. Yeah, that's a football